de Gunner
JF-Expert Member
- Nov 2, 2021
- 10,478
- 20,778
Ok ila message sentNi Suluhisho sio Suruhisho.
Ok ila message sentNi Suluhisho sio Suruhisho.
Malalamiko FCWabongo wengi tunapenda penda lawama sana , kuliko uwajibikaji, kwa mfano mfupi tu angalia hata humu JamiiForums .
Kuna nyumbu kazi yao ni kulalamika nyuzi ya jf kwa sasa zimekua za kijinga, ila ukiangalia hawana mchango wowote wa maana wa kuleta nyuzi makini .
Watu wa aina hii ndio majinga ya mwisho yanayokwamisha taifa , mbwa takataka kabisa🚮
Note: hapa nimewa rosti na sio malalamiko
ChaiHuyu wa kuitwa Hance Mtanashati a.k.a Chuchu hans ndiye wa kwanza kulalamika JF nzima.
Natumia fursa hii kumtaka abadilike. 😎