Nakichukia sana CHADEMA ingekuwa mimi ndio spika nisingewaruhusu wabunge makanjanja hasa Tundu Lissu, Godless, Sugu,Mbowe kunyanyua domo ndani ya bunge.
Wanakera na wanashusha hadhi ya bunge kama muhimili mmoja wapo wa dola, mbunge gani asie na busara wala nidhamu kwakiongozi wake wa bunge kama si bangi ni nini?.
Nakichukia sana CHADEMA ingekuwa mimi ndio spika nisingewaruhusu wabunge makanjanja hasa Tundu Lissu, Godless, Sugu,Mbowe kunyanyua domo ndani ya bunge.
Wanakera na wanashusha hadhi ya bunge kama muhimili mmoja wapo wa dola, mbunge gani asie na busara wala nidhamu kwakiongozi wake wa bunge kama si bangi ni nini?.
Jinyonge Mburura wewe!Nakichukia sana CHADEMA ingekuwa mimi ndio spika nisingewaruhusu wabunge makanjanja hasa Tundu Lissu, Godless, Sugu,Mbowe kunyanyua domo ndani ya bunge.
Wanakera na wanashusha hadhi ya bunge kama muhimili mmoja wapo wa dola, mbunge gani asie na busara wala nidhamu kwakiongozi wake wa bunge kama si bangi ni nini?.
Mbowe anafikiri kuongoza upinzani Bungeni ni kutembea kwa landcruiser ya serikali tu!!!
Uongozi wa upinzani umemshinda, sasa hivi wabunge wa chadema wanajiendea tu kama mbuzi wa Vingunguti wasiokuwa na mchungaji...
Hamad Rashid aliongoza vizuri upinzani Bungeni...
I suspect you did not do enough research so that you could have made a much better conlusion, it seems what you stated is basically uninformed personal feelings. As we speak there is no bunge no Speaker no nothing ni mijengo tu imejaa watu wenye njaa na tamaa za maisha yao na familia zao. Jazba zote zilizopo dodoma ni njaa na umaskini. Asilimia kubwa ya wabunge hawajui hata wajibu wao au kwanini wapo bungeni, kama yupo mbunge mwenye mission ambayo inaweza kuwa na impact kwa jamii i think angejitoa katika bunge hili kuliko kuendelea na aibu iliyopo sasa.
Punguza panic unapotaka kuandika.Tuoneshe ni kipi CHADEMA wamefanya kinachopaswa kujadiliwa na wanajamvi. Kama ni suala lako binafsi la chuki dhidi ya CHADEMA unaweza kuwaita wakwe zako mjadili.SIONI CHA KUJADILI HAPA.Nakichukia sana CHADEMA ingekuwa mimi ndio spika nisingewaruhusu wabunge makanjanja hasa Tundu Lissu, Godless, Sugu,Mbowe kunyanyua domo ndani ya bunge. Wanakera na wanashusha hadhi ya bunge kama muhimili mmoja wapo wa dola, mbunge gani asie na busara wala nidhamu kwakiongozi wake wa bunge kama si bangi ni nini?.
Punguza panic unapotaka kuandika.Tuoneshe ni kipi CHADEMA wamefanya kinachopaswa kujadiliwa na wanajamvi. Kama ni suala lako binafsi la chuki dhidi ya CHADEMA unaweza kuwaita wakwe zako mjadili.SIONI CHA KUJADILI HAPA.
Join Date : 13th March 2013
Location : TANZANIA
Posts : 421
Rep Power : 390
Likes Received68
Likes Given9
UNA CHEO GANI LUMUMBA???
Punguza panic unapotaka kuandika.Tuoneshe ni kipi CHADEMA wamefanya kinachopaswa kujadiliwa na wanajamvi. Kama ni suala lako binafsi la chuki dhidi ya CHADEMA unaweza kuwaita wakwe zako mjadili.SIONI CHA KUJADILI HAPA.
Poa nyie mnauza masaburiWabunge wa cdm ni wauza sura.
Uyu lazima atakuwa mfuta meza na viti lumumbaJoin Date : 13th March 2013
Location : TANZANIA
Posts : 421
Rep Power : 390
Likes Received68
Likes Given9
UNA CHEO GANI LUMUMBA???
Nakichukia sana CHADEMA ingekuwa mimi ndio spika nisingewaruhusu wabunge makanjanja hasa Tundu Lissu, Godless, Sugu,Mbowe kunyanyua domo ndani ya bunge.
Wanakera na wanashusha hadhi ya bunge kama muhimili mmoja wapo wa dola, mbunge gani asie na busara wala nidhamu kwakiongozi wake wa bunge kama si bangi ni nini?.
Hisia zimekupa muongozo!!!
Others like you are poor thinker who always think about mind, Greator thinkers think about ideas na hawashikiwi akili kama wewe.
Povu la nini sasa kama hauja cha kujadili?