Mjenda Chilo
JF-Expert Member
- Jul 20, 2011
- 1,467
- 513
Kutetewa ni haki yake ya msingi kabisa. kuanza kupre-empty na kusafisha ndio kero yetu. Eti ni mtoto hayo ni mambo ya defence ambayo hata haijaanza na waliyasema makusudi ili kushape mashtaka, hongera Kenyela hujamsikiliza mtu. hiyo b/certfct ata iproduce mahakamani na validity itajulikana. Kuingilia uchunguzi tena kwa lawyer ni hatari.
Mind u kuna interest kibao. Lulu, Kifo, maadili, impact, precedent, society.
Mind u kuna interest kibao. Lulu, Kifo, maadili, impact, precedent, society.