Salanga
JF-Expert Member
- Nov 18, 2010
- 364
- 44
Acha wenye uchungu na Singida yao tushughullike .TENA uSHINDWE NA KULEGEAwanahangaika tu,
Acha wenye uchungu na Singida yao tushughullike .TENA uSHINDWE NA KULEGEAwanahangaika tu,
Kazi nzuri!mbona huku Tanga hamji?naona nguvu ya chadema huku kwa wasambaa,wabondei,wazigua,wadigo nk ipo chini sana.jitahidini mfike huku kwan wananchi wenge bdo hawajahamasika na hiki chama cha ukombozi tanzania
Watu wenyewe walikuwa kumi picha utapata wapiorait.......picha basi!!
Watu wenyewe walikuwa kumi picha utapata wapi
hivi ni lazima kila thread uchangie au ni kiherehere ndiyo kina kusumbua...Watu wenyewe walikuwa kumi picha utapata wapi
Ritz!Hivi wewe kazi yako ni ipi Mbunge au msemaji wa chama.
Kazi za ubunge unazifanya muda gani au ubunge wa viti maalum kazi zao kuongoza maandamano
Ndege mmoja aliye mkononi ana thamani kuliko mia walio mtini,Watu wenyewe walikuwa kumi picha utapata wapi