Nakichukia sana CHADEMA ingekuwa mimi ndio spika nisingewaruhusu wabunge makanjanja hasa Tundu Lissu, Godless, Sugu,Mbowe kunyanyua domo ndani ya bunge.
Wanakera na wanashusha hadhi ya bunge kama muhimili mmoja wapo wa serikali, mbunge gani asie na busara wala nidhamu kwakiongozi wake wa bunge kama si bangi ni nini?
Mi nafkiri we ni taahila ukiongeza na uanachama wa chama chakavu unapata wendawazimu,unawezaje kumheshimu mtu asyekuheshimu?wabunge wako wajingajinga vinywa vyao vimejaa maneno machafu mithiri ya septictank za choo cha stand walishasema nini cha maana?tangu uhuru selikari imeshindwa kupunguza rushwa,kufuta ujinga,kupunguza umaskini na hata kuondoa tatzo la madawati mashulen hawa unawaheshimu kwa lipi?
Hivi nikiyatumia maneno ya Serukamba kumjibu mleta mada hapa, mods watanifungia au wataniachia?
Je, kuomba radhi ilitosha, bila karipio au adhabu yoyote?
Nakichukia sana CHADEMA ingekuwa mimi ndio spika nisingewaruhusu wabunge makanjanja hasa Tundu Lissu, Godless, Sugu,Mbowe kunyanyua domo ndani ya bunge.
Wanakera na wanashusha hadhi ya bunge kama muhimili mmoja wapo wa serikali, mbunge gani asie na busara wala nidhamu kwakiongozi wake wa bunge kama si bangi ni nini?
Mwanadamu kukosea ni kawaida ila mbora wa kufanya kosa ni yule ambaye msamaha na pia sio tabia yake Serukamba it was an emotional mistake vipi Godless Lama mbona anarudiarudia kosa na haombi msamaha?
Sio kosa lako ni hiyo hali ya kufikiri kwa makalio au tumbo
Una elimu gani wewe? Siajabu unamatatizo ulibemendwa na wazazi wako wewe
Elimu ya Tindu Lissu hata babako hana sometime naona ni wivu tu unaokusumbua
Katika siku za karibuni wabunge karibu wote wa chadema wamekuwa wakali kutetea na kuapa kuwa nchi hii haiwezi kutawaliwa na waislam, na pia wamemshambulia Rais kuwa ndiye muasisi wa Udini huku wakisahau historia ya nchi hii.
Je, kwa mtazamo huu chadema sasa hakiwezi kuitwa chama cha harakati za kutetea Ukristo Tanzania? Kama wabunge wetu tuliowachagua wanasema hawataki nchi iwe ya kiislamu je, wanataka iwe ya kikristo? Je, kuna tofauti gani kati ya CHADEMA na KIKUNDI CHA UAMSHO?.
Na je, hii si kupoteza mwelekeo wa UMOJA WA KITAIFA?. Kwa nini waone tatizo la upande mmoja tuu wakati upande wa pili kumekuwa na malalamiko ya muda mrefu dhidi ya Serikali inayolalamikiwa na chadema kuwa inapendelea waislamu?
Je, huu sio mfano wa mpinga KRISTO mwenye jicho moja?
Nawakilisha kwa maslahi ya umoja wa kitaifa.
Wewe ni Mfakili.
Wananchi ni pamoja na imani zao.
Ina maana wabunge wa CDM wakiongelea misitu, mito na mbuga za wanyama pia utadai wameacha kuwatetea wananchi??
Ina maana wabunge wa CDM wakianza kuongelea wizi uliokithiri ofisi ya Rais wewe utadai wameacha kuwatetea wananchi???
Wewe ni mfakili wa ukweli.
Akili zako akiwekewa mbwa wangu nitamtelekeza mtaani milele. CHADEMA hawawezi kujenga barabara kwa kuwa si wao wanaoshikilia kodi na rasilimali za nchi. Mwenye jukumu la kujenga barabara si CDM wala CCM bali serikali ambayo ndio ina dhamana ya amana ya Taifa.
Kwa akili za namna yako huwezi kujua CDM inawatumikiaje wananchi. Ngoja nikumegee ufahamu kidogo ndugu yangu Malengelenge; CDM inawatumikia wananchi kwa kuhakikisha serikali inatekeleza wajibu wake na sio kutapanya fedha kama hizo wanazotaka kutenga kwa ajili ya mazishi ya watu ambao hawajafa bado.
Kuhusu hizo kura, siwezi kukataa kwamba matokeo hayatakuwa hivyo. Lakini kaa ukijua kuwa yatakuwa hivyo kwa kuwa Tanzania haina restriction ya watu mataahira kupiga kura. What do you expect when even you, Malengelenge has the right to vote with that head and brain?