Zanzibar-ASP
JF-Expert Member
- Nov 28, 2013
- 12,151
- 44,071
Kila zama na kitabu chake, na kondomu ilitengenezwa ili iweze kutumika mara moja tu na baada ya hapo kutupwa mbali kama uchafu hatarishi. Huenda hichi ndio kinaendelea vichwani mwa wabunge wa Covid 19.
Haijarishi watakuwa na hoja gani au watakimbilia chama gani, hakuna dalili yoyote kwa mbunge yoyote wa Covid 19 kuweza kurejea bungeni tena.
Msongo mkubwa wa mawazo umewakumba covid 19 karibu wote, hawajui wapi pa kushika au kuacha, wachache wameshakata tamaa na wameanza kimtindo kuaga, ndani ya wiki chache zijazo wataliaga rasmi bunge na kurejea uraiani kula msoto mzito, matusi ya nguoni na kudhalilishwa milele.
Mpaka sasa CCM imegoma kwa 100% kuwahakikishia nafasi yoyote ya ubunge wa kupewa, Chadema walishafunga milango na madirisha yote, ACT hakuna uhakika hata wa 5% kuweza kutoboa na CHAUMMA ni kwenda kujirisha upepo maana kumekufa kabla ya kuzaliwa. Mambo ni magumu kote.
Haijarishi watakuwa na hoja gani au watakimbilia chama gani, hakuna dalili yoyote kwa mbunge yoyote wa Covid 19 kuweza kurejea bungeni tena.
Msongo mkubwa wa mawazo umewakumba covid 19 karibu wote, hawajui wapi pa kushika au kuacha, wachache wameshakata tamaa na wameanza kimtindo kuaga, ndani ya wiki chache zijazo wataliaga rasmi bunge na kurejea uraiani kula msoto mzito, matusi ya nguoni na kudhalilishwa milele.
Mpaka sasa CCM imegoma kwa 100% kuwahakikishia nafasi yoyote ya ubunge wa kupewa, Chadema walishafunga milango na madirisha yote, ACT hakuna uhakika hata wa 5% kuweza kutoboa na CHAUMMA ni kwenda kujirisha upepo maana kumekufa kabla ya kuzaliwa. Mambo ni magumu kote.