Wabunge wa CCM oneni aibu - saidieni jitihada za Rais kupitia ugawaji wa pikipiki kwenye kata

Kabende Msakila

JF-Expert Member
Oct 7, 2020
1,465
1,331
Naenda kwenye hoja moja kwa moja. Kwa kutambua mchango wa viongozi wa CCM wote ngazi ya kata nchini Mwenyekiti wa CCM taifa ametoa pikipiki kwa Makatibu CCM Kata na jumuiya zake.

Ili wagawiwe pikipiki hizo viongozi hao wanatakiwa kulipia gharama kadhaa - sasa baadhi ya wilaya ikiwemo Kakonko viongozi hao wanapaswa kulipia tzs 133,000/=. Sasa viongozi hao ndiyo nguzo ya ushindi kwa madiwani, na wabunge why ktk zoezi hili wabunge wasikubali kubeba gharama hizo?

Katika uchaguzi wa Serikali za mitaa ujao pikipiki hizi ndizo nyenzo muhimu za ushindi - wabunge tafakalini hilo na kuichukuwa hatua haraka.

Ngaika Ndenda
Kakonko
 
Mkuu,
Toa hiyo ulio SEMA 133,000/= ili uwe na uchungu NAYO

Acha janja janja na kupenda vya free Kama ma POTI lipia pesa elekezi ili uwe na uchungu na chombo usione vyaelea vimeundwa

Wasalaam
 
Naenda kwenye hoja moja kwa moja. Kwa kutambua mchango wa viongozi wa CCM wote ngazi ya kata nchini Mwenyekiti wa CCM taifa ametoa pikipiki kwa Makatibu CCM Kata na jumuiya zake.

Ili wagawiwe pikipiki hizo viongozi hao wanatakiwa kulipia gharama kadhaa - sasa baadhi ya wilaya ikiwemo Kakonko viongozi hao wanapaswa kulipia tzs 133,000/=. Sasa viongozi hao ndiyo nguzo ya ushindi kwa madiwani, na wabunge why ktk zoezi hili wabunge wasikubali kubeba gharama hizo?

Katika uchaguzi wa Serikali za mitaa ujao pikipiki hizi ndizo nyenzo muhimu za ushindi - wabunge tafakalini hilo na kuichukuwa hatua haraka.

Ngaika Ndenda
Kakonko
comrade,
una wazo zuri.
ila, ili viongozi hao wawe waangalifu, makini zaidi na uchungu na hivyo vitendea kazi hivyo muhimu kwenye maeneo yao, ni vema wakawajibika kuvimiliki kwa wao kumalizia kuchangia gharama hizo kidogo ili matunzo yawe ni mazuri kidogo 🐒
 
Mmeshapewa pikipiki yenye thamani ya milioni 3 au zaidi, bado mnataka na laki na 33 nazo mlipiwe!?,kama mnamaanisha mtakuwa hampo serious kabisaa. Tena ningekuwa mimi ningetangaza atakayeshindwa kulipia hiyo 133,000 na pikipiki asipewe ipelekwe sehemu nyingine.
 
Mmeshapewa pikipiki yenye thamani ya milioni 3 au zaidi, bado mnataka na laki na 33 nazo mlipiwe!?,kama mnamaanisha mtakuwa hampo serious kabisaa. Tena ningekuwa mimi ningetangaza atakayeshindwa kulipia hiyo 133,000 na pikipiki asipewe ipelekwe sehemu nyingine.
Naona kwenye hili tumesimama pamoja haina Namna wachangie hicho kiasi kidogo Cha 133,000/= ili wakabidhiwe chombo.
 
comrade,
una wazo zuri.
ila, ili viongozi hao wawe waangalifu, makini zaidi na uchungu na hivyo vitendea kazi hivyo muhimu kwenye maeneo yao, ni vema wakawajibika kuvimiliki kwa wao kumalizia kuchangia gharama hizo kidogo ili matunzo yawe ni mazuri kidogo 🐒
Comrade,
Naona wengi kwenye hili tumesimama pamoja kwa kweli wachangie TU hicho kiasi kidogo Cha 133,000/= ili wakabidhiwe chombo ndio watakua na uchungu navyo na Hawata kiburuza ovyo ovyo Kama wakipewa bure
Nayasema haya kwa Nia njema na nzuri TU

Wasalaam
 
Back
Top Bottom