Lowasa si kazibwa mdomo na wakuu angechangiaje! Bt riz1 sijamsikia kabisa
Lowassa huyu huyu mbabe wa Taifa hili, nani mwenye uwezo wa kufanya hayo...Babu Lowassa
Lowasa si kazibwa mdomo na wakuu angechangiaje! Bt riz1 sijamsikia kabisa
Uliyefanya research wewe ni mdau mkubwa wa chadema.....si dhani kama huh nao eti ni utafiti
Upo took bias
Mara nyingine kukaa kimya ni hekima kuliko kuongea usichojua na kudhihirisha kuwa una uwezo mdogo japo si dhambi kuwa na uwezo mdogo.
Which way you applied to measure the truthfulness of u're statenent?" to measure the truth of a statement depends on the premises(deductive) or using the premises to grants the validity of the conclusion(inductive)"??You should review the man's perfomance not only in one area. Think of him since 1990's when he became a minister to date, so you can conclude on your own.
Mara nyingine kukaa kimya ni hekima kuliko kuongea usichojua na kudhihirisha kuwa una uwezo mdogo japo si dhambi kuwa na uwezo mdogo.
Abood vp?
Nakubaliana na utafiti huu lakini nilitaka ambao awaja changia kabisa maana wapo.
Zaidi ya kupora na kuiba ranch za taifa...hakuna jipya alilofanya, mnaogopa kuongea ukweli kwa kuwa ni mtu wa visasi...!
Wamefanya nini tangible, kitu kinachoshikika, kinachooneka, unachoweza kunyooshea kidole ukasema kile pale?
Wameandika sheria gani, wamezuia sera gani mbaya, wamerekebisha sheria ipi, wamezuia matumizi gani wasteful?
John Mnyika, kwa mfano, amewahi kuandika nini duniani kikapita bungeni kikawa sheria?
Abood sio muongeaji lkn mara kadhaa nimemuona kachangia,sana sana ishu za maji
Uliyefanya research wewe ni mdau mkubwa wa chadema.....si dhani kama huh nao eti ni utafiti
Upo took bias
kwani chief traitor naye ni mbunge?
Kukaa kimya hata maovu yakitendeka pasipo kuongea chochote nayo ni Busara???
Which way you applied to measure the truthfulness of u're statenent?" to measure the truth of a statement depends on the premises(deductive) or using the premises to grants the validity of the conclusion(inductive)"??
Hapo juu kidogo nilisema...simple mind...mitazamo ya kijinga. Naongezea kuwa "ukiona watu wanakujadili ujue wanakukubali". Siasa za mitaani ni shida.
Masikini pole wa mjinga hivi umesoma iteba au milambo?sasa cha ajabu ni kwamba akili yangu imeganda lakini umeshindwa kujibu swali la mtu ambae akili yake imeganda.
Narudia tena:
Mbunge nambari moja kwa kuchangia bungeni, John Mnyika, kwa mfano, zaidi ya kuongea na kutoa yaliyo kichwani tu, amewahi kuandika nini kama mbunge kikawa sheria ama sera ya nchi?
Kumbe unadhani kazi ya Mbunge ni nini kama sio kuandika sheria? Huna exposure ya mambo ya kisiasa yanavyokwenda duniani kwingine, umekulia na kuganda kwenye upeo wa siasa za kibongo, hujui kama mbunge kazi yake ni kuandika sheria, hata kama hapa kwetu hawana uwezo huo.
Simple mind!
Hivi kunamajimbo hambayo hayana kero zozote kweli au hawa walikua wanasubiria 2 mshahara na zile posho wakalee familia zao jamani tusimame kwa nguvu kujua haki zetu zinafikishwa sehemu husika