Wabunge wa CHADEMA waitikisa Singida Mjini

Kazi nzuri!mbona huku Tanga hamji?naona nguvu ya chadema huku kwa wasambaa,wabondei,wazigua,wadigo nk ipo chini sana.jitahidini mfike huku kwan wananchi wenge bdo hawajahamasika na hiki chama cha ukombozi tanzania

Kuna baadhi ya mikoa CDM hawafiki .. wakishindwa kwenye uchaguzi wanalalamika kura zimeibiwa..!
 
Kila la kheri katika kazi kubwa na ngumu ya kuwaamusha na kuwaelimisha watu kama walimu wa mji wa singida ambao bwana mdogo Dewji aliwanunua kwa dharau na kwa bei ndogo ya TZS 50,000.00. Mnatenda jambo zuri sana la kuwafanya watu waamuke na kujua haki zao na kuzidai
 
Regia umenichesha sana, hiyo ya Bwawa la singida ipo kwenye sera za Chadema au wewe umejisemea tu?

Mbona Dar haijachukuwa maji kutoka Bahari ya Indian maana ni mengi sana lakini bado kuna uhaba wa maji sana jijini Dar es Salaam?

Ebu muulize Mnadhimu wako kuhusu hao maji kabla ya kuyaongelea maana ni mwenyeji wa huko, maana husije ukadhani mambo ni marahisi wakati hujakabidhiwa alafu ukikabidhiwa unaanza kulia na kutoa machoa, kama Nyerere alivyosema anawaonea huruma wanaogombania kukimbia Ikulu wakidhani pana raha!

CCM ina Mpango mzuri sana wa maji ambao upo katika utekereza katika mji wa Singida na tatizo la maji linaweza kuja kuwa Historia baada ya huo mradi unaoendelea sasa.

Hapo kwenye RED sijui kwanin Regia Mtema anakuwa mgumu kuelewa.
Serikali ya CCM imeshaanza iko mbioni kuleta maji, michakato na mipango ya utekelezaji wa kuleta maji Singida ilishaanza.

Mipango, michakato na harakati hizi zimeanza miaka 50 iliyopita, na kabla ya mwaka 2061(miaka 50 baadaye) Singida itakuwa na maji chini ya uongozi mzuri wa sana wa CCM. Wajukuu wa wanasingida watayafaidi. Kwa staili hii hata mimi nitawapigia kura mwaka 2015. Tatizo Regia haelewi.
 
wapeni elimu ya uraia, wapeni hamasa ya ukombbozi wa taifa lao, uhuru kamili unakaribia tanzania
 
Ndege mmoja aliye mkononi ana thamani kuliko mia walio mtini,

Tatizo lenu pro CCM hamuanzishi habari za CCM mnasubiri matukio ya CDM ku-discuss, matokeo yake mnakuwa mnai-promote CDM bila kujua, hamuoni kuwa CDM wamewazidi akili kwa kuwa-keep busy kuongelea chama chao na kusahau chenu, nafikiri propaganda machinery ya CCM ina tatizo somewhere.

well, unaposema watu wenyewe walikuwa 10 tuambie CCM leo wamefanya mkutano wapi hata wa watu 10, kwa sababu toka jana tunasikia ni CDM Igunga, Mpendazoe Morogoro, Slaa Katesh, Lema Singida wapi CCM, think twice!!!!!
mkuuu unaipenda sana magamba wenzio huwa hatuwapi ushauri wa hivi wakafie mbali! kama hawaelewi hawaelewi tuu!
 
Regia umenichesha sana, hiyo ya Bwawa la singida ipo kwenye sera za Chadema au wewe umejisemea tu?

Mbona Dar haijachukuwa maji kutoka Bahari ya Indian maana ni mengi sana lakini bado kuna uhaba wa maji sana jijini Dar es Salaam?

Ebu muulize Mnadhimu wako kuhusu hao maji kabla ya kuyaongelea maana ni mwenyeji wa huko, maana husije ukadhani mambo ni marahisi wakati hujakabidhiwa alafu ukikabidhiwa unaanza kulia na kutoa machoa, kama Nyerere alivyosema anawaonea huruma wanaogombania kukimbia Ikulu wakidhani pana raha!

CCM ina Mpango mzuri sana wa maji ambao upo katika utekereza katika mji wa Singida na tatizo la maji linaweza kuja kuwa Historia baada ya huo mradi unaoendelea sasa.

We regia, unataka kuniambia kote walipo wabunge wa chadema hakuna matatizo ya maji? nakwamba ni juhudi zenu ndio zimeleta maji? acheni hizo bana. Naomba ije siku muwe chama tawala tuone kama matatizo haya tuliyonayo yataondoka just like that. ukiwa chama pinzani ni rahisi sana kumkosoa mwenzako. talk is cheep talk talk to much. yaondoeni matatizo jimboni kwenu tuone mfano.

Wakati Dr Slaa akishambulia Katesh Kamanda Lema,Chiku Abwao na Mimi mwenyewe tutakuwa na mkutano wa hadhara katika viwanja vya stendi ya zamani kuanzia saa 8 mchana. Kabla ya mkutano huu tumebahatika kutembelea na kujionea wenyewe jinsi kina mama na watoto wanavyopata tabu kupata maji.

Tumekutana na msururu wa ndoo, madumu wanawake na watoto wanasubiri maji katika eneo la Mwenge Sekondari.

Miaka 50 tangu Uhuru watu mpaka Leo wanatumia zaidi ya masaa 12 kwa Siku kusubiri maji. Mji wa Singida unahitaji special attention kuhusiana na suala la maji.

Kutoka Bwawa la Singida mjini Singida

Regia Mtema


I hate people who rushes into solutions without analysing the problem at particular environment!

Hili la kuona Bwawa la Singida ni jibu rahisi ya tatizo la maji kwa mji wa Singida ni ishara ya kutafuta na kifikiri majibu marahi bila kuchunguza chanzo cha tatizo kujuwa ugumu wa tatizo.

Nyekundu: @ Arafat..Mkuu hujampata vizuri Regia aliposema Kutoka Bwawa la Singida mjini Singida! Alichokimaanisha ni location walipokuwepo, yaani mahala walipokua wanafanyia huo mkutano wao. Sasa wewe kuanza kumshambulia juu ya sera za Chadema au kurush into solutions without analysis, nafikiri wewe ndio umerush into mashambulizi dhidi yake bila proper analysis ya nini aliachokiandika!!

Kijani: @ Mtanzania Haswa..mkuu tatizo la maji ni la nchi nzima si suala la majimbo yaliyo chini ya Chadema, CCM, CUF au NCCR-Mageuzi..ni janga la kitaifa. Walichofanya wakina Regia ni kuelezea hali halisi iliyopo Singida mahala ambako walikua wana mkutano wa hadhara.
 
mkuu Regia jana uliahidi kutuwekea fotos imekuwaje??naomba mtimize mnayoahidi

Nadhani sasapicha umeziona. Mh! alikuwa anasita kwani watu walikuwa kiduchu mno kwenye hiyo kitu inayoitwa '' kutikisa singida mjini''.

Sasa ikiwa mjini watu ni kiduchu kiasi hiki kiasi cha kupelekea mpiga picha kutumia ufundi wa hali yajuu wa kutoa watu kwa karibu ilikuogopa aibu ya mwaka waliyokutana nayo licha ya publicity ya hali ya juu iliyoongozwa na mifuso ya mh! mwenyekiti.

Hivi Mh! waziri (kivuli) mbona siku hizi ukiandika posts zako chini huweki kile cheo chako. Maana ulivyoanza kupewa hiki cheo kila ukiandika kwenye JF chini yake unaandika '' Waziri kivuli, kazi na ajira'' ???!!!!
 
Regia umenichesha sana, hiyo ya Bwawa la singida ipo kwenye sera za Chadema au wewe umejisemea tu?

Mbona Dar haijachukuwa maji kutoka Bahari ya Indian maana ni mengi sana lakini bado kuna uhaba wa maji sana jijini Dar es Salaam?

Ebu muulize Mnadhimu wako kuhusu hao maji kabla ya kuyaongelea maana ni mwenyeji wa huko, maana husije ukadhani mambo ni marahisi wakati hujakabidhiwa alafu ukikabidhiwa unaanza kulia na kutoa machoa, kama Nyerere alivyosema anawaonea huruma wanaogombania kukimbia Ikulu wakidhani pana raha!

CCM ina Mpango mzuri sana wa maji ambao upo katika utekereza katika mji wa Singida na tatizo la maji linaweza kuja kuwa Historia baada ya huo mradi unaoendelea sasa.

A typical fanatic is always firm to his team, as trying to demonstrate. CCM days in power are surely numbered.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom