Wabunge 10 machachari, 10 wakimya

Mara nyingine kukaa kimya ni hekima kuliko kuongea usichojua na kudhihirisha kuwa una uwezo mdogo japo si dhambi kuwa na uwezo mdogo.

Jiite pwani yetu kuliko kuaibisha watu wa Babati walioamka,Babati hatuna watu wa aina yako kwa sasa
 
1. John J. Mnyika 2. Tundu Lissu 3.Moses Machali 4. Murtaza Mangungu 5. Diana Chilolo 6. Leticia Nyerere 7. Halima Mdee 8. Felix Mkosamali 9. Zitto Kabwe 10. Selemani Jaffo
Wamefanya nini tangible, kitu kinachoshikika, kinachooneka, unachoweza kunyooshea kidole ukasema kile pale?

Wameandika sheria gani, wamezuia sera gani mbaya, wamerekebisha sheria ipi, wamezuia matumizi gani wasteful?

John Mnyika, kwa mfano, amewahi kuandika nini duniani kikapita bungeni kikawa sheria?
 
Mkuu mpk, kulingana na chanzo nilichokiweka, wasiochangia na wala kuuliza ni wakwanza na wapili kundi la wakimya. Jua kuwa Lowassa hajauliza hata swali moja hadi sasa. Haoni tatizo lolote la kuulizia swali. Halafu eti anataka Urais. Naye kuhusu umaskini atasema hajui chanzo

inaonekana lengo la thread yako ilikuwa hapo kwa lowassa maana naona mwisho wa siku umejikita hapo!

top most figure huwa wana approach 2 katika mazingira kama hayo...wanaweza kuamua kusimama na kutawala mijadala kwa kutumia uzoefu wao,nguvu yao,na nafasi yao hiyo ni approach ya kwanza...approach ya pili ni kuruhusu mawazo mapya kwa kusikiliza zaidi na kutafakari zaidi na kisha kuyaweka mawazo hayo ktk mipango kazi yake...approach hiyo ya mwisho ndiyo anayotumia mh Lowassa

juzi kati ulikuwa arusha ktk mkutano wa wanasheria...hebu jiulize top most figure ktk medani ya sheria walitumia approach gani ktk hizo mbili kisha jikite ktk tafakari.
 
Msimsahau abood jamani hajawahi kuchangia wala kuuliza swali na mbwembwe zake siku ya kwanza kuongia bungeni kabeba wananchi wake kwenye mbasi yake eti wamsindikize mbunge wao!
 
Wamefanya nini tangible, kitu kinachoshikika, kinachooneka, unachoweza kunyooshea kidole ukasema kile pale?

Wameandika sheria gani, wamezuia sera gani mbaya, wamerekebisha sheria ipi, wamezuia matumizi gani wasteful?

John Mnyika, kwa mfano, amewahi kuandika nini duniani kikapita bungeni kikawa sheria?

wewe ni mzigo mkubwa sana kwenye taifa hili , akili yako imeganda .
 
Back
Top Bottom