Simiyu Yetu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2013
- 18,949
- 4,643
Mkuu kikubwa tusubiri wakati utazungumza watu watatia aibu mpaka basi.MKUU@ Simiyu yetu umewasahau Capt.John Komba
Mwigulu Nchemba
Nyambari Nyangwine
Steven Masatu Wasira
Prof. Mark Mwandosya
Mh.Zambi
Wote hao kwa bahat nzuri nimefka majimboni mwao,, huwezi amini kama majimbo yao yana wawakilishi Bungeni,,, kiukweli hakuna kitu walichofanya.
Siyo waongeaji na pia siyo watendaji. Ila ni wapokeaji wazuri wa posho