Mchaka Mchaka
JF-Expert Member
- Jul 20, 2010
- 4,517
- 1,428
Safi sana jibu zuri mnoooooooooooo!
unapenda kufurahishwa ee!
Safi sana jibu zuri mnoooooooooooo!
Propaganda!!!! Eti wanatumikia wananchi.... Kwa lipi? Wameshajenga barabara hata ya nusu kilomita? Kama hawajajenga wanawatumikia vipi wananchi? Ninyi ninyi CHADEMA mtasambaratika sana ifikapo mwaka 2015. Sasa hivi ni kelele tu za mbwa mwenye njaa. Siku ya siku ikifika hamtaamini kabisa. Mwaka 2015 CCM kura 80% CHADEMA 10.5% CUF 7.5% na UPPT Maendeleo 2%!!!! Amini usiamini...................
Kwanza napenda uelewe kuwa CCM ukiwachekea utavuna mabua....vyama vyote vilivyopita walitumia staili hiyo ya wao kufuata kanuni na CCM kutofuata kanuni bungeni...wamefikia hapo walipofika...Lissu alitaka kanuni za bunge zifuatwe kama ulifuatilia scenario ya Lema,basi ni wazi ungeelewa Ndugai alikuwa anafanya nini kwa Nchemba.
Pili...bandiko la Mwanakijiji nadhani hukulielewa,kasome vizuri...yeye anahimiza CHADEMA kutoomba fair game kwa CCM wanatakiwa kupambana...and now they are struggling mkuu!
Mbowe anafikiri kuongoza upinzani Bungeni ni kutembea kwa landcruiser ya serikali tu!!!
Uongozi wa upinzani umemshinda, sasa hivi wabunge wa chadema wanajiendea tu kama mbuzi wa Vingunguti wasiokuwa na mchungaji...
Hamad Rashid aliongoza vizuri upinzani Bungeni...
Nakichukia sana CHADEMA ingekuwa mimi ndio spika nisingewaruhusu wabunge makanjanja hasa Tundu Lissu, Godless, Sugu,Mbowe kunyanyua domo ndani ya bunge.
Wanakera na wanashusha hadhi ya bunge kama muhimili mmoja wapo wa serikali, mbunge gani asie na busara wala nidhamu kwakiongozi wake wa bunge kama si bangi ni nini?
Nchemba (mzinzi) serukamba, Lukuvi nawengineo kama hao hawashishi hadhi ya Bunge? Nadhani ni wakati wako kwenda limumba kupokea ujira wako kwa post yako hii
Nakichukia sana CHADEMA ingekuwa mimi ndio spika nisingewaruhusu wabunge makanjanja hasa Tundu Lissu, Godless, Sugu,Mbowe kunyanyua domo ndani ya bunge.
Wanakera na wanashusha hadhi ya bunge kama muhimili mmoja wapo wa serikali, mbunge gani asie na busara wala nidhamu kwakiongozi wake wa bunge kama si bangi ni nini?
Mkuu sikatai lakini wakati alipotolewa nje alitolewa kwa kanuni au Ndugai alijitungia tu?,sasa kama ndivyo ilikuwaje wale wengine wakaja kuzuia na yeye akakataa?huoni kwamba alivunja kanuni?!au hizi kanuni zinazonekana tu kwa wle wa CDM mKUU?!,MIMI SIWATETEI WALE wanaovunja kanuni hat kama angelikuwa ni rais namchana tu,lakini mbona wao waligoma kufuata kanuni?!
Kenya walikuwa wanazichapa umeona katiba waliyonayo? Mambo mazuri hayawezi kuja kwa kuwa na akili ile ile, utendeji ule ule halafu utegemee matokeo tofauti...!! Kwanza jibu swali hili kwa maneno machache ili tukujue kama na wewe ni GT au ni wale wale, Why is Tanzania poor??Nakichukia sana CHADEMA ingekuwa mimi ndio spika nisingewaruhusu wabunge makanjanja hasa Tundu Lissu, Godless, Sugu,Mbowe kunyanyua domo ndani ya bunge.
Wanakera na wanashusha hadhi ya bunge kama muhimili mmoja wapo wa serikali, mbunge gani asie na busara wala nidhamu kwakiongozi wake wa bunge kama si bangi ni nini?
Lazima uwachukia kwani wanakutieni magamba discipline mpaka hampumui upuuzi wenu wa ndio mlio kuwa mmeuzoea cdm hakuna ujinga huu ukondoo wa vyama vingie mlivyovionea sio cdm wananchi tunajua who is in the trueth JK mwenyewe mwenyekiti wenu anamhaha Tundu Lissu tulieni magamba mpewe kimojakimoja mpaka akili iwasogee.
mawazo ya mwanakijiji sio ya Mungu kuwa hayabadiliki ila ufahamu bungeni kazi kubwa si kubishana kama waimba taarabu ni sehumu muhimu ya kujadili hoja na sio matusi na kiburi.
Aliyetukana kajua ameteleza vipi hawa wengine wanaoleta maudhi kila siku?
BUNGE MODERN TAARAB inawakaribisha mashabiki wote
kwenye uzinduzi wa albamu yao mpya kabisa iliyobeba jina la 'FU C K YOU'!
NYIMBO hizi ambazo zipo katika mtindo wa mipasho, zitazinduliwa hivi karibuni"kwenye ukumbi mmoja huko Dodoma! Albamu hiyo ina nyimbo tano na watunzi kwenye mabano;
1 Mkuki Kwa Nguruwe---(Anna
Makinda)
2 Mimba zisizotarajiwa (Livingstone Lusinde)
3 Naongea na Mbwa Siongei na
mwenye Mbwa (Juma Nkamia)
4 Mkuki kwa Nguruwe remix (Job
Ndugai)
5 Come on f.uck you (Peter Serukamba)
Wahi uzinduzi na nunua nakala yako halisi!!!!