Wabunge wa CHADEMA mnakera sana

Wabunge wa CHADEMA mnakera sana

Kiukweli chadema kimeleta uchangamfu wa uwajibikaji wa serikali yetu na muhimu kuwa na chama hiki kwani kuna viongozi wanaojitambua ndani ya chadema tatizo ni hawa wanaolazimisha kila wanaciotaka. Bunge wanalifanya sehemu ya kujitangaza kisiasa.

Hoja unayo mkuu. PKatika wabunge wa CHADEMA, pale mbunge ni Zitto tu. Anazungumza mambo ya msingi na hapapariki au kushabikia mambo ya kipuuzi. Thats y hata wabunge wa CCM wanampigia kura kuongoza kamati nyeti ya HESABU za serikali.
 
Hiyo inaonyesha ww ni mwana ccm wa kurith toka kwa baba,cc 2mechoka ahad fek kila kukicha bora waondoke,wabunge makanjanja ni baba yako na mama yako.
 
Hoja unayo mkuu. PKatika wabunge wa CHADEMA, pale mbunge ni Zitto tu. Anazungumza mambo ya msingi na hapapariki au kushabikia mambo ya kipuuzi. Thats y hata wabunge wa CCM wanampigia kura kuongoza kamati nyeti ya HESABU za serikali.

Hili ndio wasiotaka kulisikia baadhi ya wafuasi wa Chadema, wanadhani kupendwa kwa zito anatumiwa na Ccm but for real jamaa yupo smart katika siasa zake na sio mfuasi wa kila lisemwalo na wenzake.
 
Hiyo inaonyesha ww ni mwana ccm wa kurith toka kwa baba,cc 2mechoka ahad fek kila kukicha bora waondoke,wabunge makanjanja ni baba yako na mama yako.

Unaikumbuka hii? "Amelaaniwa mwenye kumtukana mzazi wake" .
 
Nadhani Jamii forum itusaidie pia nasi tujadili mstakabali wa Taifa letu tufike pahala mambo ya CCM na CHADEMA tuweke pembeni.Nchi yetu inakabiliwa na matatizo mengi sana.Kuipenda CCM ukaichukia CHADEMA amakuipenda CHADEMA ukaichukia CCM mi sioni hoja hapo TATIZO NI TAIFA LETU LINAELEKEA WAPI?.
 
Hakuna mwizi au fisadi yeyote anayewapenda wabunge hawa, wana wa nchi wanaoguswa na umaskini wa watanzania uliosababishwa na Chama cha Majambazi!
 
Nakichukia sana CHADEMA ingekuwa mimi ndio spika nisingewaruhusu wabunge makanjanja hasa Tundu Lissu, Godless, Sugu,Mbowe kunyanyua domo ndani ya bunge.

Wanakera na wanashusha hadhi ya bunge kama muhimili mmoja wapo wa dola, mbunge gani asie na busara wala nidhamu kwakiongozi wake wa bunge kama si bangi ni nini?.





Na we unajiita great thinker?
 
Nakichukia sana CHADEMA ingekuwa mimi ndio spika nisingewaruhusu wabunge makanjanja hasa Tundu Lissu, Godless, Sugu,Mbowe kunyanyua domo ndani ya bunge.

Wanakera na wanashusha hadhi ya bunge kama muhimili mmoja wapo wa dola, mbunge gani asie na busara wala nidhamu kwakiongozi wake wa bunge kama si bangi ni nini?.

kumugoragole winaaga haduguzalule muuyee, ziikomie hatangulakuboroga!!
 
[QUOTE......mbunge gani asie na busara wala nidhamu kwakiongozi wake wa bunge kama si bangi ni nini?.[/QUOTE]

Unawezaje kuwa na busara na nidhamu kwa kiongozi asiye na busara na akili zake kaweka mfukoni?.......Nidhamu manake nini? ukubali hata ujinga? Wabunge wa CCM wanao tukana fuke..i ....naongea na mwenye mbwa ndo wana nidhamu? Usidhani watz hawana akili kama wewe au hawaoni kinachoendelea.....
 
Hili ndio wasiotaka kulisikia baadhi ya wafuasi wa Chadema, wanadhani kupendwa kwa zito anatumiwa na Ccm but for real jamaa yupo smart katika siasa zake na sio mfuasi wa kila lisemwalo na wenzake.

Kama alivyo Deo Filikunjombe ndiye mbunge pekee wa CCM anaefanya kazi ya kibunge kulingana na katiba....na ndiye anaeongea hoja za maana kwa wananchi!
 
Hakuna mwizi au fisadi yeyote anayewapenda wabunge hawa, wana wa nchi wanaoguswa na umaskini wa watanzania uliosababishwa na Chama cha Majambazi!

Kumbe jamaa ni mwizi...ngoja nihame thread nisije kuporwa ka-simu kangu bure...
 
Ujinga ni ugonjwa wa akili, haki huletwa siyo kwa lelemama, watu wajinga hudanganywa kwa pipi, kipi kinakuudhi. kama unalamba lamba kutoka mezani kwa mafisadi lazima uchukie ukombozi karibu. Usalama wa Chama wanaachia kil kitu kiibiwe utalamba mwishowe utakufa lofa mkubwa huku wajanja walishachukua. Unga mkono wanaolambishwa pipi. Wanyofoa kucha za wapigania haki. Ungekuwa na akili ungechutama. kwakuwa ukosawa nao na marafi wa mali za uma endelea kuchukia ukombozi hauletwi na wengi wachache
 
Kuna kila dalili sasa kuwa CHADEMA kinaipeleka nchi hii kule walipodhamiria kuwa NCHI HII HAITATAWALIKA. Waliyasema haya. Mara baada ya maneno haya, palizuka mlolongo wa matukio ya ajabu sana kama vile:
1. Kutekwa kwa Dr. Ulimboka,
2. Kuuwawa kwa Mwandishi Mwangosi,
3. Kuuwawa Padre kule Zanzibar,
4. Kuuwawa kwa mpiga rangi viatu Morogoro,
5. Kuteswa kwa Kibanda,
6. Mpango wa kumteka Msaky, na
7. Sasa fujo za Bungeni.

Wanafanya hivi halafu, CHADEMA wanakuwa wakwanza kuilaumu Serikali, huku wakijua kuwa wao ndio master minders wa yote haya. Hivi ni lini sisi Watanzania tutafungua macho yetu na kukikataa Chama hiki? Mnatupeleka hatarini...Ni kwa sababu zote hizi, mimi nimeamua Kuvua Gwanda, wenzangu mnasubiri nini?:A S 39:

mpaka siku utakapo acha kufikiri kwa kutumia masaburi, ndiyo tutavua gwanda kwakuamini kuwa ukombozi kwa watu kama nyie wenye fikra mgando na kulishwa maneno kama kasuku mtakua mmejitambua.
 
Hawa wabunge Wa chadema wanapewa pesa za jimbo kila mwezi je wananchi wananufaika nazo wasituzuge kwa kelele zao bungeni msisahau waligoma posho hivi sasa wanavuta Mbowe ilikataa v8 sasa amelichukua
 
Nakichukia sana CHADEMA ingekuwa mimi ndio spika nisingewaruhusu wabunge makanjanja hasa Tundu Lissu, Godless, Sugu,Mbowe kunyanyua domo ndani ya bunge.

Wanakera na wanashusha hadhi ya bunge kama muhimili mmoja wapo wa dola, mbunge gani asie na busara wala nidhamu kwakiongozi wake wa bunge kama si bangi ni nini?.

kunywa sumu
 
Hawa wabunge Wa chadema wanapewa pesa za jimbo kila mwezi je wananchi wananufaika nazo wasituzuge kwa kelele zao bungeni msisahau waligoma posho hivi sasa wanavuta Mbowe ilikataa v8 sasa amelichukua

Hapo ndio utaona unafiki wa wabunge wa chadema wanavyoongea mbele ya bunge au hadhara utawakubali ila acts zao ni mbovu mno.
 
mleta mada nahisi katumwa au kuna shida kwenye ufahamu wake.ni vizur kutokumjibu maana unaweza ukajikuta unaropoka kama mwigulu
 
Je Makinda na Ndugai wanaendeshaje bunge?Acha kuropoka binadamu si mbuzi akihisi haki yake kuminywa atajilinda kwa vyovyote.Unategemea wafanyeje kwenye bunge lenye upendeleo wa wazi kama huu?Tafakar kwa makini kisha ipe akili yako muda ikupe majibu.
 
Back
Top Bottom