Wabunge wana interest kubwa na Unfair election , Mkurugenzi TANESCO na Mpango wa Kugombea Jimbo la Bunda ulivyosemwa

Wabunge wana interest kubwa na Unfair election , Mkurugenzi TANESCO na Mpango wa Kugombea Jimbo la Bunda ulivyosemwa

mwanamabadiliko

JF-Expert Member
Joined
Oct 30, 2010
Posts
1,364
Reaction score
2,387
Naweza kusema katika inshu za uchaguzi mkuu, watu wakali zaidi na ambao sio wa kuchezewa ni wabunge ambao kimsingi wao hudhani Fikrani kuwa majimbo wanayoongoza ni Mali Binafsi kitu ambacho si cha kweli na mtu yeyote ambaye ataonekana kutaka jimbo hilo basi lolote limkute.

Pia katika Uwizi mkubwa wa Kura unaofanyikaga katika uchaguzi, wasuka mipango na wahusika wakubwa huwa ni Wabunge wanaomaliza vipindi vyao au ambao wanagombea, na kwa kidogo serikali ya Wilaya, na Rais mara nyingi huwa yupo mbali kwenye chain of Command hivyo interest ya wizi wa kura kwako ni kidogo. Hivyo kiuhalisia Uchaguzi ukiwa huru na wa Haki sidhani kama Rais aliyepo madarakani anaweza kushindwa bali atapata kura kwa Uchache sana, ila sasa wabunge ndo wataanguka vibaya mno, na wabunge wanalijua hilo hivyo wao huwa wanahusika na uwizi kwa asilimia kubwa.

Wabunge ambao ni mawaziri , na ambao ni washauri wakubwa wa Rais hawawezi kumshauri Rais aweke Uchaguzi huru na wa Haki kwakuwa wanajua wao ndo watakuwa wakwanza kuondolewa majimboni , kitu ambacho hawataki na hawawezi kufanya ili waendelee kuwa wabunge kwa njia hizo haramu, wabunge wa CCM waliingia kwa njia haramu hivyo hawatakubali njia hizo zitolewe mana zitawaathiri sana. Rais Hataathirika sana na atashinda japo kwa tofauti ya kura Chache. Hivyo No reform No Election na kutosaini kanuni kumehamisha vita ndani ya CCM, kuwa Ukipitishwa CCM wewe tayari ni mbunge moja kwa moja, sidhani kama CHAUMA au ACT wanaweza Tangazwa kwa Staili ya uchaguzi huu hata wakishinda

Pia kwa watu wa Karibu wa Mkurugenzi wa TANESCO aliyepata Ajali (Rest in Peace) toka kitambo alikuwa na mpango wa kugombea Jimbo la Bunda, hata kabla hajateuliwa kuchukua nafasi ya maharage chande, hivyo hatujui kama alikuwa na lengo la kugombea mwaka huu au la, lakini alikuwa na Nia ya kuchukua jimbo la Mtu. Sasa
 
Jecha.jpeg
 
Naweza kusema katika inshu za uchaguzi mkuu, watu wakali zaidi na ambao sio wa kuchezewa ni wabunge ambao kimsingi wao hudhani Fikrani kuwa majimbo wanayoongoza ni Mali Binafsi kitu ambacho si cha kweli na mtu yeyote ambaye ataonekana kutaka jimbo hilo basi lolote limkute.

Pia katika Uwizi mkubwa wa Kura unaofanyikaga katika uchaguzi, wasuka mipango na wahusika wakubwa huwa ni Wabunge wanaomaliza vipindi vyao au ambao wanagombea, na kwa kidogo serikali ya Wilaya, na Rais mara nyingi huwa yupo mbali kwenye chain of Command hivyo interest ya wizi wa kura kwako ni kidogo. Hivyo kiuhalisia Uchaguzi ukiwa huru na wa Haki sidhani kama Rais aliyepo madarakani anaweza kushindwa bali atapata kura kwa Uchache sana, ila sasa wabunge ndo wataanguka vibaya mno, na wabunge wanalijua hilo hivyo wao huwa wanahusika na uwizi kwa asilimia kubwa.

Wabunge ambao ni mawaziri , na ambao ni washauri wakubwa wa Rais hawawezi kumshauri Rais aweke Uchaguzi huru na wa Haki kwakuwa wanajua wao ndo watakuwa wakwanza kuondolewa majimboni , kitu ambacho hawataki na hawawezi kufanya ili waendelee kuwa wabunge kwa njia hizo haramu, wabunge wa CCM waliingia kwa njia haramu hivyo hawatakubali njia hizo zitolewe mana zitawaathiri sana. Rais Hataathirika sana na atashinda japo kwa tofauti ya kura Chache. Hivyo No reform No Election na kutosaini kanuni kumehamisha vita ndani ya CCM, kuwa Ukipitishwa CCM wewe tayari ni mbunge moja kwa moja, sidhani kama CHAUMA au ACT wanaweza Tangazwa kwa Staili ya uchaguzi huu hata wakishinda

Pia kwa watu wa Karibu wa Mkurugenzi wa TANESCO aliyepata Ajali (Rest in Peace) toka kitambo alikuwa na mpango wa kugombea Jimbo la Bunda, hata kabla hajateuliwa kuchukua nafasi ya maharage chande, hivyo hatujui kama alikuwa na lengo la kugombea mwaka huu au la, lakini alikuwa na Nia ya kuchukua jimbo la Mtu. Sasa
Uwezekano mkubwa ni sasa, Kwani Kwa watu waliosoma wakati wa Mzee Rukhsa, wengi, kustaafu kwa Mujibu wa sheria ndio sasa waliozaliwa 1963-1965
 
Naweza kusema katika inshu za uchaguzi mkuu, watu wakali zaidi na ambao sio wa kuchezewa ni wabunge ambao kimsingi wao hudhani Fikrani kuwa majimbo wanayoongoza ni Mali Binafsi kitu ambacho si cha kweli na mtu yeyote ambaye ataonekana kutaka jimbo hilo basi lolote limkute.

Pia katika Uwizi mkubwa wa Kura unaofanyikaga katika uchaguzi, wasuka mipango na wahusika wakubwa huwa ni Wabunge wanaomaliza vipindi vyao au ambao wanagombea, na kwa kidogo serikali ya Wilaya, na Rais mara nyingi huwa yupo mbali kwenye chain of Command hivyo interest ya wizi wa kura kwako ni kidogo. Hivyo kiuhalisia Uchaguzi ukiwa huru na wa Haki sidhani kama Rais aliyepo madarakani anaweza kushindwa bali atapata kura kwa Uchache sana, ila sasa wabunge ndo wataanguka vibaya mno, na wabunge wanalijua hilo hivyo wao huwa wanahusika na uwizi kwa asilimia kubwa.

Wabunge ambao ni mawaziri , na ambao ni washauri wakubwa wa Rais hawawezi kumshauri Rais aweke Uchaguzi huru na wa Haki kwakuwa wanajua wao ndo watakuwa wakwanza kuondolewa majimboni , kitu ambacho hawataki na hawawezi kufanya ili waendelee kuwa wabunge kwa njia hizo haramu, wabunge wa CCM waliingia kwa njia haramu hivyo hawatakubali njia hizo zitolewe mana zitawaathiri sana. Rais Hataathirika sana na atashinda japo kwa tofauti ya kura Chache. Hivyo No reform No Election na kutosaini kanuni kumehamisha vita ndani ya CCM, kuwa Ukipitishwa CCM wewe tayari ni mbunge moja kwa moja, sidhani kama CHAUMA au ACT wanaweza Tangazwa kwa Staili ya uchaguzi huu hata wakishinda

Pia kwa watu wa Karibu wa Mkurugenzi wa TANESCO aliyepata Ajali (Rest in Peace) toka kitambo alikuwa na mpango wa kugombea Jimbo la Bunda, hata kabla hajateuliwa kuchukua nafasi ya maharage chande, hivyo hatujui kama alikuwa na lengo la kugombea mwaka huu au la, lakini alikuwa na Nia ya kuchukua jimbo la Mtu. Sasa
Ndiyo. maana huleta kanuni kandamizi za uchaguzi, tena Kwa kuchelewa ili wadau wasipate muda wa kuzijadili (utapeli)
 
Pia kwa watu wa Karibu wa Mkurugenzi wa TANESCO aliyepata Ajali (Rest in Peace) toka kitambo alikuwa na mpango wa kugombea Jimbo la Bunda, hata kabla hajateuliwa kuchukua nafasi ya maharage chande, hivyo hatujui kama alikuwa na lengo la kugombea mwaka huu au la, lakini alikuwa na Nia ya kuchukua jimbo la Mtu. Sasa
Mbona wanasema kwao Tarime
 
Naweza kusema katika inshu za uchaguzi mkuu, watu wakali zaidi na ambao sio wa kuchezewa ni wabunge ambao kimsingi wao hudhani Fikrani kuwa majimbo wanayoongoza ni Mali Binafsi kitu ambacho si cha kweli na mtu yeyote ambaye ataonekana kutaka jimbo hilo basi lolote limkute.

Pia katika Uwizi mkubwa wa Kura unaofanyikaga katika uchaguzi, wasuka mipango na wahusika wakubwa huwa ni Wabunge wanaomaliza vipindi vyao au ambao wanagombea, na kwa kidogo serikali ya Wilaya, na Rais mara nyingi huwa yupo mbali kwenye chain of Command hivyo interest ya wizi wa kura kwako ni kidogo. Hivyo kiuhalisia Uchaguzi ukiwa huru na wa Haki sidhani kama Rais aliyepo madarakani anaweza kushindwa bali atapata kura kwa Uchache sana, ila sasa wabunge ndo wataanguka vibaya mno, na wabunge wanalijua hilo hivyo wao huwa wanahusika na uwizi kwa asilimia kubwa.

Wabunge ambao ni mawaziri , na ambao ni washauri wakubwa wa Rais hawawezi kumshauri Rais aweke Uchaguzi huru na wa Haki kwakuwa wanajua wao ndo watakuwa wakwanza kuondolewa majimboni , kitu ambacho hawataki na hawawezi kufanya ili waendelee kuwa wabunge kwa njia hizo haramu, wabunge wa CCM waliingia kwa njia haramu hivyo hawatakubali njia hizo zitolewe mana zitawaathiri sana. Rais Hataathirika sana na atashinda japo kwa tofauti ya kura Chache. Hivyo No reform No Election na kutosaini kanuni kumehamisha vita ndani ya CCM, kuwa Ukipitishwa CCM wewe tayari ni mbunge moja kwa moja, sidhani kama CHAUMA au ACT wanaweza Tangazwa kwa Staili ya uchaguzi huu hata wakishinda

Pia kwa watu wa Karibu wa Mkurugenzi wa TANESCO aliyepata Ajali (Rest in Peace) toka kitambo alikuwa na mpango wa kugombea Jimbo la Bunda, hata kabla hajateuliwa kuchukua nafasi ya maharage chande, hivyo hatujui kama alikuwa na lengo la kugombea mwaka huu au la, lakini alikuwa na Nia ya kuchukua jimbo la Mtu. Sasa
Reforms za uchaguzi ndiyo solution ya vyote hivi
 
Naweza kusema katika inshu za uchaguzi mkuu, watu wakali zaidi na ambao sio wa kuchezewa ni wabunge ambao kimsingi wao hudhani Fikrani kuwa majimbo wanayoongoza ni Mali Binafsi kitu ambacho si cha kweli na mtu yeyote ambaye ataonekana kutaka jimbo hilo basi lolote limkute.

Pia katika Uwizi mkubwa wa Kura unaofanyikaga katika uchaguzi, wasuka mipango na wahusika wakubwa huwa ni Wabunge wanaomaliza vipindi vyao au ambao wanagombea, na kwa kidogo serikali ya Wilaya, na Rais mara nyingi huwa yupo mbali kwenye chain of Command hivyo interest ya wizi wa kura kwako ni kidogo. Hivyo kiuhalisia Uchaguzi ukiwa huru na wa Haki sidhani kama Rais aliyepo madarakani anaweza kushindwa bali atapata kura kwa Uchache sana, ila sasa wabunge ndo wataanguka vibaya mno, na wabunge wanalijua hilo hivyo wao huwa wanahusika na uwizi kwa asilimia kubwa.

Wabunge ambao ni mawaziri , na ambao ni washauri wakubwa wa Rais hawawezi kumshauri Rais aweke Uchaguzi huru na wa Haki kwakuwa wanajua wao ndo watakuwa wakwanza kuondolewa majimboni , kitu ambacho hawataki na hawawezi kufanya ili waendelee kuwa wabunge kwa njia hizo haramu, wabunge wa CCM waliingia kwa njia haramu hivyo hawatakubali njia hizo zitolewe mana zitawaathiri sana. Rais Hataathirika sana na atashinda japo kwa tofauti ya kura Chache. Hivyo No reform No Election na kutosaini kanuni kumehamisha vita ndani ya CCM, kuwa Ukipitishwa CCM wewe tayari ni mbunge moja kwa moja, sidhani kama CHAUMA au ACT wanaweza Tangazwa kwa Staili ya uchaguzi huu hata wakishinda

Pia kwa watu wa Karibu wa Mkurugenzi wa TANESCO aliyepata Ajali (Rest in Peace) toka kitambo alikuwa na mpango wa kugombea Jimbo la Bunda, hata kabla hajateuliwa kuchukua nafasi ya maharage chande, hivyo hatujui kama alikuwa na lengo la kugombea mwaka huu au la, lakini alikuwa na Nia ya kuchukua jimbo la Mtu. Sasa
Mkurugenzi wa TANESCO agombanie ubunge wapi na wapi. Mbunge hanauwezo wa kumfikia kimaslahi mkurugenzi wa TANESCO.
 
Kimsingi ilitakiwa kuwepo na ukomo wa kugombea ubunge Yaani mtu ameongoza zaidi ya miaka ishirini ni dhahiri kuwa huyu analiona Jimbo hilo ni Mali yake Hadi majimbo mengine yamekuwa kama Mali ya familia Fulani alianza baba sasa kafuata kijana mwisho atafuata mjukuu
 
Na wamekita mizizi
Nadhani hili jambo limekaa kimaslai zaidi ndio mana linakuwa gumu, much money is involved. Nadhani Kwa uthubutu Magufuli angeweza SEMA alikuwa hataki, ila katika maraisi wote ambaye angeweza kubadili katiba alikuwa magufuli na angeacha legacy kubwa sana, SEMA alikuwa hataki.
Hawa maraisi wengine hata wakitaka wanazongwa na watu
 
Alikuwa na wazo kitambo, kabla hajawa mkurugenzi wa TANESCO, lakini kimaslai ni kweli mbunge hamfikii. Ili huwezi jua moyo wa mtu
nani kakwambia mbunge anazidiwa na mkurugenzi wa TANESCO kimaslahi.
mkurugenzi anadili na tanesco tu kote nchini lakini mbunge anadili na secta zote jimboni kwake. afya,elimu,ujenzi,miradi ya maendeleo nk. na huyo huyo mbunge anaweza kuwa waziri mkuu,waziri katika wizara yeyote,naibu waziri,katibu mkuu,naibu katibu mkuu, nk ubunge ni deal ndugu zangu ndo maana unaona na kusikia watu wanauana katika kipindi hiki cha uchaguzi.
 
Naweza kusema katika inshu za uchaguzi mkuu, watu wakali zaidi na ambao sio wa kuchezewa ni wabunge ambao kimsingi wao hudhani Fikrani kuwa majimbo wanayoongoza ni Mali Binafsi kitu ambacho si cha kweli na mtu yeyote ambaye ataonekana kutaka jimbo hilo basi lolote limkute.

Pia katika Uwizi mkubwa wa Kura unaofanyikaga katika uchaguzi, wasuka mipango na wahusika wakubwa huwa ni Wabunge wanaomaliza vipindi vyao au ambao wanagombea, na kwa kidogo serikali ya Wilaya, na Rais mara nyingi huwa yupo mbali kwenye chain of Command hivyo interest ya wizi wa kura kwako ni kidogo. Hivyo kiuhalisia Uchaguzi ukiwa huru na wa Haki sidhani kama Rais aliyepo madarakani anaweza kushindwa bali atapata kura kwa Uchache sana, ila sasa wabunge ndo wataanguka vibaya mno, na wabunge wanalijua hilo hivyo wao huwa wanahusika na uwizi kwa asilimia kubwa.

Wabunge ambao ni mawaziri , na ambao ni washauri wakubwa wa Rais hawawezi kumshauri Rais aweke Uchaguzi huru na wa Haki kwakuwa wanajua wao ndo watakuwa wakwanza kuondolewa majimboni , kitu ambacho hawataki na hawawezi kufanya ili waendelee kuwa wabunge kwa njia hizo haramu, wabunge wa CCM waliingia kwa njia haramu hivyo hawatakubali njia hizo zitolewe mana zitawaathiri sana. Rais Hataathirika sana na atashinda japo kwa tofauti ya kura Chache. Hivyo No reform No Election na kutosaini kanuni kumehamisha vita ndani ya CCM, kuwa Ukipitishwa CCM wewe tayari ni mbunge moja kwa moja, sidhani kama CHAUMA au ACT wanaweza Tangazwa kwa Staili ya uchaguzi huu hata wakishinda

Pia kwa watu wa Karibu wa Mkurugenzi wa TANESCO aliyepata Ajali (Rest in Peace) toka kitambo alikuwa na mpango wa kugombea Jimbo la Bunda, hata kabla hajateuliwa kuchukua nafasi ya maharage chande, hivyo hatujui kama alikuwa na lengo la kugombea mwaka huu au la, lakini alikuwa na Nia ya kuchukua jimbo la Mtu. Sasa
basi mafisiemu watauana sana
 
Yaani uache Ukurugenzi wa TAAZETU ukagombee ubunge?

Labda kama alikuwa na "promise" ya kuwa Waziri. Hakuna taasisi inamianya ya kupiga pesa ndefu kama Taazetu.

Package ya MD wa TAAZETU Mbunge anasubiri mbali sana kwa mwezi. Mimi nikiwa MD TAAZETU nauchuna tuu mpaka wanitimue. 😁
 
Back
Top Bottom