Wabunge wa CHADEMA mnakera sana

Wabunge wa CHADEMA mnakera sana

Je Makinda na Ndugai wanaendeshaje bunge?Acha kuropoka binadamu si mbuzi akihisi haki yake kuminywa atajilinda kwa vyovyote.Unategemea wafanyeje kwenye bunge lenye upendeleo wa wazi kama huu?Tafakar kwa makini kisha ipe akili yako muda ikupe majibu.

mzazi wako akikuchapa kwakosa ambalo haujalifanyala kumkaripia ndio njia sawa kuondoa uonevu huo? Chadema kama chama kinachojipanga kuleta ukombozi as they preach wanapaswa kuonyesha mfano.
 
Hawa wabunge Wa chadema wanapewa pesa za jimbo kila mwezi je wananchi wananufaika nazo wasituzuge kwa kelele zao bungeni msisahau waligoma posho hivi sasa wanavuta Mbowe ilikataa v8 sasa amelichukua

Hadithi yako inatufundisha nini.....?
 
mzazi wako akikuchapa kwakosa ambalo haujalifanyala kumkaripia ndio njia sawa kuondoa uonevu huo? Chadema kama chama kinachojipanga kuleta ukombozi as they preach wanapaswa kuonyesha mfano.

Huu mfano ni kwa machizi tu...hayo mambo ya kuchapa hovyo wanafanya wasio na akili timamu....they can beat you any where....haiki haiombwi,hudaiwa!
 
Nakichukia sana CHADEMA ingekuwa mimi ndio spika nisingewaruhusu wabunge makanjanja hasa Tundu Lissu, Godless, Sugu,Mbowe kunyanyua domo ndani ya bunge.

Wanakera na wanashusha hadhi ya bunge kama muhimili mmoja wapo wa dola, mbunge gani asie na busara wala nidhamu kwakiongozi wake wa bunge kama si bangi ni nini?.

We unadhani CHADEMA inahitaji kupendwa na watu wenye uwezo mdogo kichwani kama wewe!
 
Mkuu Nivea : ''Muda mwingine kumjibu mjinga yahitaji busara sana, ujinga ni nusu ya mauti'' - JF Member.

Kila mwenye fikra tofauti na chama chenu ni mjinga kwenu tushawazoea.
 
Last edited by a moderator:
wewe uwezo wako wa kufiria umeishia hapo kati ya ccm na chadema nani anatupeleka pabaya nikuulize maswali madogo.
Nani anatutapeli kupitia mikataba mibovu?
Nani ametusabaishia Richmond na EPA?
Nani wanasafirisha pembe za dovu nje?
Nani wanachaguana kwa rushwa kwenye chaguzi cha ndani ya chama
Majibu unayo mwenyewe, usidanganyike kijana Nyoka nyoka tu hata akivaa ngozi ya chura bado nyoka tu.
mpaka siku utakapo acha kufikiri kwa kutumia masaburi, ndiyo tutavua gwanda kwakuamini kuwa ukombozi kwa watu kama nyie wenye fikra mgando na kulishwa maneno kama kasuku mtakua mmejitambua.
 
Mfano wako ni butu kwani bungeni hakuna mzazi wa mtu na wote ni wawakilishi wa wananchi na wanahaki sawa
 
Huoni kama afadhali hata hao kuliko wanaoenda kulala mpaka kudondosha mate.....wanaishia kusingizia wamekunywa dawa!
 
Kama sio mjinga thibitisha hapa JF tuamini!

Nithibitishe nini? Kwani we hauwaoni wanavyokurupuka humu ndani na matusi kwa mtu ajaye na mawazo tofauti haijalishi ni kiongozi wao au nani.
 
Basi Chadema ni hatari sana na serikali ni dhaifu kupita kiasi! Kama hata usalama na polisi wanakisaidia kutekeleza haya mambo basi 2015 nchi itakuwa mikononi mwa opposition. Shida ya CCM wanadhani watanzania wa leo ni wa miaka ya 1990 (wazee, labda). Kizazi hiki kinachambua mambo isipokuwa wachache wanaoifaidi system moja kwa moja. Watu wanajua njia wanayotumia CCM ndio ile ile iliyotumika kuimaliza NCCR na CUF, hivyo hakuna geni. Inachotakiwa kufanya kama chama ni kujikita kwenye utekelezaji wa ilani ya uchaguzi kwani chama kinaposuka hujuma, mambo yanapoback-fire, inakimaliza zaidi.
 
Nakichukia sana CHADEMA ingekuwa mimi ndio spika nisingewaruhusu wabunge makanjanja hasa Tundu Lissu, Godless, Sugu,Mbowe kunyanyua domo ndani ya bunge.

Wanakera na wanashusha hadhi ya bunge kama muhimili mmoja wapo wa dola, mbunge gani asie na busara wala nidhamu kwakiongozi wake wa bunge kama si bangi ni nini?.

Join Date : 13th March 2013
Location : TANZANIA
Posts : 421
Rep Power : 390
Likes Received68
Likes Given9

UNA CHEO GANI LUMUMBA???
 
Nakichukia sana CHADEMA ingekuwa mimi ndio spika nisingewaruhusu wabunge makanjanja hasa Tundu Lissu, Godless, Sugu,Mbowe kunyanyua domo ndani ya bunge.

Wanakera na wanashusha hadhi ya bunge kama muhimili mmoja wapo wa dola, mbunge gani asie na busara wala nidhamu kwakiongozi wake wa bunge kama si bangi ni nini?.

Pole sana ndugu yangu!Wataalamu wa Sayansi ya Siasa(Political Scientists) wanasema kwamba "Any status quo will continue to exist when unopposed" Hivyo HADHI ya bunge si kukubali upuuzi ili mbunge aitwe Mh.!Hadhi ya bunge ni KUIKABA SERIKALI KILA KONA ILI KUHAHAIKISHA WANANCHI wanapata afueni ya maisha ..Mbunge yeyote asiye tayari kuikaba shingo serikali ndite anayeshusha hadhi ya bunge!Bunge na serikali ni timu pinzani!FAIR PLAY huwa haimaanishai kwamba uko tayari kufungwa!Mbunge aliye tayari bunge lishindwe kuikaba serikali ni sawa na mcheza mpira anayekususia kujifunga goli/au kuchukua hela ya timu pinzani kusudi acheze chini ya Kiwango!CHADEMA hawawezi kucheza chini ya kiwango maana wanajua kwamba UBUNGE wao hautokana na RUSHWA wala mizengwe!Wana mkataba na wapiga kura!
 
Basi Chadema ni hatari sana na serikali ni dhaifu kupita kiasi! Kama hata usalama na polisi wanakisaidia kutekeleza haya mambo basi 2015 nchi itakuwa mikononi mwa opposition. Shida ya CCM wanadhani watanzania wa leo ni wa miaka ya 1990 (wazee, labda). Kizazi hiki kinachambua mambo isipokuwa wachache wanaoifaidi system moja kwa moja. Watu wanajua njia wanayotumia CCM ndio ile ile iliyotumika kuimaliza NCCR na CUF, hivyo hakuna geni. Inachotakiwa kufanya kama chama ni kujikita kwenye utekelezaji wa ilani ya uchaguzi kwani chama kinaposuka hujuma, mambo yanapoback-fire, inakimaliza zaidi.

Hujuma gani zimethibitishwa mmesukiwa kama si kuonyesha wewe ni Mtanzania uliyeishiwa cha kuwaambia watz wenzako?.
 
Pole sana ndugu yangu!Wataalamu wa Sayansi ya Siasa(Political Scientists) wanasema kwamba "Any status quo will continue to exist when unopposed" Hivyo HADHI ya bunge si kukubali upuuzi ili mbunge aitwe Mh.!Hadhi ya bunge ni KUIKABA SERIKALI KILA KONA ILI KUHAHAIKISHA WANANCHI wanapata afueni ya maisha ..Mbunge yeyote asiye tayari kuikaba shingo serikali ndite anayeshusha hadhi ya bunge!Bunge na serikali ni timu pinzani!FAIR PLAY huwa haimaanishai kwamba uko tayari kufungwa!Mbunge aliye tayari bunge lishindwe kuikaba serikali ni sawa na mcheza mpira anayekususia kujifunga goli/au kuchukua hela ya timu pinzani kusudi acheze chini ya Kiwango!CHADEMA hawawezi kucheza chini ya kiwango maana wanajua kwamba UBUNGE wao hautokana na RUSHWA wala mizengwe!Wana mkataba na wapiga kura!

Sijakataa juu ya kuibana serikali ila serikali inabanwa kwahoja au viloja unavyoshuhudia bungeni vya muongozi wa kila mara? Hizo hoja za kuibana utajenga saa ngapi?
 
Back
Top Bottom