Ninavyofahamu mimi Mh. Halima Mdee ni mwanasheria. Kuhusu sakata la LULU (Elizabeth), pamoja na yote yanayozungumzwa bado anahitaji usimamizi wa kisheria ni haki yake. Tunaamini Mh. Mdee ama Mh. Bulaya hawawezi pindisha sheria kama Lulu atakutwa na kosa la mauaji kwa kukusudia. Pia kama itadhihirika kuwa anaumri wa miaka 17 (ingawa najua alishajitangaza na kusheherekea miaka18), atahitaji usimamizi na ushauri kama mtoto maana anaweza kuathirika vibaya sana na pressure ya jambo hili. Tunaamini akipata usimamizi na usaidizi wa kisheria, na kama atahukumiwa kwa kisa la mauaji, basi itakuwa haki imetendeka. Tusipende kukimbilia kuhukumu, bali nakubaliana bado kunautata mkubwa kwenye tukio hili la kusikitisha ssana.
Halima wewe tunakuheshimu sana, achana na hili tukio. Lulu ameharibika siku nyingi sana tena akiwa under 18, picha za uchi kwa mitandao n.k. hamkusema kitu, sasa matokeo ya kuharibika kwake mnataka mseme, acha dada yangu maana inataka kuwa kama mwehu kuongelea athari za kuharibika kwake bila kuongelea kuharibika kwenyewe. Unakumbuka alikana kuwa hana uhusiano na Kanumba, Je imekuwaje tena? ni muongo hivyo kila analosema hatuwezi kuamini kirahisi. Under 18 kapata wapi driving license? ni muongo huyo dada yangu atakuchafua bure. Kituoni aliandikisha ana miaka 18, kwani hajui hata umri wake? mama yake akaleta cheti ana miaka 16 na siku 360 hadi leo hapo tena inaonesha ni muongo.
So please achane naye, ashughulike na waongo waongo wenzake sio wewe.
Nimesikitishwa na kauli zilizotolewa na wabunge Halima Mdee (CHADEMA) na Esther Bulaya (CCM) kusema kwamba wanataka KUMNASUA Elizabeth Machael (Lulu) anayetuhumiwa kusababisha kifo cha Kanumba. Kama wabunge walitakiwa kutumia busara kwa kuacha upelelezi huru na kutoingilia uhuru wa Mahakama.
Nimesikitishwa na kauli zilizotolewa na wabunge Halima Mdee (CHADEMA) na Esther Bulaya (CCM) kusema kwamba wanataka KUMNASUA Elizabeth Machael (Lulu) anayetuhumiwa kusababisha kifo cha Kanumba. Kama wabunge walitakiwa kutumia busara kwa kuacha upelelezi huru na kutoingilia uhuru wa Mahakama.
Inakera Mkuu kuona Watu wanamalizia hasira zao kwa Haka Kabinti. Hivi ngoja Nikuulize. Kosa la Haka Kabinti ni Lipi hasa?
Mkuu Kuna Mashosti huko Mtaani Lulu alikuwa anawakimbiza Kweli kweli sasa wanafunga ili Maskini haka katoko Kasitendewe haki. Lulu alikuwa anawapiga bao katika kuchuna Mabuzi
Mods ondoeni hizi... Maana mimi nimewasikiliza hawa wabunge wanachokisema kiko sawa.
Nimesikitishwa na kauli zilizotolewa na wabunge Halima Mdee (CHADEMA) na Esther Bulaya (CCM) kusema kwamba wanataka KUMNASUA Elizabeth Machael (Lulu) anayetuhumiwa kusababisha kifo cha Kanumba. Kama wabunge walitakiwa kutumia busara kwa kuacha upelelezi huru na kutoingilia uhuru wa Mahakama.
Nimesikitishwa na kauli zilizotolewa na wabunge Halima Mdee (CHADEMA) na Esther Bulaya (CCM) kusema kwamba wanataka KUMNASUA Elizabeth Machael (Lulu) anayetuhumiwa kusababisha kifo cha Kanumba. Kama wabunge walitakiwa kutumia busara kwa kuacha upelelezi huru na kutoingilia uhuru wa Mahakama.
habari yenyewe ya mwanzisha mada ni nyepesi sana 'kuwa wanataka kumsaidia kisheria' lkn watu humu ndani wanatoa maamuzi utadhani usiku ule walikuwapo live ktk tukio na kuhitimisha kuwa binti alilifanya hilo kwa makusudi.
mkuu hiyo sentesi ya mwisho unamaanisha nini.
Kifupi wewe aidha hujui sheria au hujui kazi ya wakili na mwanasheria. Hata jambazi lina haki ya kuweka wakili na kutetewa.Nimesikitishwa na kauli zilizotolewa na wabunge Halima Mdee (CHADEMA) na Esther Bulaya (CCM) kusema kwamba wanataka KUMNASUA Elizabeth Machael (Lulu) anayetuhumiwa kusababisha kifo cha Kanumba. Kama wabunge walitakiwa kutumia busara kwa kuacha upelelezi huru na kutoingilia uhuru wa Mahakama.
Inakera Mkuu kuona Watu wanamalizia hasira zao kwa Haka Kabinti. Hivi ngoja Nikuulize. Kosa la Haka Kabinti ni Lipi hasa?
Acheni Vyombo vinavyohusika vifanye Uchunguzi huru. Well simpendi Lulu kwa Matendo yake katika Jamii lakini hilo lisiwe sababu ya nyie ku conclude kwamba Lulu Kamuua Kanumba. Hakuna ajuaye siri ya Kifo cha Kanumba zaidi ya Lulu na Kanumba Mwenyewe. Kanumba hayupo tumpe nafasi Lulu aelezee kilichotokea na Vyombo husika vipime kauli yake na kutoa Maamuzi kulingana na Utetezi wake
Sina uhakika sana, je Kanumba angekuwepo mzima angemuonea huruma Lulu. Turudi katika utu. Inawezekana ilikuwa ajali. Waacheni wanaotaka kumsaidia kisheria wafanye hivyo. Na mahakama itachukua mkondo wake. tusifanye prejudice.
Hii si habari nyepesi haijafahamika kama Lulu anahatia au la, sasa hawa Wabeijing (Bulaya & Mdee) wanaposema wanataka kumnasua wanamaanisha nini?