cha kujiuliza kwa nini kumekuwa na chuki kati ya wabeba mabox(watz wa nje) na wala vumbi(watz walioko tz)????
kama anabeba box au ha bebi sidhani anastahili chuki yeyoteHao wenye chuki ni wale wasioelewa chochote kuhusu wenzao.Siyo kila aliye nje ni mbeba box..na pia siyo kila aliye TZ ni mla vumbi!
kama anabeba box au ha bebi sidhani anastahili chuki yeyote
tuondoe matabaka
neno mla vumbi ni responce ya mmbeba box
The truth is a majority of Africans who immigrate to the U.S. do manual labor na wana kua kwenye welfare ukilinganisha na immigrants toka nchi nyingine say za Asia ambao wao ni 1% ya immigrants but they are the biggest tax contributors of all immigrant groups. Hizi stereotype za ubeba mabox ina tokana na ukweli usio fichika kwamba majority of Africans in the U.S. and Europe are not blue collar workers(siyo wote). So hata kwa Tanzania the more Tanzanians who are seen to make something of themselves nje the more the "mbaba mabox" label will disappear. Maana kuna watanzania wanakaa nje miaka bila kurudi na wanapo rudi Tanzania they have nothing to show for it sasa watu wata draw conclusion gani?
With that said, naamini hizi kauli za mbeba mabox ni stereotypes na ina vunjia wengi heshima. Siyo vizuri kumlabel mtu in an offensive way. Iwe changamoto kwa watanzania nje kusaidiana na kumake something of themselves ili siyo kila Mtanzania aliepo nje aonekane ana beba mabox. Mnaweza msikubaliane na maneno yangu but I think it's the truth.
Siku hizi kumekuwa kuna tabia ya mtu ukitoka nje ukimuambia mtu kitu hata kama ni cha ukweli yeye ananga'ng'ania kubisha na kukuita mbeba box
unakuta unamuambia mtu kutokana na wewe umeona upande mwingine wa dunia lakini hataki kukusikiliza sio kama yeye anahoja hapana bali ni kutaka kukuletea zarau...
Na wengi wanakua wanaongea kwa chuki sana huku wakikuita mmbeba box
cha kujiuliza kwa nini kumekuwa na chuki kati ya wabeba mabox(watz wa nje) na wala vumbi(watz walioko tz)????
Bahati nzuri nimetembelea ulaya na amerika na nimekulia kijijini na kuishi dsm. Hapo zamni kidogo mpaka mwishoni mwa miaka ya 90 ulikuwa ukienda nje unaonekana mtu wa maana sana kwani watu walio kuwa nje ya nchi waliweza kurudi na magari na kujenga nyumba nk. Na wakaanza kuwaita walioko Bongo washamba na pia kuwa bongo ni nchi ya vumbi na anayeishi huko ni mla vumbi.
Baadaye vijana wengi wakaforge vyeti waonekane walifaulu F.VI wakaingia mtoni kwa students VISA halafu hawakusoma wakaingia kupiga kazi warudi na pesa. Matokeo yake hata dola nayo ikawa ngumu sana kuchanga. hasa baada ya september 11 maisha yalibadirika ghafla kwa wabeba box.
waliporudi Bongo wakatukuta wenzao tulioenda DSA, SUA, IFM, IDM, UD nk tume-make. Kwani Ufisadi ukawa nao umepamba moto bongo, deal zikawa nje nje tu, walioko mtoni wanarudi wanshangaa walioko bongo wanaendesha magari makali, wana nyumba nzuri, wanajirusha every weekend.
Tukaanza kuwaazima magari waliotoka mtoni wakasalimie mikoani, tukaanza kuwapa accomodation hata kuwaazima simu maana simu zao za subscription hazikuweza kuroam bongo. Ndipo sisi wala Vumbi tulipo anza kuwadharau hawa washikaji wa kutoka mtoni na ndipo tulipolipiza kisasi cha kutuambia twala vumbi na kuwaambia kuwa wanabeba box.
UFISADI ukiisha pesa za deal deal zikiisha, hakuna vijisecond hand vya japan, tutaanza kuwaheshimu tena wabeba box. Kwasasa mutuache tu, samahani sana, Heshima hailazimishwi.
Kwanza inabidi tujiulize mbeba box ni kazi za jinsi gani? Je hizi kazi bongo zipo au hazipo. Kwa mtazamo wangu wa sehemu zote mbili ughaibuni na bongo hizi kazi za kubeba box watu wote wanazifanya uwe bongo au ughaibuni, lazima hizi kazi zipo na zinawafanyakazi. Maana hata hapa bongo sio kwamba kila mtu kasoma ili afanye kazi hizo za ofisini.
Vile vile kama Ughaibuni sio kila mtanzania anafanya kazi za kubeba box , wapo watu wanafanya kazi za maana tu.Wapo kwenye vitengo vya maana tu huko ughaibuni, hapa inategemea ughaibuni ulienda kivipi. Kama ulienda kama mtembezi halafu ukazamia hapo kweli unaweza kubeba box. Ila kama ulienda kusoma na baada ya kumaliza skul wakapenda utendaji wako na kukupatia Visa vya kufanyia kazi hapo wala hutalijua box.
hivyo uwe bongo au ughaibuni kazi za box zipo tu, isitoshe huko ughaibuni hata hao wazawa wenyewe wanazichapa hizi kazi za box, sembuse mtu wa kuja!!!
Vile mbeba box wa Ulaya/USA usimfananishe na mbeba box wa Tanzania ni vitu viwili tofauti. Mbeba box wa ughaibuni pato lake kubwa tofauti na wa Tanzania. Utakuta mshahara anaoupata mbeba box wa Ulaya/USA kwa wiki au kwa mwezi na akitoa zile expenses za life bado atakuwa sawa au atamzidi yule mfanyakazi wa serikali ya Kikwete.
Hivyo chuki hazitakiwi baina ya watu hawa wawili, kila mtu inabidi awe na respect kwenye kazi ya mwenzie. Maana hiyo kazi anayofanya mwenzio ndio inamuweka mjini.
Bahati nzuri nimetembelea ulaya na amerika na nimekulia kijijini na kuishi dsm. Hapo zamni kidogo mpaka mwishoni mwa miaka ya 90 ulikuwa ukienda nje unaonekana mtu wa maana sana kwani watu walio kuwa nje ya nchi waliweza kurudi na magari na kujenga nyumba nk. Na wakaanza kuwaita walioko Bongo washamba na pia kuwa bongo ni nchi ya vumbi na anayeishi huko ni mla vumbi.
Baadaye vijana wengi wakaforge vyeti waonekane walifaulu F.VI wakaingia mtoni kwa students VISA halafu hawakusoma wakaingia kupiga kazi warudi na pesa. Matokeo yake hata dola nayo ikawa ngumu sana kuchanga. hasa baada ya september 11 maisha yalibadirika ghafla kwa wabeba box.
waliporudi Bongo wakatukuta wenzao tulioenda DSA, SUA, IFM, IDM, UD nk tume-make. Kwani Ufisadi ukawa nao umepamba moto bongo, deal zikawa nje nje tu, walioko mtoni wanarudi wanshangaa walioko bongo wanaendesha magari makali, wana nyumba nzuri, wanajirusha every weekend.
Tukaanza kuwaazima magari waliotoka mtoni wakasalimie mikoani, tukaanza kuwapa accomodation hata kuwaazima simu maana simu zao za subscription hazikuweza kuroam bongo. Ndipo sisi wala Vumbi tulipo anza kuwadharau hawa washikaji wa kutoka mtoni na ndipo tulipolipiza kisasi cha kutuambia twala vumbi na kuwaambia kuwa wanabeba box.
UFISADI ukiisha pesa za deal deal zikiisha, hakuna vijisecond hand vya japan, tutaanza kuwaheshimu tena wabeba box. Kwasasa mutuache tu, samahani sana, Heshima hailazimishwi.
Pretty uchambuzi wako ni mzuri. Kwa kuongezea inabidi uangalie kama hii ni chuki kati ya mbeba maboxi wa Ulaya/Marekani na mbeba maboxi wa Afrika/Tanzania au ni kati ya wabeba maboxi wa ughaibuni na watu wa daraja la kati kiasi hapa bongo. Mimi nadhani ni chuki kati ya hilo kundi la pili. Na maadam nimekuwa kwenye makundi hayo yote mawili na kuyasoma kwa undani naamini chuki hiyo inatokana na wivu na uchungu. Wabeba maboxi wana uchungu na wivu kuwa wenzao waliokuwa sawa nao au waliosoma nao sasa wanatesa kinoma bongo tena kwa hela ya mkononi (cash economy). Pia kuna walioko bongo ambao wana uchungu na wivu kuwa kuna wabeba maboxi wanaotumia vizuri uchumi wa mikopo (credit economy) ambao wanafanya vitu vikubwa huku nyumbani na kuwapiga bao. Kwa ufupi, kila kundi linatamani na kudharau cha kundi lingine.
Angalizo: Pia lipo kundi ambalo linaamini kwa dhati kabisa kuwa wabeba maboxi wengi waliodanganywa wamelosti huko majuu na halitaki wala vumbi wetu wakalosti huko hivyo linawapa tahadhari wasifuata mkumbo!
Kwa maoni yangu kuishi nchi za watu na kuyamudu maisha, bila 'kupiga' mahali ni kuonesha una akili nyingi. Mazoba hawawezi kuishi nchi za watu maanake inabidi uwe na kila kitu proper in order. Bongo kila kitu slow na ujanja wa kubomoa nchi, na hata hao wanaojiita wana pesa sijui wana-enjoy nini..
Kila kitu kwa misele tu..huduma za jamii ovyoovyo, watu wamenunanuna tu..hata sehemu za 'kujinyoosha' zenyewe mgogoro, achilia mbali vitu katalogi wanakubambikizia feki au wanakuwekea bei za kupiga. Ahh ukiwa nchi za watu salala...wala vitu online, huduma za jamii fresh bin murua, hata kama unaishi maisha ya kati naamini unajichanua kuliko milionea fisadi wa bongo.
Kwa maoni yangu kuishi nchi za watu na kuyamudu maisha, bila 'kupiga' mahali ni kuonesha una akili nyingi. Mazoba hawawezi kuishi nchi za watu maanake inabidi uwe na kila kitu proper in order. Bongo kila kitu slow na ujanja wa kubomoa nchi, na hata hao wanaojiita wana pesa sijui wana-enjoy nini..
Kila kitu kwa misele tu..huduma za jamii ovyoovyo, watu wamenunanuna tu..hata sehemu za 'kujinyoosha' zenyewe mgogoro, achilia mbali vitu katalogi wanakubambikizia feki au wanakuwekea bei za kupiga. Ahh ukiwa nchi za watu salala...wala vitu online, huduma za jamii fresh bin murua, hata kama unaishi maisha ya kati naamini unajichanua kuliko milionea fisadi wa bongo.
Kwa maoni yangu kuishi nchi za watu na kuyamudu maisha, bila 'kupiga' mahali ni kuonesha una akili nyingi. Mazoba hawawezi kuishi nchi za watu maanake inabidi uwe na kila kitu proper in order. Bongo kila kitu slow na ujanja wa kubomoa nchi, na hata hao wanaojiita wana pesa sijui wana-enjoy nini..
Kila kitu kwa misele tu..huduma za jamii ovyoovyo, watu wamenunanuna tu..hata sehemu za 'kujinyoosha' zenyewe mgogoro, achilia mbali vitu katalogi wanakubambikizia feki au wanakuwekea bei za kupiga. Ahh ukiwa nchi za watu salala...wala vitu online, huduma za jamii fresh bin murua, hata kama unaishi maisha ya kati naamini unajichanua kuliko milionea fisadi wa bongo.