Wabunge Halima Mdee na Esther Bulaya wamefurahi Kanumba kufa?

Kutetewa ni haki yake ya msingi kabisa. kuanza kupre-empty na kusafisha ndio kero yetu. Eti ni mtoto hayo ni mambo ya defence ambayo hata haijaanza na waliyasema makusudi ili kushape mashtaka, hongera Kenyela hujamsikiliza mtu. hiyo b/certfct ata iproduce mahakamani na validity itajulikana. Kuingilia uchunguzi tena kwa lawyer ni hatari.
Mind u kuna interest kibao. Lulu, Kifo, maadili, impact, precedent, society.
 
Lulu hana hatia bado hadi mahakama ithibitishe.
Na Mh. Halima km mwanasheria akijitolea kumtetea, sidhani km ana hatia.
Ht wenye kesi za uhaini huwekewa mawakili na serikali, ili haki itendeke.
Sijaöna uovu katika nia njema ya Waheshimiwa hawa.
 
Wana JF ukweli ni huu: Simu iliyomuua KANUMBA ni kwamba LULU alikuwa anachati na Mheshimiwa ZITTO ZUBERI KABWE. Kanumba akiwa bafuni alimsikia LULU akise ZITTO KABWE I LOVE YOU THAN ANY BODY and TAKE A KISS MWAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA. I miss you ZITTO KABWE. KANUMBA is just for short time but you ZITTO KABWE is FOR FOREVER. Baada ya kusikia hivyo kanumba alitoka bafuni na mapovu yake bila kujifuta na ndio mapovu ambayo madaktari waliyaona kwa kanumba. Halima Mdee ndio kuwadi wa Zitto aliofanikisha mpango wa zitto kumapta LULU kimapenzi, alijifanya kuwa rafiki wa mama lulu kumbe moyoni ana lake jambo. Hivi sasa zitto na halima wamefoji cheti cha kuzaliwa lulu kwa lengo la kumkomboa lengo akitoka zitto amuoe lulu na kuondokana swala la lulu kuwa nyumba ndogo ya zitto kama ilivyokuwa awali. WANA JF Mwenye akili haambiwi fikiri. unazani msukumo wa zitto kwa kufoji vyeti vya lulu ni bure. nitafuteni kwa namba 0757755333

The only legal response to defamation of character is a lawsuit.

Ungekuwa mstaarabu kihivyo ungepeleka ushahidi wako huu Polisi.Huu ni muendelezo wa luchafua watu kisa unajiamini na ID fake unayotumia.Mwache Kanumba apumzike kwa amani.Acha kumtumia kutimiza matamanio yako ya kuchafua watu kwa maslahi binafsi
 
Mtoa hoja ana hoja ya msingi. Watanzania lazima tujifunze kuheshimu na kufuata utawala wa sheria. Kwa sasa mahakama iachwe huru ifanye kazi yake.
 
Usihrakie mapenzi kisha hao wabunge wanashindwa kujadili v2 vya msingi wanatuletea issue za Lulu na wewe unaetoa matusi makali kisa wa2 wamekataa kumtetea huyo Lulu ebu kafanye mambo hayo kwenye Fb plz,uhuru wa kusema ni haki ya binadamu mbona hivyo na hii tafadhali msingepost hapa.
 
Watu,

Tuache mihemko(emotions) ili tuweze kuwa Objective......

Tatizo la akina Mdee na Bulaya ni nini? Lulu ana haki ya kupewa msaada wa kisheria na kisaikolojia.

tatizo ni kwa nini LULU? (labda:eyeroll1:) wakati wapo akina 'LULU' kibao tena hawana 'a' wala 'be'
 
acha unafiki wao wameingilia wapi!inamaana unataka kila m2 atoe maoni kama ya kwako,ana haki ya kutetewa kwa kuwa bado ni mtuhumiwa.
 
Nimesikitishwa na kauli zilizotolewa na wabunge Halima Mdee (CHADEMA) na Esther Bulaya (CCM) kusema kwamba wanataka KUMNASUA Elizabeth Machael (Lulu) anayetuhumiwa kusababisha kifo cha Kanumba. Kama wabunge walitakiwa kutumia busara kwa kuacha upelelezi huru na kutoingilia uhuru wa Mahakama.

Hivi Tanzania kumewahi kufanyika upelelezi huru? hebu nikumbushe kuna kipindi mengi alimtaja Afisa mmoja wa Polisi kwa kufanya njama za aibu pale airpot na akamtaja jina Polisi wameishia wapi? au kuna kipindi Mwakyembe amelalamikiam njama za watu kutaka kumuua akaweka mpaka namba za magari husika wameishia wapi? Mimi siwaamini Polisi ukinifanyia ubaya nikajiridhisha kwamba umenionea na mimi nakufanyia ubaya kimyakimya nakula kona Hatuna Polisi Bongo
 
Ninavyofahamu mimi Mh. Halima Mdee ni mwanasheria. Kuhusu sakata la LULU (Elizabeth), pamoja na yote yanayozungumzwa bado anahitaji usimamizi wa kisheria ni haki yake. Tunaamini Mh. Mdee ama Mh. Bulaya hawawezi pindisha sheria kama Lulu atakutwa na kosa la mauaji kwa kukusudia.

Pia kama itadhihirika kuwa anaumri wa miaka 17 (ingawa najua alishajitangaza na kusheherekea miaka18), atahitaji usimamizi na ushauri kama mtoto maana anaweza kuathirika vibaya sana na pressure ya jambo hili.

Tunaamini akipata usimamizi na usaidizi wa kisheria, na kama atahukumiwa kwa kisa la mauaji, basi itakuwa haki imetendeka. Tusipende kukimbilia kuhukumu, bali nakubaliana bado kunautata mkubwa kwenye tukio hili la kusikitisha ssana.

Hivi jamani mnamjua vizuri Lulu?
Lulu huwa haathiriki kisaikolojia kwa mambo kama haya,katika miaka yake 18 (mwenyewe na wanaom'support wameshairudisha 17) ana uzoefu mkubwa sana wa mambo yenye pressure kama kufumaniwa,kugonganisha magari(wanaume) nakadharika,hayo yameshamkuta mengi sana kwahiyo tuache kuisemea psychology yake jamani.
 
Halima wewe tunakuheshimu sana, achana na hili tukio. Lulu ameharibika siku nyingi sana tena akiwa under 18, picha za uchi kwa mitandao n.k. hamkusema kitu, sasa matokeo ya kuharibika kwake mnataka mseme, acha dada yangu maana inataka kuwa kama mwehu kuongelea athari za kuharibika kwake bila kuongelea kuharibika kwenyewe.

Unakumbuka alikana kuwa hana uhusiano na Kanumba, Je imekuwaje tena? ni muongo hivyo kila analosema hatuwezi kuamini kirahisi. Under 18 kapata wapi driving license? ni muongo huyo dada yangu atakuchafua bure. Kituoni aliandikisha ana miaka 18, kwani hajui hata umri wake? Mama yake akaleta cheti ana miaka 16 na siku 360 hadi leo hapo tena inaonesha ni muongo.

So please achane naye, ashughulike na waongo waongo wenzake sio wewe.

Haki ya mtu haipotei, haijarishi unamapenzi gani kwa marehemu, mazingira ya kifo chake hayana mashiko ya kumtia mtuhumiwa uraiani, cheti cha kuzaliwa ndiyo hitimisho la umri wa mtu unless otherwise uwe wewe ni mkunga ulemzanisha mama yake au jirani/mlezi wa mtoto wakati anazaliwa.

Kuhusu uchafu wa mtuhumiwa hiyo ni hoja dhaifu sana kwani hujaangalia ni kitu gani kilichopelekea awe mchafu kwa umri wake. Kuhusu kuwa na licence inapaswa ujue ameipata lini? coz kama unashabikia now anamiaka 18 ilihali licence aliipata 2 years or more before then hoja ya umri na licence haina mashiko ila ni kesi ya kujibu kwa mamlaka ya utoaji wa licence why walimpa licence mtu asiestahili kuwa nayo.

Acheni ushabiki usiyo na mantiki, hata kama marehemu hajasema lolote baada ya tukio, lazima ujiulize inakuwaje mtu mwenye size na umbo kama la mtuhumiwa, akamsukuma mwenye umbo kama la marehemu, kisha marehemu akaanguka mzima mzima?
 
Pia mbunge ana haki ya kufanya anachokiona kinafaa pasipo kukiuka sheria. Kumchukia mtu usitake hata haki yake idhulumiwe.
 
Nimesikitishwa na kauli zilizotolewa na wabunge Halima Mdee (CHADEMA) na Esther Bulaya (CCM) kusema kwamba wanataka KUMNASUA Elizabeth Machael (Lulu) anayetuhumiwa kusababisha kifo cha Kanumba. Kama wabunge walitakiwa kutumia busara kwa kuacha upelelezi huru na kutoingilia uhuru wa Mahakama.

Mimi nimesikitishwa na wewe kusikitishwa na uliowataja kisa tu, wanamtazamo tofauti na wako? ulitaka waseme wanamtia hatiani? mbona walioenda kufanya fujo osterbay polisi kituoni hawajakusikitisha kuwa wanaingilia uhuru wa polisi na mahakama?, mbona madaktari waliotoa ripoti kuwa marehemu hakuwa na jeraha lolote (ili hali mnaamini alisukumizwa na kuanguka vibaya) hawajakusikitisha kuwa wanaingilia uhuru wa mahakama? mbona mdogo wake marehemu aliekiri marehemu ndiye alimwita mtuhumiwa na alipotoka na simu nje akamrudisha ndani, husikitiki kuwa anaingilia uhuru wa mahakama?
 
Nimesikitishwa na kauli zilizotolewa na wabunge Halima Mdee (CHADEMA) na Esther Bulaya (CCM) kusema kwamba wanataka KUMNASUA Elizabeth Machael (Lulu) anayetuhumiwa kusababisha kifo cha Kanumba. Kama wabunge walitakiwa kutumia busara kwa kuacha upelelezi huru na kutoingilia uhuru wa Mahakama.



una akili za wapi wewe??
dah! kama Ray vile!!!!!
 
Nimecheki coment yako sijaona hoja. ingependeza usichangie. Doubts hizo ndo maana tunataka mahakama itupe jibu. Alifanya BD alipofikisha 18 na kuitangaza in public, tuamini alidanganya umri akapata leseni, tuambie ni kwanini asidanganye kuback date cheti cha kuzaliwa? Stil credible?
Mnaboa sana na inawezekana wewe huna b/cert, laiti ungekuwa nayo ungekaa kimya au kama vp nenda Rita ujue how simple it is.
Haki ya mtu haipotei, haijarishi unamapenzi gani kwa marehemu, mazingira ya kifo chake hayana mashiko ya kumtia mtuhumiwa uraiani, cheti cha kuzaliwa ndiyo hitimisho la umri wa mtu unless otherwise uwe wewe ni mkunga ulemzanisha mama yake au jirani/mlezi wa mtoto wakati anazaliwa.

Kuhusu uchafu wa mtuhumiwa hiyo ni hoja dhaifu sana kwani hujaangalia ni kitu gani kilichopelekea awe mchafu kwa umri wake. Kuhusu kuwa na licence inapaswa ujue ameipata lini? coz kama unashabikia now anamiaka 18 ilihali licence aliipata 2 years or more before then hoja ya umri na licence haina mashiko ila ni kesi ya kujibu kwa mamlaka ya utoaji wa licence why walimpa licence mtu asiestahili kuwa nayo.

Acheni ushabiki usiyo na mantiki, hata kama marehemu hajasema lolote baada ya tukio, lazima ujiulize inakuwaje mtu mwenye size na umbo kama la mtuhumiwa, akamsukuma mwenye umbo kama la marehemu, kisha marehemu akaanguka mzima mzima?
 
Nimesikitishwa na kauli zilizotolewa na wabunge Halima Mdee (CHADEMA) na Esther Bulaya (CCM) kusema kwamba wanataka KUMNASUA Elizabeth Machael (Lulu) anayetuhumiwa kusababisha kifo cha Kanumba. Kama wabunge walitakiwa kutumia busara kwa kuacha upelelezi huru na kutoingilia uhuru wa Mahakama.
Nahisi jambo hilo ni muhimu kufanywa na wabunge uliowataja na hata wanaharakati wa haki za kijisia na watoto. Hivi nani anayetambua ugumu wa maisha ya mtoto msanii lulu yaliyopelekea kuwa na uhusiano wa kimapenzi na "MANGULI" KATIKA SANAA KAMA KANUMBA? Watoto wanatakiwa kulindwa nani anayemlinda huyu mtoto aliyenusurika kufa kwa kipigo? Wahenga wanamsemo "mnyonge nyongeni lakini haki yake mpeni". Haka katoto kamenyanyaswa na kukuzwa bila kujijua na "mafataki yenye hadhi ya kitaifa" ambayo leo Kanumba yuko kaburini na wengine wanapeta mitaani. Hii jamii inahitaji msaada wa kimaadili na kinidhamu maana vitu hivi vimepuuzwa hadharani. Naamini Lulu anahitaji utetezi.
 
Mwaka jana alifanya sherehe ya kufikisha miaka 18 na akahojiwa na akina Zamaradi..zile clips zaweza patikana!!amemaliza form 4 mwaka jana Midway secondary school kule umri wake unaonekana!!
 
Nimesikitishwa na kauli zilizotolewa na wabunge Halima Mdee (CHADEMA) na Esther Bulaya (CCM) kusema kwamba wanataka KUMNASUA Elizabeth Machael (Lulu) anayetuhumiwa kusababisha kifo cha Kanumba. Kama wabunge walitakiwa kutumia busara kwa kuacha upelelezi huru na kutoingilia uhuru wa Mahakama.

Mkuu hiyo heading yako na tuhuma walizo nazo hao watu inafanya watu kufungua sredi na kukutana na kitu tofauti

Hata hivyo hakuna ubaya wowote, LULU bado mtoto na anahaki ya kupata msaada wa kisheria
 
lulu hajauwa yule siku yake ilifika tu,nw mungu huwa hamfichi mnafiki,huyu jamaa alikuwa anafanya mambo yake kimya kimya halafu mbele ya jamii anataka aonekane mtu safi lakini mungu ahadi yake hamfichi mnafiki,kabla hujafa hujaumbika,hapa mingu kawaumbua wote kanumba na lulu kwa unafiki wao ili iwe fundisho kwa wengine
 
Nimesikitishwa na kauli zilizotolewa na wabunge Halima Mdee (CHADEMA) na Esther Bulaya (CCM) kusema kwamba wanataka KUMNASUA Elizabeth Machael (Lulu) anayetuhumiwa kusababisha kifo cha Kanumba. Kama wabunge walitakiwa kutumia busara kwa kuacha upelelezi huru na kutoingilia uhuru wa Mahakama.

KAMA KANUMBA NI LEGENDARY BI KIDUDE ATAITWA NANI?

Wewe mtoa mada ni mpuuzi,na umejaa ushabiki wa kipumbavu,Lulu anaitaji sana msaada wa kisheria hata kama angekua anatuhumiwa kamuua mfanyakazi wa ndani nasi Kanumba tu.
 
Back
Top Bottom