Regia Mtema
R I P
- Nov 21, 2009
- 2,970
- 863
Wakuu salaam.
Baada ya kumaliza Kikao Cha Kamati Kuu Mjini Igunga Kazi za ujenzi wa chama zinaendelea.
Wakati Dr Slaa akishambulia Katesh Kamanda Lema,Chiku Abwao na Mimi mwenyewe tutakuwa na mkutano wa hadhara katika viwanja vya stendi ya zamani kuanzia saa 8 mchana. Kabla ya mkutano huu tumebahatika kutembelea na kujionea wenyewe jinsi kina mama na watoto wanavyopata tabu kupata maji.
Tumekutana na msururu wa ndoo, madumu wanawake na watoto wanasubiri maji katika eneo la Mwenge Sekondari.
Miaka 50 tangu Uhuru watu mpaka Leo wanatumia zaidi ya masaa 12 kwa Siku kusubiri maji. Mji wa Singida unahitaji special attention kuhusiana na suala la maji.
Kutoka Bwawa la Singida mjini Singida
Regia Mtema
================
PICHA:
Baada ya kumaliza Kikao Cha Kamati Kuu Mjini Igunga Kazi za ujenzi wa chama zinaendelea.
Wakati Dr Slaa akishambulia Katesh Kamanda Lema,Chiku Abwao na Mimi mwenyewe tutakuwa na mkutano wa hadhara katika viwanja vya stendi ya zamani kuanzia saa 8 mchana. Kabla ya mkutano huu tumebahatika kutembelea na kujionea wenyewe jinsi kina mama na watoto wanavyopata tabu kupata maji.
Tumekutana na msururu wa ndoo, madumu wanawake na watoto wanasubiri maji katika eneo la Mwenge Sekondari.
Miaka 50 tangu Uhuru watu mpaka Leo wanatumia zaidi ya masaa 12 kwa Siku kusubiri maji. Mji wa Singida unahitaji special attention kuhusiana na suala la maji.
Kutoka Bwawa la Singida mjini Singida
Regia Mtema
================
PICHA: