Wabongo waishio majuu kwa sifa!!?


Nhana nyanda oyomba siza, bhayenga hunaeyene bhabha, kinehe embula okwenuko?
 
U know what though,most of them they can't even speak good english.Mfano mi nilikaa nje over 20 years eti narudi baadhi yao wanongea na mi huo umombo wao mchwala,hivi kwani niliwaambia nimesahau kiswahili?
 

Practices makes perfect labda wanakuwa wanakiongea wasije wakakisahau wakirudi huwezi jua bhana....Mie nkiendaga masaini kwetu weee napiga kiswahili na wale mama yeyoo na ndito ila nikutane nao town sasa yani nikimasai mbaka mwisho eroo.....
 
Kidogo chako kina thamani kuliko kikubwa cha mwenzako...

Tz wengi ni watumwa wa fikra...

Lugha ni kwa mawasiliano na sio ufahari...

Leo tunahangaika kutafuta vazi la Taifa ..wakati tuna Kiswahili ambacho kukitumia..tunaona aibu...!!!!!!
 

Umenigusa kwenye kpare na kiswahili hapo!
 

sasa uwakute mitaa yao corridor za mcity na uchumi house mama yanguuuu! ni shidaaa yan kule kila mtu mdosi daah
mibongo ndivyo tulivyo lkn.
 
nilidhani wewe mpare !
 
Alafu cha ajabu na kusikitisha zaidi huko majuu wanaishi na kuonekana raia wa daraja la tatu au la nne…alafu wakirudi
bongo wanajiona wao ndiyo daraja la kwanza na sisi tunaoishi hapa kila siku wanatuona second citizen…yaani full misifa
 
Another vacuous vitriolic vaseful of vomit. Pungent and putrid purposeless punditry, divisive doo-doo defecating from diseased duodenums, bileful binge from brainless brats, algorithmless alleles with zero zeitgeist shoaling in shameless schadenfreude.
 
Mtajuaje wametoka mtoni kama hawatemi yai?
 
Alafu cha ajabu na kusikitisha zaidi huko majuu wanaishi na kuonekana raia wa daraja la tatu au la nne…alafu wakirudi
bongo wanajiona wao ndiyo daraja la kwanza na sisi tunaoishi hapa kila siku wanatuona second citizen…yaani full misifa
Hebu fafanua.
 
sasa uwakute mitaa yao corridor za mcity na uchumi house mama yanguuuu! ni shidaaa yan kule kila mtu mdosi daah
mibongo ndivyo tulivyo lkn.
Sasa pata bahati siku moja ukutanenao mitaa ya London au Washington DC hakika utawaonea huruma…yaani unawaona kabisa kama hawa watu au huyu mtu hana kabisa amani na huku anakoishi
 
Utawasikia unaondoka lini ndugu yangu!!? unamuuliza kwani vipi? utasikia oooh ninakilo zangu hapa za chupi na taulo nataka ukampe mtu fulani bongo. Au utawasikia rafiki yangu unamizigo? unamuuliza kwani vipi? utawasikia au kumsikia
ooh naomba uniuzie kilo zako nitakulipa kidogo…huwa nawachomolea kwa kwenda mbele maana najua wakirudi Bongo
misifa kibao
 
Ha ha haaa mzee wa ligi umeingia…lakini niwe muwazi sitaweza kubishana wala kujenga hoja na wewe maana najuwa we jamaa ni mbishi nomaaaa.
Hata hivyo si unaona ulivyonishukia na ung'eng'e wako kisa tu unaishi ughaibuni?
 

jina lako tu linaonyesha unavyopeda sifa.... kweli wabongo kwa misifa, hakuna mwingine
 

hahahaaa, MillioHair defecates bugs??

kwikwikwikwi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…