Wabunge wa CHADEMA mnakera sana

Wabunge wa CHADEMA mnakera sana

Bora mkuu uwaumbue tu, yaani haina kazi ya maana ni rushwa tu kuanzia kwa kofia, kununua kadi za wapiga kura, khanga, wali wa maharage. Yaani sijui niseme nini!! Miporojo tu imewajaa. Watanzania wanataka wasikie hoja za maana bunge la bajeti wao wanarushiana taarabu na matusi. Wale wanaotoa hoja za maana wanafukuzwa nje.

Haya mnayaongea saizi wenzenu wakiwa wamepanic kwa tabia mbaya za wabunge wa Cdm?
 
Aliyetukana kakosea na kaomba msamaha ila inakuaje mbunge unaamrishwa na spika ukae au kutoka ukumbini unakataa wewe kama si ganja ni nini? Nani anakuongoza bungeni?

Samahani bunge liliacha kuwa na kiongozi tangu pale mafisadi wenu walipohamasisha kuweka watu wao!! Yaani nyie hamna akili ya kuamua ni mpaka wenye feza wawaamulie? Kamuuliza bibi kama hakupigiwa simu tena akiwa kwao akachukue fomu!! Tunajua mengi wewe. Kama unanifukuza bila kosa kwa nini nitoke? Kamfukuzeni yule mbwa aliyesema Ngamia ndiyo huwa wanakimbia na mkiwa ukiwa ma-ta-ko-ni kauingiza hadi unagusa mkia!! Mbwa koko huyo wanaita!! Wabunde wa CDM si mbwa koko!! wanatumikia umma wa watanzania na nyie mnatumikia makundi ya walio nacho.
 
Aliyetukana kakosea na kaomba msamaha ila inakuaje mbunge unaamrishwa na spika ukae au kutoka ukumbini unakataa wewe kama si ganja ni nini? Nani anakuongoza bungeni?

unatakiwa utii amri halali
 
Mtakufa kwa stress for your fear and irrational hatred towards CHADEMA na hivi kila plan yenu inakuwa frustrated..... ndo kwisha habari yenu...

Wabunge wa cdm wanakichafua chama na kupelekea maudhi ya kukichukia.
Msomi na mtu aliyestaarabika hawezi bishana na Spika.
 
pole kwa kuchukia CHADEMA ila nadhani itapendeza kabla yakuchukia ungeanza na waziri mkuu maana badala ya kutoa maelezo yake kuhusu bajeti yake kamaliza dakika 45 anamzungumzia MBOWE kama ndiyo na CHADEMA hivi kweli hakuwa nakitu chakuwaeleza watanzania zaidi ya kumwongelea huyu mweshimiwa.Pili hata tukikubali kuwa wabunge wa CHADEMA niwakorofi je hawa wabunge wa CCM wao nivipi mbona kila anayeamka anazungumzia CHADEMA au ndiyo iliyowatuma bungeni nadhani wabunge wa CHADEMA wanastahili kufungwa milele wa CCM wanastahili kupigwa mawe mpaka wafe
 
Mpwa waache tu hawa vijana, mie nimechoka nao na wapo wengi kweli humu ndani sijui hata wanalipwa bei gani...
Waliosema "Mbwa", "Faka you" na "mchungaji wa Nguruwe" wote ni CHADEMA. kweli kuna haja ya kuwapima akili ikiwa ni pamoja na wewe mleta mada..
 
Nakichukia sana chadema ingekuwa mimi ndio spika nisingewaruhusu wabunge makanjanja hasa tundu lissu, godless, sugu,mbowe kunyanyua domo ndani ya bunge.
Wanakera na wanashusha hadhi ya bunge kama muhimili mmoja wapo wa serikali, mbunge gani asie na busara wala nidhamu kwakiongozi wake wa bunge kama si bangi ni nini?
Jf' haki mmeinunua chadema, hadhi yake imepotea kwakuendeleza mapenzi yasio na mipaka, haya mod's ondoeni na haya mawazo yangu.
Kabla ya hawa, wabunge gani walikuwa wanakufurahisha huko nyuma.
 
Wabunge wa cdm wanakichafua chama na kupelekea maudhi ya kukichukia.
Msomi na mtu aliyestaarabika hawezi bishana na Spika.

Spika yupi unamzungumzia? Ha ha ha!! Maadili na maana ya Bunge havieleweki!! Bunge limejaa miongozo kwa kuwa wanakurupuka na maneno yao!! Yaani matusi ya kampeni wanapeleka ndani ya Bunge?
 
pole kwa kuchukia CHADEMA ila nadhani itapendeza kabla yakuchukia ungeanza na waziri mkuu maana badala ya kutoa maelezo yake kuhusu bajeti yake kamaliza dakika 45 anamzungumzia MBOWE kama ndiyo na CHADEMA hivi kweli hakuwa nakitu chakuwaeleza watanzania zaidi ya kumwongelea huyu mweshimiwa.Pili hata tukikubali kuwa wabunge wa CHADEMA niwakorofi je hawa wabunge wa CCM wao nivipi mbona kila anayeamka anazungumzia CHADEMA au ndiyo iliyowatuma bungeni nadhani wabunge wa CHADEMA wanastahili kufungwa milele wa CCM wanastahili kupigwa mawe mpaka wafe

Kwanini haya yanatokea siku hizi? CDM mnatumia ukumbi wa bunge ni sehemu ya kampeni badala ya kutunga sheria na kujadili masuala ya maendeleo kila kukicha matukio yenu niya kutafuta huruma ya wananchi. Singo zenu zimeishiwa na wakati.
 
Wabunge wa cdm wanakichafua chama na kupelekea maudhi ya kukichukia.
Msomi na mtu aliyestaarabika hawezi bishana na Spika.
Ndiyo mana jana Rage alimwambia Lissu arudi akaosome yake ya sheria upya baada ya kumpa taarifa kumbe kanuni likuwa kaikosea!,hii ni hatari kuna hoja za msingi sana ambazo binafsi naziunga mkono lakini sio kile kinachoendelea,cha kuzomeana hili hata awe amefanya wa CCM nitamuona 'mwehu' kama ambavyo hata hao nawaona 'wehu'.
 
Mpaka angesifia CDM ndo ungeona ni mawazo?!,jadili hoja wacha uzandiki wako huo!
akili ndogo kamwe haiwezi ongoza akili kubwa utajisikiaje uko unaangalia tv sitting room katoto kako kakazima tv na taa zote kakasema haya wote mwende mkalale kile kiti pale mbele bora kuweka tarumbeta
 
Kwanini haya yanatokea siku hizi? CDM mnatumia ukumbi wa bunge ni sehemu ya kampeni badala ya kutunga sheria na kujadili masuala ya maendeleo kila kukicha matukio yenu niya kutafuta huruma ya wananchi. Singo zenu zimeishiwa na wakati.

Tatizo kila mmoja wao anataka kujionyesha mbele ya familia yake kwamba amefanya kitu flani ndani ya Bunge,na nasikia kwamba kuna wengine wanapoingia Bungeni wanawapigia wake zao kwamba 'Wife angalia leo naenda kumchachafya Spika,naibu Spika'!!.

Kuna wabunge wana akili sana kwa mfano John Mnyika,ana hoja za maana sana,Zitto Kabwe akisema kitu kinaonekana,Halima Mdee,mbona wao wakisema na wakagomewa na hao mnaowaita CCM huwa tunachachamamaa na kuwatetea kwanini wakina lisu na kampuni yake wenyewe tunaowaona ovyooo!.hawa hawafai na sijui hata kama watarudi ndani ya hilo Bunge pengine wameshalijua hilo kwa hiyo wanataka kuweka historia ya kufanya vuruigu ndani ya Bunge.
 
Back
Top Bottom