Now in time, no wonders.
Chama bora cha siasa huwa kinaandaa vijana ambao wakati ukifika kiutawala wanakuwa na uwezo mkubwa kuingia rasmi ktk mfumo wa kiuongozi na kuongoza vyema...
Imeazimia kuwafutaWalio sikia vizuri hotuba ya Katibu Mkuu wa Chadema watafafanulie vizuri iwapo wamefutwa au bado maana kuazima ina maana mchakato bado
Sent using Jamii Forums mobile app
Kiongozi huwezi kuhama chma halafu unakufa kisiasa. Hata kwa Zito mlisema hivyo. Lakini bado yipo.Bado chadema inamvuto Sana kwa Jamii huo ndio ukweli watu wanaiamini Kama taasisi pekee inayotetea wanyonge. Silinde na komu ndio mshakufa kisiasa hivyo.
Acha kujidanganya kama vijana wapo wameandaliwa kwa nini ukihoji chochote kuhusu mwenyekiti wetu safari imeiva. CCM wanavijana wengi na wanatumika sana.Now in time, no wonders.
Chama bora cha siasa huwa kinaandaa vijana ambao wakati ukifika kiutawala wanakuwa na uwezo mkubwa kuingia rasmi ktk mfumo wa kiuongozi na kuongoza vyema...
Kama kakimbia nchi nendeni sasa ikulu ya Magogoni mkakae na Mwenyekiti wenu.Hili wala halihitaji PhD kujua kuwa uliyoandika ni vice versa.
Kama mwenyekiti wenu CCM ameshakimbia nchi hapo kuna nini tena!?
Uonevu tu umefanyika. Kwani kati ya mbunge anatakiwa kuwa Loyal kwa Chama au Wananchi?
Sent using Jamii Forums mobile app
tulisema tukabezwa humu, kuwa mpaka 2020 wakati wa uchaguzi, chadema itakuwa imebaki na mwenyekiti tu hawa wote waliofukuzwa ndio waliokuwa wajenzi wa chadema 2010_2015 eti sasahivi ndio wamekuwa wasaliti.
Tabu ya Mbowe ataki kuhambiwa ukweli kuwa ndiye alialibu chadema Kwa gia yake ya angani. Sasa wanatafunana wenyewe Kwa wenyewe watamalizana. Mungu ibariki Tanzania
Siyo hawa hawa akina Mnyika na Mbowe waliokwenda Mwanza kuomba maridhiano?
Niliandika hapa siku si nyingi, kwamba chadema itaingia kwenye wiki mbili ngumu mno. Naona yameaza kutokea. Mwenyekiti anapaswa mawazo yake yawe shirikishi, huwezi kutoa maamuzi kama vile unaowaongoza ni watoto wa nursery...
Umetumia zaidi ya dakika 10 kuandika huu uchafu uliokujaa kichwani, huu muda uliopoteza ungemsaidia dada yako kuosha vyombo hapo kwa shemeji yako angekuona wa maana sana
Mgombea binafsi walitaka hao CHADEMA ila CCM iligoma 2015!!
Katiba inasema unakuwa mbunge ukidhaminiwa na chama, hivyo mbunge lazima tu awe loyal kwa chama kabla ya wananchi.
Na ndio maana ukivuliwa uanachama spika anatangaza jimbo liko wazi kwa NEC.
Sasa nachoshangaa hao hao CCM waliokataa mgombea binafsi eti leo hii wanalalamika mbunge kufukuzwa chama anakosa ubunge.
Jamani CCM ndio waliosababisha haya sio CHADEMA, so wasijifanye wana uchungu na Silinde.
Ili uwe mbunge lazma uwe mwanachama wa chama cha siasa, CCM ilisha kataa mgombea binafsi, hivyo ONDOA UGORO WAKO NA USHUZI HAPAKufukuzwa uanachama sio kuvuliwa ubunge. (Rejea kisa cha Mwambe na spika Ndugai).
Hivi kama walishasema wanaenda upande wa pili waachwe tuu waendelee kufanya uharibu? Hivi mke wa Chuwa akamwambia Chuwa ifikapo July 2020 sitakuwa nawewe naenda kuolewa na Massawe, unataka Chuwa aendelee tuu kuishi na huyo mke hadi July 2020 amkabidhi Massawe?
Hao wananchi wangemchaguaje bila kupata ridhaa ya chama chake?Huwa naipenda chadema, lakini huu ni udikiteta kama wa ccm tu,
Yaani hata hawa ukiwapa nchi, yaliyompata nape, membe, sophia simba, yatawapata wanachama wengine wa chadema,
Mbunge anachaguliwa na wananchi harafu kamati ya watu wachache, wanamnyanganya ubunge Wake!
Sent using Jamii Forums mobile app
Una taarifa huko Machame wazee hawamtaki Mwenyekiti wenu wa maisha Mh. Mbowe Mugabe? Mlisema wale vijana waliovuruga mkutano wake wamenunulia na hawa wazee wamenunuliwa?Sifa za SACCOS sizijui hebu nieleze labda naweza kuamini kwamba CHADEMA ni SACCOS!!