Labda wewe na mkeo chumbani
Waswahili bana, aaaaghr! Hoja yako imekufa? Siku nyingine leta hoja siyo taarabu.
Labda wewe na mkeo chumbani
Waswahili bana, aaaaghr! Hoja yako imekufa? Siku nyingine leta hoja siyo taarabu.
Uliyefanya research wewe ni mdau mkubwa wa chadema.....si dhani kama huh nao eti ni utafiti
Upo took bias
Wamefanya nini tangible, kitu kinachoshikika, kinachooneka, unachoweza kunyooshea kidole ukasema kile pale?
Wameandika sheria gani, wamezuia sera gani mbaya, wamerekebisha sheria ipi, wamezuia matumizi gani wasteful?
John Mnyika, kwa mfano, amewahi kuandika nini duniani kikapita bungeni kikawa sheria?
Wamefanya nini tangible, kitu kinachoshikika, kinachooneka, unachoweza kunyooshea kidole ukasema kile pale?
Wameandika sheria gani, wamezuia sera gani mbaya, wamerekebisha sheria ipi, wamezuia matumizi gani wasteful?
John Mnyika, kwa mfano, amewahi kuandika nini duniani kikapita bungeni kikawa sheria?
Hafai hata kuwa katibu kata katika Tanzania ya 2015-2020
Mara nyingine kukaa kimya ni hekima kuliko kuongea usichojua na kudhihirisha kuwa una uwezo mdogo japo si dhambi kuwa na uwezo mdogo.
Hawa ndo walio ajiriwa baada ya Email ya Zito.
Utafiti huo ni kwa mjibu wa data zilizoko
ofsi ya bunge na magazeti ya leo yameandika.
Nakurahisishia kwa kiswahili. Rejea kazi alizofanya kwa kipindi chote tangu miaka ya 90 alipoanza kuwa waziri, ndipo uhitimishe hoja yako. Kwa maana nyingine nimekupa homework badala ya kukurupuka na hoja nyepesi ya sijui kawa wa 5 kuchangia kidogo bungeni. Think!
Uliyefanya research wewe ni mdau mkubwa wa chadema.....si dhani kama huh nao eti ni utafiti
Upo took bias
Ambao hawakuchangia kabisa wako wapi? Maana humo kuna Dewji, Airo na wengine. Lakini pia mtoto wa mfalme hawezi kukosa kwa waliochangia kidogo
Abood vp?
Hivi wa singida mjini mnamjua wakuu,me hata sijawahi kumwona!
Mnyika na Lissu wameleta maendeleo gani kwenye majimbo yao? Sio mradi tu kuongea.
Mara nyingine kukaa kimya ni hekima kuliko kuongea usichojua na kudhihirisha kuwa una uwezo mdogo japo si dhambi kuwa na uwezo mdogo.