Uongozi wa CHADEMA.
Ni miezi 8 sasa tangu Wabunge wa Viti Maalum 19 kuwa Wabunge kwa mwavuli wa CHADEMA. Lawama nyingi zimekuwa zikielekezwa CHADEMA.
Naomba mtafute wanasheria wazuri wafungue mashitaka kwaniaba ya taasisi ya CHADEMA, sio tatizo wakishirikishwa Wananchi kuchangia kwa ajili ya kuendesha kesi.
Ikiwa zilichangwa zile Million 300 kuwalipia kesi mlizobambiwa. Hili ni dogo sana. Hasira iliyoko ndani na nje ya Bunge ni kubwa sana.
LINDA CHAMA
Ni miezi 8 sasa tangu Wabunge wa Viti Maalum 19 kuwa Wabunge kwa mwavuli wa CHADEMA. Lawama nyingi zimekuwa zikielekezwa CHADEMA.
Naomba mtafute wanasheria wazuri wafungue mashitaka kwaniaba ya taasisi ya CHADEMA, sio tatizo wakishirikishwa Wananchi kuchangia kwa ajili ya kuendesha kesi.
Ikiwa zilichangwa zile Million 300 kuwalipia kesi mlizobambiwa. Hili ni dogo sana. Hasira iliyoko ndani na nje ya Bunge ni kubwa sana.
LINDA CHAMA