Bitabo
JF-Expert Member
- Sep 27, 2011
- 1,900
- 687
...Laiti kanumba angefufuka leo ghafla ilimfaa afunguliwe kesi ya ubakaji yeye na huyo mdogo wake kama walivyofanyiwa akina babu seya...Lulu mwenye miaka chini ya 18 kanumba alikuwa anafanya nae nini usiku ule...kwa nchi inayofuata bora misingi ya sheria na mahakama zisizoingiliwa, Lulu ilibidi awe huru ndani ya siku 30 tu...Lulu ana haki ya kutetewa kisheria..mimi nadhani mtoa mada ameandika mada hii akiwa uchi amejifungia katika choo cha shimo maana hata aibu haoni kwa kuwakejeli akina Mdee.
Hapa watafungwa wengi. kapteni Komba na Idd Azan nao wanamkula Lulu, nao ni wabakaji kwa ufupi. Lulu lazima alindwe na wakina Mdee maana akiachwa akateseka jela, atatoboa siri za waheshimiwa wengi. itakuwa AIBU KUBWA.