Haliali
JF-Expert Member
- Oct 1, 2012
- 574
- 263
na wewe umeibukia wapi? au umeamkia kweye viroba nini? angalia mabunge mengine uone. watu wanapigana hadi ngumi. wabunge wanatupiana hadi manyai viza ili kutetea maslahi ya wapiga kura wao. nyie mangamba mmezoea ndiyoooooooo tu bila ku analyse the effect of tha ndiyoooooo. au mnezoea NAUNGA MKUNO HOJA KWA 100% ILA NASHIDA ZIFUATAZO SASA HUO SIYO UK"££%^*(*****.
Nakichukia sana CHADEMA ingekuwa mimi ndio spika nisingewaruhusu wabunge makanjanja hasa Tundu Lissu, Godless, Sugu,Mbowe kunyanyua domo ndani ya bunge.
Wanakera na wanashusha hadhi ya bunge kama muhimili mmoja wapo wa dola, mbunge gani asie na busara wala nidhamu kwakiongozi wake wa bunge kama si bangi ni nini?.