Wabongo kwa misemo mimi hoi

Wabongo kwa misemo mimi hoi

Eeh usilete hashuo la bungo huliwi hadi utiwe vidole...

Usijitie hashuo la kwapa kunuka bila kidonda...

Haufadhiliki kama ngozi ya futi....
 
Hii ipo kwenye gar kubwa la mizigo!!!

"Kwa hisani ya watu wa marekani..!!!!"
 
Simuogopi binadama na kaz zake
Namuogopa mungu na adhabu zake
 
Back
Top Bottom