Ngoja tusubiri ni maoni yako mkuu.Karibu wabunge wote wa CCM watahamia upinzani 2015. Mark my words!
Ndiyo sehemu nilizobahatika kupita mkuu siku nikipita na wale wa chama tawala nitadodosa pia.Mbona umeweka wa upinzani tu.
Wakuu amani kwenu nyote,
kumekuwa na utamaduni wa wabunge kuongea kwa sauti kubwa bungeni na kelele nyingi kumbe kwenye majimbo yao hakuna walichofanya hata chembe zaidi ya kujitapa bungeni na kuandikwa magazetini tu.
Kelele za wabunge wa namna hii wanapokuwa bungeni wamefanya jamii kuwaona kuwa ni wabunge hodari sana wanaopigania haki na maendeleo ya watu wao kumbe huwa ni gelesha tu wengine hupiga kelele ili watu fulani wawatafute na kuwakatia chao.
Nilifanikiwa kupita baadhi ya majimbo nikiwa kwenye mishe zangu nimebaini kuwa kunawabunge hata kuonekana kwenye majimbo yao wanaona soo na baadhi yao wanamipango ya kukimbia majimbo yao ya awali ili wakagombee sehemu zingine ambako bado hawajachokwa.
wabunge wafuatao wakirudi tena bungeni kupitia majimbo yao ya awali naacha kufuatilia siasa kabisa kwani hawatakiwi kabisa kwenye majimbo yao nao ni:
1. Mkosamali
2. David silinde
3.machali na
4.zitto
Wapo watakaobisha kwa sababu zao ila wakati ukifika tukumbushane hawarudi pengine waende kwenye majimbo mengine ambako hawajulikani.
Wakuu amani kwenu nyote,
kumekuwa na utamaduni wa wabunge kuongea kwa sauti kubwa bungeni na kelele nyingi kumbe kwenye majimbo yao hakuna walichofanya hata chembe zaidi ya kujitapa bungeni na kuandikwa magazetini tu.
Kelele za wabunge wa namna hii wanapokuwa bungeni wamefanya jamii kuwaona kuwa ni wabunge hodari sana wanaopigania haki na maendeleo ya watu wao kumbe huwa ni gelesha tu wengine hupiga kelele ili watu fulani wawatafute na kuwakatia chao.
Nilifanikiwa kupita baadhi ya majimbo nikiwa kwenye mishe zangu nimebaini kuwa kunawabunge hata kuonekana kwenye majimbo yao wanaona soo na baadhi yao wanamipango ya kukimbia majimbo yao ya awali ili wakagombee sehemu zingine ambako bado hawajachokwa.
wabunge wafuatao wakirudi tena bungeni kupitia majimbo yao ya awali naacha kufuatilia siasa kabisa kwani hawatakiwi kabisa kwenye majimbo yao nao ni:
1. Mkosamali
2. David silinde
3.machali na
4.zitto
Wapo watakaobisha kwa sababu zao ila wakati ukifika tukumbushane hawarudi pengine waende kwenye majimbo mengine ambako hawajulikani.
Wakuu amani kwenu nyote,
kumekuwa na utamaduni wa wabunge kuongea kwa sauti kubwa bungeni na kelele nyingi kumbe kwenye majimbo yao hakuna walichofanya hata chembe zaidi ya kujitapa bungeni na kuandikwa magazetini tu.
Kelele za wabunge wa namna hii wanapokuwa bungeni wamefanya jamii kuwaona kuwa ni wabunge hodari sana wanaopigania haki na maendeleo ya watu wao kumbe huwa ni gelesha tu wengine hupiga kelele ili watu fulani wawatafute na kuwakatia chao.
Nilifanikiwa kupita baadhi ya majimbo nikiwa kwenye mishe zangu nimebaini kuwa kunawabunge hata kuonekana kwenye majimbo yao wanaona soo na baadhi yao wanamipango ya kukimbia majimbo yao ya awali ili wakagombee sehemu zingine ambako bado hawajachokwa.
wabunge wafuatao wakirudi tena bungeni kupitia majimbo yao ya awali naacha kufuatilia siasa kabisa kwani hawatakiwi kabisa kwenye majimbo yao nao ni:
1. Mkosamali
2. David silinde
3.machali na
4.zitto
Wapo watakaobisha kwa sababu zao ila wakati ukifika tukumbushane hawarudi pengine waende kwenye majimbo mengine ambako hawajulikani.
Hii inamuhusu sana
1.Mwigulu Nchemba na
2.Said kigwangallah
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
shibuda
mwigulu
lusinde
kigwangala
nkamia
maha(Rage)
ndugai
Luku V
menye makinda
Ndiyo sehemu nilizobahatika kupita mkuu siku nikipita na wale wa chama tawala nitadodosa pia.