tamuuuuu
JF-Expert Member
- Mar 10, 2014
- 22,191
- 29,749
Libya hahahahaaa,nasikia huku Libya rais wake alikuwa Sadam hahahahaaa (according to.....)Kuna watu wamekuwa miili tu .....ila akili za kitoto kabisa
Libya hahahahaaa,nasikia huku Libya rais wake alikuwa Sadam hahahahaaa (according to.....)Kuna watu wamekuwa miili tu .....ila akili za kitoto kabisa
😀😀😀😀😀Kwa hiyo una pc mkuu![]()
Nkiwa mkubwa nataka nimiliki pc kama jamaa
Mkuu, utakuwa umeshakuwa mkubwa. Maana wakati wakati mimi nikiwa mdogo nilikuwa naita laptop. Nilikuja kujua kuwa laptop inaitwa pc nilipofika chuo.😀😀😀😉Nkiwa mkubwa nataka nimiliki pc kama jamaa
Hawezi kosa cha kuuza maana kuna ambacho anaweza kuuzia wenzake wakakifaidi na yeye akaendelea kuwa nacho kwa faida vile vileMuuza sura ukikosa cha kuuza utakachouza n.....???
Lap top yenyewe kategeshea hapo ili aonekane msomi kumbe ni muingiza nyimbo kwenye sim na flashuza hata laptop ukipenda
Ya kuingizia nyimbo kwenye simKwa hiyo una pc mkuu![]()
Jitahidi asee uzibe huo ufa hapo ukutani bila hivyo mda si mrefu tutakukosaBaba nimeiyomba tu ili nipige picha siunajua location
😀 😀 😀 😀 😀haya tumekuona, mbona afya mgogoro sana au ndo mnaoishindia maji na spinachi.
Unataka kusema atakuwa wa mkoa gani chifu? Au waliparamba?Umama huo!mwanaume huonyesha mali siyo sura
![]()
auze laptop ya cafe..???uza hata laptop ukipenda