njiwa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2009
- 12,402
- 5,584
Kazi nzuri!mbona huku Tanga hamji?naona nguvu ya chadema huku kwa wasambaa,wabondei,wazigua,wadigo nk ipo chini sana.jitahidini mfike huku kwan wananchi wenge bdo hawajahamasika na hiki chama cha ukombozi tanzania
Kuna baadhi ya mikoa CDM hawafiki .. wakishindwa kwenye uchaguzi wanalalamika kura zimeibiwa..!