Wabongo kwa misemo mimi hoi

Wabongo kwa misemo mimi hoi

Asanteni kwa misemo jamani maana leo nilikuwa nachat na mtu basi nimemtoleaje misemo hd kanyoosha mikono juu kumbe mwenzio naiga tu hapa.

Mwambie


Ana thamani ya kopo la chooni hadhi yake chooni kabatini akafate nin
 
Mwambie hivi


Darling njoo tule tikiti
Tuwatie waja dhiki

Hii naomba imfikie kama ilivyo....Tena kwa kuongezea

Tuwanyime na usingizi
Wajue hatuigizi....
Njoo Docta wangu nikupe Mahaba
Ule upate kushiba
Wenye roho mbaya wafe na vijibaaa.....!
 
Hii naomba imfikie kama ilivyo....Tena kwa kuongezea

Tuwanyime na usingizi
Wajue hatuigizi....
Njoo Docta wangu nikupe Mahaba
Ule upate kushiba
Wenye roho mbaya wafe na vijibaaa.....!

Ahhhhha wauuuuuuwe


Pekepeke za jiran hazkutoi ndani
 
Hii misemo naionaga Jf...

1.Mboga dagaa, nyama tamaa...

2.Pesa zako K....m mali ya umaaa...by Dinazarde
 
Last edited by a moderator:
Ahhhhha wauuuuuuwe


Pekepeke za jiran hazkutoi ndani

Aaah shost weee

Nampenda kitikiti
Mwengine simtaki
Nataka nimdhibiti
Nje awe hatoki...

Nina mahaba ya dhati...kama scrubu nati......
 
Aaah shost weee

Nampenda kitikiti
Mwengine simtaki
Nataka nimdhibiti
Nje awe hatoki...

Nina mahaba ya dhati...kama scrubu nati......

Aaaachaaaaa


Watabaki macho ju kama mkungu
Wataula huu na hasara juu
Wasipoupepeta wataula na.chuya
 
Back
Top Bottom