big dreamer
JF-Expert Member
- Jan 15, 2014
- 398
- 1,059
Kwenye folen kuna fursa hii pia.
nilisha shuudia mtu kaita boda kwa simu anaefaham akashuka akachukua pikipiki boda akaachiwa gariKwenye folen kuna fursa hii pia
Mwe,mwe, mweee. Yan unaigawa gari yako kiulaini hivyo aisee? Bora hata ungesema watu wabadilike na kutumia kwenda kwa miguu au baiskeli kwa zile safari fupi-fupi badala ya gari.Kwenye folen kuna fursa hii pia
Nadhani ingetokea kampun iliyosajiliwa na serikali na kupewa vibali vyote uwenda wangefanya kwa uaminifuMwe,mwe, mweee. Yan unaigawa gari yako kiulaini hivyo aisee? Bora hata ungesema watu wabadilike na kutumia kwenda kwa miguu au baiskeli kwa zile safari fupi-fupi badala ya gari.
We bhana wee! Kampuni iliyosajiliwa na Serikali? si itakuwa ni hawa hawa wabongo? Yan kila kitu cha Mbogo kimekaa kiujanja ujanja. Kampuni za nje ndo usipime, zinapigwa vita mno - ni balaa.Nadhani ingetokea kampun iliyosajiliwa na serikali na kupewa vibali vyote uwenda wangefanya kwa uaminifu
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa hata hao brela unaenda kusajili ni wapigaji. Kikubwa hii nchi ni ngono tu na mkono kwenda kinywani baas ukisubiria siku yako ya kufa.tafuta vijana anzisha kampuni na uisajili kabisa, itangaze uone majibu
Duh! Umekuwa mkali kweli -kweli lakini usikate tamaa. Fanya kwa kadiri ya uwezo wako ulivyojaaliwa.Sasa hata hao brela unaenda kusajili ni wapigaji. Kikubwa hii nchi ni ngono tu na mkono kwenda kinywani baas ukisubiria siku yako ya kufa.