We regia, unataka kuniambia kote walipo wabunge wa chadema hakuna matatizo ya maji? nakwamba ni juhudi zenu ndio zimeleta maji? acheni hizo bana. Naomba ije siku muwe chama tawala tuone kama matatizo haya tuliyonayo yataondoka just like that. ukiwa chama pinzani ni rahisi sana kumkosoa mwenzako. talk is cheep talk talk to much. yaondoeni matatizo jimboni kwenu tuone mfano.
Nyerere alikuwa anamuonea huruma kikwete, maana alikuwa na uhakika kazi ya urais haiwezi.
Regia umenichesha sana, hiyo ya Bwawa la singida ipo kwenye sera za Chadema au wewe umejisemea tu?
Mbona Dar haijachukuwa maji kutoka Bahari ya Indian maana ni mengi sana lakini bado kuna uhaba wa maji sana jijini Dar es Salaam?
Ebu muulize Mnadhimu wako kuhusu hao maji kabla ya kuyaongelea maana ni mwenyeji wa huko, maana husije ukadhani mambo ni marahisi wakati hujakabidhiwa alafu ukikabidhiwa unaanza kulia na kutoa machoa, kama Nyerere alivyosema anawaonea huruma wanaogombania kukimbia Ikulu wakidhani pana raha!
CCM ina Mpango mzuri sana wa maji ambao upo katika utekereza katika mji wa Singida na tatizo la maji linaweza kuja kuwa Historia baada ya huo mradi unaoendelea sasa.
si nyuma kama tabora, nakubaliana nawe elimu iendelee kutolewa. ukombozi wa taifa letu tanzania ndiyo kiu yetu.Kazi njema makamanda tunawatakia kila la kheri. Singida bado iko nyuma sana inahitaji uamsho wa kueleweka.
Nimevutiwa sana na maoni yako mkuu nakuunga mkono ila tungefarijika sana kama ugesema japo kwa mfano wangetoa suluhu gani kwa mawazo yako unaona yangefaa.Vizuri kupaza sauti juu ya changamoto na matatizo yanayoikumba jamii kila mnapopata nafasi ya kutembelea wananchi katika maeneo tofauti nchini.
Ushauri wangu; Msiishie kusema shida zao tu bali mtoe na suluhu ya hayo matatizo yao katika njia ambayo itaeleweka hasa kwa mwananchi wa kawaida ili atakae wabeza, wananchi watakua wameelewa ufumbuzi wa matatizo yao uko wapi.
Kwa njia hii mikutano yenu itakua na tija na faraja kwa wananchi mnaowatembelea na mtapata ushirikiano wa kutosha.
Msijikite katika kutoa lawama tu kwa watendaji wa serikali bali kuonyesha njia sahihi itakayo leta ukombozi.
Tumechoshwa na habari za ufisadi na ubadhilifu katika serikali na inavyoelekea hakuna njia ya kuwabana wahusika pindi wanapotajwa ingawa tunafarijika kwa wachache ambao hatua zimechukuliwa ingawa si za kuridhisha sana maana suala la tume nalo limekua kama sehemu ya kufichia hayo madhambi.
Ni maoni yangu tu hayo machache.
Regia umenichesha sana, hiyo ya Bwawa la singida ipo kwenye sera za Chadema au wewe umejisemea tu?
Mbona Dar haijachukuwa maji kutoka Bahari ya Indian maana ni mengi sana lakini bado kuna uhaba wa maji sana jijini Dar es Salaam?
Ebu muulize Mnadhimu wako kuhusu hao maji kabla ya kuyaongelea maana ni mwenyeji wa huko, maana husije ukadhani mambo ni marahisi wakati hujakabidhiwa alafu ukikabidhiwa unaanza kulia na kutoa machoa, kama Nyerere alivyosema anawaonea huruma wanaogombania kukimbia Ikulu wakidhani pana raha!
CCM ina Mpango mzuri sana wa maji ambao upo katika utekereza katika mji wa Singida na tatizo la maji linaweza kuja kuwa Historia baada ya huo mradi unaoendelea sasa.
kwa kigezo kipi unasema hivi? hujui hii ni hatua muhimu wa ukombozi mahali popote, ni lazima tuwaeleweshe wananchiwanahangaika tu,