Wabongo kwa misemo mimi hoi

Wabongo kwa misemo mimi hoi

1. Gari la kuvutwa haliovateki.
2. Mganga haagizi tembele.
3. Wimbo wa taifa haupigwi
disko.
4. Feni haiwashwi beach.
5. Mbwa hanenepi miguu.
6. Mjini shule, kijijini tuition.
7. Heshima pesa,shikamoo
makelele.
8. Hata bibi alikuwa kijana.
9. Mshikaki hauchomwi kwa
jiko la gesi.
10. Kipara bila pesa ni kovu.

11. kula ujana uone tabu kumeza uzee
12. masikini hafulii
 
eti mi mwanafunzi.... kwani mwanafunzi ndio haiingii..?!
 
Back
Top Bottom