Wabunge 10 machachari, 10 wakimya

Ambao hawakuchangia kabisa wako wapi? Maana humo kuna Dewji, Airo na wengine. Lakini pia mtoto wa mfalme hawezi kukosa kwa waliochangia kidogo


Dewji Gulam Mohammed
Chama Cha Mapinduzi
Questions(6)
Supplementary Questions(1)
Contributions(2)
 
Sijawahi kumsikia Namelok Sokoine-viti maalum ccm mkoa wa Arusha.
Sijui huu utafiti umemweka namba ngapi kutoka mwisho.
Yupo pia Mary Chatanda sijui kwenye namba ngapi kutoka mwisho.
 
Hivi kunamajimbo hambayo hayana kero zozote kweli au hawa walikua wanasubiria 2 mshahara na zile posho wakalee familia zao jamani tusimame kwa nguvu kujua haki zetu zinafikishwa sehemu husika
 
Utafiti ufanywe juu ya wabunge wanaokimbilia kusema ndiooo bila kuhoji, wizara na mawaziri wanaotimiza na wasiotimiza maagizo ya bunge na pia kwakuwa bunge ndilo linalo simamia na kuielekeza serikali basi utafiti pia uoneshe ni kwa kiasi gani maagizo yanatekelezwa n.k
 
Jiite pwani yetu kuliko kuaibisha watu wa Babati walioamka,Babati hatuna watu wa aina yako kwa sasa

Napenda sana mabadiliko,natamani niwe kwenye akili za Watanzania ili niwachaguae wabunge wengi wa Upinzani kama 52% then mabadiliko yatakuwepo maana kwa katiba hii na pendekezwa hatuwezi kupata tume huru ya Uchaguzi.
 
Mbunge wa Kalenga, Godfrey Mgimwa aliuliza maswali matatu ya nyongeza na kuchangia mara mbili.

KIJANA MWENZETU HUYU ANATUANGUSHA SANA, Nimeumia sana baada ya kuona takwimu hizi kwa kijana mwenzetu huyu.

Hivi kule kalenga hakuna matatizo hadi ukose cha kuuliza? Hivi kichwani kwako ni mtupu kiasi hicho hadi ukose cha kuchangia? Ni aibu!

Baba yako hakuwa hivi hata kabla ya kuteuliwa kuwa Waziri wa Fedha (R.I.P Mhe Mgimwa)
 
Haya mambo ya baba kisha mtoto ni ujingaaaa mtupu kwa wanakalenga, sasa ndo hivyo atasema nini ambacho baba kilimshinda
 
Nyie tuliwambia 'hakuna mwenye akili akawa Ccm lakini mkaamua mfanye yenu,hiyo ndio faida vumilieni!
 
Sasa aulize nini wakati kashafika mjengoni na posho juu.
Kwanza alisharudigi Kalinga kweli ndio maana hana cha kuuliza.
 
Mnyika na Lissu wameleta maendeleo gani kwenye majimbo yao? Sio mradi tu kuongea.
 
Napenda sana mabadiliko,natamani niwe kwenye akili za Watanzania ili niwachaguae wabunge wengi wa Upinzani kama 52% then mabadiliko yatakuwepo maana kwa katiba hii na pendekezwa hatuwezi kupata tume huru ya Uchaguzi.
Wachagueni waimbaji wa bongo flava, hao ndio watawaletea maendeleo.
 
Mbunge wa Kalenga, Godfrey Mgimwa aliuliza maswali matatu ya nyongeza na kuchangia mara mbili.

KIJANA MWENZETU HUYU ANATUANGUSHA SANA, Nimeumia sana baada ya kuona takwimu hizi kwa kijana mwenzetu huyu.

Hivi kule kalenga hakuna matatizo hadi ukose cha kuuliza? Hivi kichwani kwako ni mtupu kiasi hicho hadi ukose cha kuchangia? Ni aibu!

Baba yako hakuwa hivi hata kabla ya kuteuliwa kuwa Waziri wa Fedha (R.I.P Mhe Mgimwa)

Jamani muwe fair tu, watu wa Kalenga kweli Mgimwa mulitaka aulize nini, ili mpate nini, kwa wakati upi? Subirini uchaguzi ujao mpate Mbunge na si mwakilishi wa jimbo.
 
Back
Top Bottom