Wabunge 10 machachari, 10 wakimya

Mbunge wa Kalenga, Godfrey Mgimwa aliuliza maswali matatu ya nyongeza na kuchangia mara mbili.

KIJANA MWENZETU HUYU ANATUANGUSHA SANA, Nimeumia sana baada ya kuona takwimu hizi kwa kijana mwenzetu huyu.

Hivi kule kalenga hakuna matatizo hadi ukose cha kuuliza? Hivi kichwani kwako ni mtupu kiasi hicho hadi ukose cha kuchangia? Ni aibu!

Baba yako hakuwa hivi hata kabla ya kuteuliwa kuwa Waziri wa Fedha (R.I.P Mhe Mgimwa)
Michango yake ilijikita zaidi kwenye kuomba kifo cha baba yake kisijadiliwe!
 
wapi muimba mapambio mama rwakatare?huu ubunge wakuteuliwa mmmmh wanafahamika wana hela ili akiambiwa toa m300 za kampeni ccccm anatoa chap.ya nn achangie??
 
labda kama kuna listi nyingine
ya wabunge "Mabubu" inakuja lakini hii
imejaa uonevu wa kutisha yaani
riziwan,Airo,Dewji kafumu.kiwia.hawapo?
 
wapi MC wa vigodoro JOB LUSINDE?
Nikimuita Mh ntakua naikosea heshima akili yangu elimu yangu ya form 4 Na nabado namzidi....
 
Wanna jamvi katika takwimu za Leo za wabunge na michango yao bungeni

Lowassa ameangukia kundi LA wabunge wavivu bungeni

Je anafaa kuwa Mgombea urais ccm?
 
Lowassai mbunge wa Monduli kule Monduli amekamilisha kila kitu ndo maana hakuchangia
 
MAJEMBE 10 BUNGENI 2010 HADI 2015.

1: John Mnyika HOJA 540 na Maswali 68.
2: Tundu Lissu HOJA 270 na Maswali 32
3: Moses Machali HOJA 214 na Maswali 91
4: Halima Mdee HOJA 175 na Maswali 43
5: Felix Mkosamali HOJA 151 Maswal 63
6: Zitto Kabwe HOJA 147 Maswali 62
7: Seleman Jaffo HOJA 141 Maswali 52
8: Leticia Nyerere HOJA 139 na Maswali 83
9: Murtaza Mangungu HOJA 131 Maswal 100.
10: Diana Chilolo HOJA 116 Maswali 107.

VILAZA 10 BORA 2010 hadi 2015.
1: Turky Hasan HOJA 9 swali 1
2: Hamis Alli Kheir HOJA 8 maswali 0
3: Mwanahamis Kasim HOJA 7 swali 1
4: Ali Haji Juma HOJA 4 Maswali 2
5: Edward Lowassa HOJA 5 Maswali 0
6: Mohamed Seif Khatib HOJA 5 Maswali 0
7: Kisyeri Chambiri HOJA 4 Maswali 0
8: Godfrey Mgimwa HOJA 2 Maswali 3
9: Balozi Seif Ali Idd HOJA 0 Maswali 0
10: Mohamedi Saidi HOJA O Maswali 0

Kwa takwimu hizo tunagundua 80% ya Wabunge toka CCM kazi yao kubwa ni kuchapa USINGIZI na kupitisha wasivyo vifaham yaan Wabunge Ndiyoooooo ipite kwa hali hii October 2015 tusiwapatie nafasi.
 
Wanna jamvi katika takwimu za Leo za wabunge na michango yao bungeni

Lowassa ameangukia kundi LA wabunge wavivu bungeni

Je anafaa kuwa Mgombea urais ccm?

Tena kawa wa tano (5) bora kwa vila.za, ni hatari sana mtu huyu kukabidhiwa madaraka na mamlaka makubwa ya Urais!!
 
Wanna jamvi katika takwimu za Leo za wabunge na michango yao bungeni

Lowassa ameangukia kundi LA wabunge wavivu bungeni

Je anafaa kuwa Mgombea urais ccm?

You should review the man's perfomance not only in one area. Think of him since 1990's when he became a minister to date, so you can conclude on your own.
 
Shida hatujaambiwa aina ya michango machali huchangia ujinga kila siku hajawahi kuchangia cha maana hata kimoja.
 
Back
Top Bottom