Wabunge wa CHADEMA, Halima Mdee na Esther Bulaya wajisalimisha kwa nabii Suguye, Waombewa na kupakwa mafuta ya " Mpenyo"

Wabunge wa Chadema waheshimiwa Halima Mdee na Esther Bulaya jana walikuwa katika kanisa la WRM kwa mtume na nabii Suguye ambako waliombewa na kupakwa mafuta ya Mpenyo.

Sasa ni wazi baada ya kupokea upako wa mafuta ya " mpenyo" wataweza kupenya mahali popote iwe bungeni, Ufipa au serikalini bila hofu yoyote kwa sababu Mungu yuko pamoja nao.

Wabarikiwe Halima Mdee na Esther Bulaya

Ibarikiwe Chadema

Source WRM tv

Ukinizingua Nitakuzingua!
CHADEMA HAINA WABUNGE HAO ACHA KUJITOA UFAHAMU
 
Wabunge wa Chadema waheshimiwa Halima Mdee na Esther Bulaya jana walikuwa katika kanisa la WRM kwa mtume na nabii Suguye ambako waliombewa na kupakwa mafuta ya Mpenyo.

Sasa ni wazi baada ya kupokea upako wa mafuta ya " mpenyo" wataweza kupenya mahali popote iwe bungeni, Ufipa au serikalini bila hofu yoyote kwa sababu Mungu yuko pamoja nao.

Wabarikiwe Halima Mdee na Esther Bulaya

Ibarikiwe Chadema

Source WRM tv

Ukinizingua Nitakuzingua!
Mafuta ya mpenyo!!
 
Wabunge wa Chadema waheshimiwa Halima Mdee na Esther Bulaya jana walikuwa katika kanisa la WRM kwa mtume na nabii Suguye ambako waliombewa na kupakwa mafuta ya Mpenyo.

Sasa ni wazi baada ya kupokea upako wa mafuta ya " mpenyo" wataweza kupenya mahali popote iwe bungeni, Ufipa au serikalini bila hofu yoyote kwa sababu Mungu yuko pamoja nao.

Wabarikiwe Halima Mdee na Esther Bulaya

Ibarikiwe Chadema

Source WRM tv

Ukinizingua Nitakuzingua!
Bwashee una mambo weye!
 
Wabunge wa Chadema waheshimiwa Halima Mdee na Esther Bulaya jana walikuwa katika kanisa la WRM kwa mtume na nabii Suguye ambako waliombewa na kupakwa mafuta ya Mpenyo.

Sasa ni wazi baada ya kupokea upako wa mafuta ya " mpenyo" wataweza kupenya mahali popote iwe bungeni, Ufipa au serikalini bila hofu yoyote kwa sababu Mungu yuko pamoja nao.

Wabarikiwe Halima Mdee na Esther Bulaya

Ibarikiwe Chadema

Source WRM tv

Ukinizingua Nitakuzingua!
Ili wapenye kwenye uteuzi
 
Wabunge wa Chadema waheshimiwa Halima Mdee na Esther Bulaya jana walikuwa katika kanisa la WRM kwa mtume na nabii Suguye ambako waliombewa na kupakwa mafuta ya Mpenyo.

Sasa ni wazi baada ya kupokea upako wa mafuta ya " mpenyo" wataweza kupenya mahali popote iwe bungeni, Ufipa au serikalini bila hofu yoyote kwa sababu Mungu yuko pamoja nao.

Wabarikiwe Halima Mdee na Esther Bulaya

Ibarikiwe Chadema

Source WRM tv

Ukinizingua Nitakuzingua!
Hivi walishaoana?
 
Back
Top Bottom