CHADEMA HAINA WABUNGE HAO ACHA KUJITOA UFAHAMUWabunge wa Chadema waheshimiwa Halima Mdee na Esther Bulaya jana walikuwa katika kanisa la WRM kwa mtume na nabii Suguye ambako waliombewa na kupakwa mafuta ya Mpenyo.
Sasa ni wazi baada ya kupokea upako wa mafuta ya " mpenyo" wataweza kupenya mahali popote iwe bungeni, Ufipa au serikalini bila hofu yoyote kwa sababu Mungu yuko pamoja nao.
Wabarikiwe Halima Mdee na Esther Bulaya
Ibarikiwe Chadema
Source WRM tv
Ukinizingua Nitakuzingua!
Hahahahaha mwenzako yupo serious we unataka kumpa mpenyoAcha mikwara wewe nitakupaka mpenyo.
Mafuta ya mpenyo!!Wabunge wa Chadema waheshimiwa Halima Mdee na Esther Bulaya jana walikuwa katika kanisa la WRM kwa mtume na nabii Suguye ambako waliombewa na kupakwa mafuta ya Mpenyo.
Sasa ni wazi baada ya kupokea upako wa mafuta ya " mpenyo" wataweza kupenya mahali popote iwe bungeni, Ufipa au serikalini bila hofu yoyote kwa sababu Mungu yuko pamoja nao.
Wabarikiwe Halima Mdee na Esther Bulaya
Ibarikiwe Chadema
Source WRM tv
Ukinizingua Nitakuzingua!
Kwenye Mpenyo.Nabii amewapaka hayo mafuta wapi?
Kwenye mipenyo yaoNabii amewapaka hayo mafuta wapi?
Bwashee una mambo weye!Wabunge wa Chadema waheshimiwa Halima Mdee na Esther Bulaya jana walikuwa katika kanisa la WRM kwa mtume na nabii Suguye ambako waliombewa na kupakwa mafuta ya Mpenyo.
Sasa ni wazi baada ya kupokea upako wa mafuta ya " mpenyo" wataweza kupenya mahali popote iwe bungeni, Ufipa au serikalini bila hofu yoyote kwa sababu Mungu yuko pamoja nao.
Wabarikiwe Halima Mdee na Esther Bulaya
Ibarikiwe Chadema
Source WRM tv
Ukinizingua Nitakuzingua!
Mngewafuta uanachamaHao sio wabunge wa chadema, ni upotoshaji mkubwa.
Ili wapenye kwenye uteuziWabunge wa Chadema waheshimiwa Halima Mdee na Esther Bulaya jana walikuwa katika kanisa la WRM kwa mtume na nabii Suguye ambako waliombewa na kupakwa mafuta ya Mpenyo.
Sasa ni wazi baada ya kupokea upako wa mafuta ya " mpenyo" wataweza kupenya mahali popote iwe bungeni, Ufipa au serikalini bila hofu yoyote kwa sababu Mungu yuko pamoja nao.
Wabarikiwe Halima Mdee na Esther Bulaya
Ibarikiwe Chadema
Source WRM tv
Ukinizingua Nitakuzingua!
Hivi walishaoana?Wabunge wa Chadema waheshimiwa Halima Mdee na Esther Bulaya jana walikuwa katika kanisa la WRM kwa mtume na nabii Suguye ambako waliombewa na kupakwa mafuta ya Mpenyo.
Sasa ni wazi baada ya kupokea upako wa mafuta ya " mpenyo" wataweza kupenya mahali popote iwe bungeni, Ufipa au serikalini bila hofu yoyote kwa sababu Mungu yuko pamoja nao.
Wabarikiwe Halima Mdee na Esther Bulaya
Ibarikiwe Chadema
Source WRM tv
Ukinizingua Nitakuzingua!