Umesema ukweli kwa jinsi wahunge wa hili bunhe walivyo kimya kwa kila kitu utadhani niWabunge CCM msiofata matakwa ya mwenyekiti, siku zinakuja ambapo kila jina litasomwa mbele ya mwenyekiti wa CCM.
Niwakumbushe tuu msipofanya kazi zenu wakuu wa mikoa na wilaya watafanya.
Halafu bunge lijalo hatuhitaji upinzani ndani ya Chama kama hivi sasa hivyo wapinzani wanaostahili wawe ACT, wawe CHADEMA, CUF nk kama watakashinda kwa haki tutawapa ubunge.
Trillion 1.3 mko kimya
Ujenzi wa madarasa, zahanati, hospitali kila kombo mko kimya
Mabilioni ya misaada kutoka nchi wahisani mko kimya
Kupanga wa machinga mko kimya
Sasa endeleeni kufurahia ka mwisho mwisho
Chanjo ya korona mko kimya
Kila mtu atasimama na hesabu yake itasomwa endeleeni kukaa kimya wabunge
Tusilaumiane
Wabunge CCM msiofata matakwa ya mwenyekiti, siku zinakuja ambapo kila jina litasomwa mbele ya mwenyekiti wa CCM.
Niwakumbushe tuu msipofanya kazi zenu wakuu wa mikoa na wilaya watafanya.
Halafu bunge lijalo hatuhitaji upinzani ndani ya Chama kama hivi sasa hivyo wapinzani wanaostahili wawe ACT, wawe CHADEMA, CUF nk kama watakashinda kwa haki tutawapa ubunge.
Trillion 1.3 mko kimya
Ujenzi wa madarasa, zahanati, hospitali kila kombo mko kimya
Mabilioni ya misaada kutoka nchi wahisani mko kimya
Kupanga wa machinga mko kimya
Sasa endeleeni kufurahia ka mwisho mwisho
Chanjo ya korona mko kimya
Kila mtu atasimama na hesabu yake itasomwa endeleeni kukaa kimya wabunge
Tusilaumiane
Wanaoneshe kwamba wanagushwa sio tu kwa kuunga mkono hata kwa kupinga inapobidiWanatakiwa kufanya nini katika hayo uliyotaja?
Fisi kumla mwenzake ni kawaida sana.Nini kimekukuta mkuu? Kumbe umeona kikulacho? Wacha mlane wenyewe maana hakuna namna
Aliyekuambia kuwa kuna wabunge kakuongopea,tunavyojua sisi kuna kusanyiko la mazuzu.Wabunge CCM msiofata matakwa ya mwenyekiti, siku zinakuja ambapo kila jina litasomwa mbele ya mwenyekiti wa CCM.
Niwakumbushe tuu msipofanya kazi zenu wakuu wa mikoa na wilaya watafanya.
Halafu bunge lijalo hatuhitaji upinzani ndani ya Chama kama hivi sasa hivyo wapinzani wanaostahili wawe ACT, wawe CHADEMA, CUF nk kama watakashinda kwa haki tutawapa ubunge.
Trillion 1.3 mko kimya
Ujenzi wa madarasa, zahanati, hospitali kila kombo mko kimya
Mabilioni ya misaada kutoka nchi wahisani mko kimya
Kupanga wa machinga mko kimya
Sasa endeleeni kufurahia ka mwisho mwisho
Chanjo ya korona mko kimya
Kila mtu atasimama na hesabu yake itasomwa endeleeni kukaa kimya wabunge
Tusilaumiane
Acha ujinga dogo, CCM ndio chama kilicholeta Uhuru bila Bibi yako kupata Uhuru ungekuwa jukwaani leoCCM ni pango la majangili
Huo ni uzumbukuku kwa wabungeBaba ni wajibu wake kukuletea chakula lakini lazima useme Asante
Tetetete nchi zote zilipelekewa uhuru na CCM? acha ujinga sababu muda wa wakoloni uliisha. OverAcha ujinga dogo, CCM ndio chama kilicholeta Uhuru bila Bibi yako kupata Uhuru ungekuwa jukwaani leo