Wabunge 10 machachari, 10 wakimya

Wabunge 10 machachari, 10 wakimya

Mbunge wa Kalenga, Godfrey Mgimwa aliuliza maswali matatu ya nyongeza na kuchangia mara mbili.

KIJANA MWENZETU HUYU ANATUANGUSHA SANA, Nimeumia sana baada ya kuona takwimu hizi kwa kijana mwenzetu huyu.

Hivi kule kalenga hakuna matatizo hadi ukose cha kuuliza? Hivi kichwani kwako ni mtupu kiasi hicho hadi ukose cha kuchangia? Ni aibu!

Baba yako hakuwa hivi hata kabla ya kuteuliwa kuwa Waziri wa Fedha (R.I.P Mhe Mgimwa)

Hivi kama huyu kijana asingekuwa Bungeni nani angeomba kifo cha Mh.Waziri kisijadiliwe.Ufahamu wangu the Late Mgimwa was the public figure na tuna haki ya kujua yaliyomsibu.
 
Ukawa wanastahili kuongezewa wabunge wakaongeze chachu bungeni.hawa vilaza ccm wapumzishwe.
 
Mnyika na Lissu wameleta maendeleo gani kwenye majimbo yao? Sio mradi tu kuongea.

Hebu jisikie haya kuandika hivyo.Hivi kweli wewe una uhuru wa kumchaguwa mbunge wako???ok jibu kama ni ndio...kwa nini akiwa ni waupinzani hapati support ya serikali ktk kuendeleza jimbo lake???Kila mtu ni shahidi jinsi Mnyika anavyotafuta maji na vikwazo kibao anavyowekewa na Govt sikivu.Tundu Lissu amekataa michango...kwani pesa ya serikali iko wapi na inafanya nini
 
Wanna jamvi katika takwimu za Leo za wabunge na michango yao bungeni

Lowassa ameangukia kundi LA wabunge wavivu bungeni

Je anafaa kuwa Mgombea urais ccm?
Anafaa kuwa Rais wa twiga star.
 
Wanna jamvi katika takwimu za Leo za wabunge na michango yao bungeni

Lowassa ameangukia kundi LA wabunge wavivu bungeni

Je anafaa kuwa Mgombea urais ccm?
Hivi ni kwanini wanaomchukia Lowassa ni CCM na sio Ukawa au chama chochote cha upinzani!!!!????
 
Tena kawa wa tano (5) bora kwa vila.za, ni hatari sana mtu huyu kukabidhiwa madaraka na mamlaka makubwa ya Urais!!

Hatari ipi unayotaka kuwaaminisha watu? Je unaelewa maana ya neno hatari tena 'hatari sana' au unaleta siasa za kilevi!
 
Wanna jamvi katika takwimu za Leo za wabunge na michango yao bungeni

Lowassa ameangukia kundi LA wabunge wavivu bungeni

Je anafaa kuwa Mgombea urais ccm?

In short Hafai...labda abaki kuwa rais wa Monduli au Yanga kwani hata Wameru walimkataa yule mkwe wake!...
 
MAJEMBE 10 BUNGENI 2010 HADI 2015.

1: John Mnyika HOJA 540 na Maswali 68.
2: Tundu Lissu HOJA 270 na Maswali 32
3: Moses Machali HOJA 214 na Maswali 91
4: Halima Mdee HOJA 175 na Maswali 43
5: Felix Mkosamali HOJA 151 Maswal 63
6: Zitto Kabwe HOJA 147 Maswali 62
7: Seleman Jaffo HOJA 141 Maswali 52
8: Leticia Nyerere HOJA 139 na Maswali 83
9: Murtaza Mangungu HOJA 131 Maswal 100.
10: Diana Chilolo HOJA 116 Maswali 107.

VILAZA 10 BORA 2010 hadi 2015.
1: Turky Hasan HOJA 9 swali 1
2: Hamis Alli Kheir HOJA 8 maswali 0
3: Mwanahamis Kasim HOJA 7 swali 1
4: Ali Haji Juma HOJA 4 Maswali 2
5: Edward Lowassa HOJA 5 Maswali 0
6: Mohamed Seif Khatib HOJA 5 Maswali 0
7: Kisyeri Chambiri HOJA 4 Maswali 0
8: Godfrey Mgimwa HOJA 2 Maswali 3
9: Balozi Seif Ali Idd HOJA 0 Maswali 0
10: Mohamedi Saidi HOJA O Maswali 0

Kwa takwimu hizo tunagundua 80% ya Wabunge toka CCM kazi yao kubwa ni kuchapa USINGIZI na kupitisha wasivyo vifaham yaan Wabunge Ndiyoooooo ipite kwa hali hii October 2015 tusiwapatie nafasi.
Katika hiyo takwimu mkuu malizia na hii - Mbunge na waziri aliyeweka historia ya kumwaga chozi bungeni ni Mizengo Kayanza Peter Pinda!
 
MAJEMBE 10 BUNGENI 2010 HADI 2015.

1: John Mnyika HOJA 540 na Maswali 68.
2: Tundu Lissu HOJA 270 na Maswali 32
3: Moses Machali HOJA 214 na Maswali 91
4: Halima Mdee HOJA 175 na Maswali 43
5: Felix Mkosamali HOJA 151 Maswal 63
6: Zitto Kabwe HOJA 147 Maswali 62
7: Seleman Jaffo HOJA 141 Maswali 52
8: Leticia Nyerere HOJA 139 na Maswali 83
9: Murtaza Mangungu HOJA 131 Maswal 100.
10: Diana Chilolo HOJA 116 Maswali 107.

VILAZA 10 BORA 2010 hadi 2015.
1: Turky Hasan HOJA 9 swali 1
2: Hamis Alli Kheir HOJA 8 maswali 0
3: Mwanahamis Kasim HOJA 7 swali 1
4: Ali Haji Juma HOJA 4 Maswali 2
5: Edward Lowassa HOJA 5 Maswali 0
6: Mohamed Seif Khatib HOJA 5 Maswali 0
7: Kisyeri Chambiri HOJA 4 Maswali 0
8: Godfrey Mgimwa HOJA 2 Maswali 3
9: Balozi Seif Ali Idd HOJA 0 Maswali 0
10: Mohamedi Saidi HOJA O Maswali 0

Kwa takwimu hizo tunagundua 80% ya Wabunge toka CCM kazi yao kubwa ni kuchapa USINGIZI na kupitisha wasivyo vifaham yaan Wabunge Ndiyoooooo ipite kwa hali hii October 2015 tusiwapatie nafasi.

Lowassa wa 5 kwa kuwa Kilaza
 
You should review the man's perfomance not only in one area. Think of him since 1990's when he became a minister to date, so you can conclude on your own.

Zaidi ya kupora na kuiba ranch za taifa...hakuna jipya alilofanya, mnaogopa kuongea ukweli kwa kuwa ni mtu wa visasi...!
 
Back
Top Bottom