Ngungenge
JF-Expert Member
- Jun 11, 2016
- 2,863
- 3,190
Wabunge CCM msiofata matakwa ya mwenyekiti, siku zinakuja ambapo kila jina litasomwa mbele ya mwenyekiti wa CCM.
Niwakumbushe tuu msipofanya kazi zenu wakuu wa mikoa na wilaya watafanya.
Halafu bunge lijalo hatuhitaji upinzani ndani ya Chama kama hivi sasa hivyo wapinzani wanaostahili wawe ACT, wawe CHADEMA, CUF nk kama watakashinda kwa haki tutawapa ubunge.
Trillion 1.3 mko kimya
Ujenzi wa madarasa, zahanati, hospitali kila kombo mko kimya
Mabilioni ya misaada kutoka nchi wahisani mko kimya
Kupanga wa machinga mko kimya
Sasa endeleeni kufurahia ka mwisho mwisho
Chanjo ya korona mko kimya
Kila mtu atasimama na hesabu yake itasomwa endeleeni kukaa kimya wabunge
Tusilaumiane
Niwakumbushe tuu msipofanya kazi zenu wakuu wa mikoa na wilaya watafanya.
Halafu bunge lijalo hatuhitaji upinzani ndani ya Chama kama hivi sasa hivyo wapinzani wanaostahili wawe ACT, wawe CHADEMA, CUF nk kama watakashinda kwa haki tutawapa ubunge.
Trillion 1.3 mko kimya
Ujenzi wa madarasa, zahanati, hospitali kila kombo mko kimya
Mabilioni ya misaada kutoka nchi wahisani mko kimya
Kupanga wa machinga mko kimya
Sasa endeleeni kufurahia ka mwisho mwisho
Chanjo ya korona mko kimya
Kila mtu atasimama na hesabu yake itasomwa endeleeni kukaa kimya wabunge
Tusilaumiane