Wabobevu wa mikopo naomba msaada wenu hapa

Wabobevu wa mikopo naomba msaada wenu hapa

Nini kifanyike Ili nipate sifa ...nilikuwa nadaiwa songesha pekee.

Crdb Nina mkopo mkubwa ambao Huwa wanakata salary yangu Kila mwezi Wala hiyo haijawahi kuwa na changamoto yoyote
Kama ni songesha, basi ni vodocom wenyewe hakuna mwingine... Solution hapo ni kuongea nao ili wakutoe kwenye list ya miongoni mwa wasumbufu wa kulipa madeni. Kama upo Dsm Ikiwezekana Nenda makao mkuu mkaongee uso kwa uso.
 
Contact Us - Creditinfo Tanzania nenda hiyo ofisi iko pale victoria watakupa loan statements zako zoote kisha utaona ni wapi kuna shida utaenda ofisi husika kuchukua barua ya loan clearence letter ukiwaaletea utakopesheka tena
Nipo kahama kabisa huku mkuu ila nakushukuru sana

Au naweza kupata hata Tawi lao huku mwanza au kahama shinyanga?
 
Kama ni songesha, basi ni vodocom wenyewe hakuna mwingine... Solution hapo ni kuongea nao ili wakutoe kwenye list ya miongoni mwa wasumbufu wa kulipa madeni. Kama upo Dsm Ikiwezekana Nenda makao mkuu mkaongee uso kwa uso.
Ahsantee sana mkuu ngoja niwacheki mara hii
 
a.k.a kime0
Mkuu Mimi ni muoga sana kukopa mgodi Hadi asubhi hii wamenitumia msg naweza kukopa hadi 375,000/= lakini hamna Huwa nikijiondoa kwenye namna ya kukopa nashitukia wanatumia txt zao Tena

Laini uliyokuwa inadaiwa ni shemeji yenu nilimsajiria Mimi yeye hakuwa na nida na alikopa sijui ngapi ila nimelipa deni lote kama 17,650/= Sasa sijui
 
Kama ni songesha, basi ni vodocom wenyewe hakuna mwingine... Solution hapo ni kuongea nao ili wakutoe kwenye list ya miongoni mwa wasumbufu wa kulipa madeni. Kama upo Dsm Ikiwezekana Nenda makao mkuu mkaongee uso kwa uso.
Nimeongea na Voda wakanipa no hii
022276042 ya watu wa Crdb. Wakaniambia kama umekopa songesha,nipigie tafu,m-pawa, au hata mgodi mkaelewana kuwa utalipa tarehe 30 (mfano) na matokeo yake ukapitiliza siku hata kama ni Moja au zaidi basi Taarifa zako zinatumwa kuwa ni msumbfu hivyo utakaa miaka6 bila kukopesheka!!

Kama Kuna matawi na mikoni kama mwanza au kahama (shinyanga) nimabiwe maana Nina Mpango wa kuchukua mkopo tena
 
Back
Top Bottom