Wabongo tungekuwa tunaaminiana vijana tungepata fursa hii kwenye majiji yenye foleni mfn. Dar

big dreamer

JF-Expert Member
Jan 15, 2014
398
1,059
Kwenye folen kuna fursa hii pia.

FB_IMG_1705484314115.jpg
 
Sasa hata hao brela unaenda kusajili ni wapigaji. Kikubwa hii nchi ni ngono tu na mkono kwenda kinywani baas ukisubiria siku yako ya kufa.
Duh! Umekuwa mkali kweli -kweli lakini usikate tamaa. Fanya kwa kadiri ya uwezo wako ulivyojaaliwa.
 
Back
Top Bottom