WABHEJASANA
JF-Expert Member
- Jun 22, 2011
- 4,225
- 869
Wabunge wanaojadili hoja na sio kuleta vioja.
Safi sana jibu zuri mnoooooooooooo!
Wabunge wanaojadili hoja na sio kuleta vioja.
Hulka ya bavicha hizi. madhara yake yanaonekana Bungeni...
Mleta uzi wewe unakera kuliko hao uliowataja
Tatizo kila mmoja wao anataka kujionyesha mbele ya familia yake kwamba amefanya kitu flani ndani ya Bunge,na nasikia kwamba kuna wengine wanapoingia Bungeni wanawapigia wake zao kwamba 'Wife angalia leo naenda kumchachafya Spika,naibu Spika'!!.
Kuna wabunge wana akili sana kwa mfano John Mnyika,ana hoja za maana sana,Zitto Kabwe akisema kitu kinaonekana,Halima Mdee,mbona wao wakisema na wakagomewa na hao mnaowaita CCM huwa tunachachamamaa na kuwatetea kwanini wakina lisu na kampuni yake wenyewe tunaowaona ovyooo!.hawa hawafai na sijui hata kama watarudi ndani ya hilo Bunge pengine wameshalijua hilo kwa hiyo wanataka kuweka historia ya kufanya vuruigu ndani ya Bunge.
kwa hiyo nkamia, mwigulu na serukamba wewe ndo wamekufurahisha, kazi kweli
Aise mkuu mwakombojeke wameshaiondoa haipatikani. Jamani uploading tena.
Mbowe anafikiri kuongoza upinzani Bungeni ni kutembea kwa landcruiser ya serikali tu!!!
Uongozi wa upinzani umemshinda, sasa hivi wabunge wa chadema wanajiendea tu kama mbuzi wa Vingunguti wasiokuwa na mchungaji...
Hamad Rashid aliongoza vizuri upinzani Bungeni...
Nakichukia sana chadema ingekuwa mimi ndio spika nisingewaruhusu wabunge makanjanja hasa tundu lissu, godless, sugu,mbowe kunyanyua domo ndani ya bunge.
Wanakera na wanashusha hadhi ya bunge kama muhimili mmoja wapo wa serikali, mbunge gani asie na busara wala nidhamu kwakiongozi wake wa bunge kama si bangi ni nini?
Jf' haki mmeinunua chadema, hadhi yake imepotea kwakuendeleza mapenzi yasio na mipaka, haya mod's ondoeni na haya mawazo yangu.
Hapa ndipo ambapo huwa nashindwa kuelewa utofauti wa CCM na CDM maana CCM wakitukana na CDM nao wanatukana eti kisa CCM wametukana. Jamani tubadilike, mtoto baba akipee kwenye chungu cha mboga haimaanishi na wewe upee kwenye chungu cha mboga. CDM wanatakiwa wawe mfano bora wa ustaarabu ili watu wanotice utofauti wa CCM na CDM.
Samahani bunge liliacha kuwa na kiongozi tangu pale mafisadi wenu walipohamasisha kuweka watu wao!! Yaani nyie hamna akili ya kuamua ni mpaka wenye feza wawaamulie? Kamuuliza bibi kama hakupigiwa simu tena akiwa kwao akachukue fomu!! Tunajua mengi wewe. Kama unanifukuza bila kosa kwa nini nitoke? Kamfukuzeni yule mbwa aliyesema Ngamia ndiyo huwa wanakimbia na mkiwa ukiwa ma-ta-ko-ni kauingiza hadi unagusa mkia!! Mbwa koko huyo wanaita!! Wabunde wa CDM si mbwa koko!! wanatumikia umma wa watanzania na nyie mnatumikia makundi ya walio nacho.
Kwanini haya yanatokea siku hizi? CDM mnatumia ukumbi wa bunge ni sehemu ya kampeni badala ya kutunga sheria na kujadili masuala ya maendeleo kila kukicha matukio yenu niya kutafuta huruma ya wananchi. Singo zenu zimeishiwa na wakati.
Huwa nikiona thread kama hizi nafurahi sana maana ni dalili njema kwa CHADEMA mda si mrefu.
Wabunge wa aina híi tuwakatae mapema haiwezekani mbunge kila kukicha unamsikia kalianzisha na si kafanya jambo flani kwa ajili kuletea taifa maendeleo.
Tuwakatae ndugu zangu wasirudi bungeni tena.
Bungeni sio sehemu ya mipasho.
Hapa ndipo ambapo huwa nashindwa kuelewa utofauti wa CCM na CDM maana CCM wakitukana na CDM nao wanatukana eti kisa CCM wametukana. Jamani tubadilike, mtoto baba akipee kwenye chungu cha mboga haimaanishi na wewe upee kwenye chungu cha mboga. CDM wanatakiwa wawe mfano bora wa ustaarabu ili watu wanotice utofauti wa CCM na CDM.