maiyanga1
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 1,317
- 1,790
Cha nne visasi, cha tano double standards, tehe tehe teheKipaumbele cha kwanza, hasira, cha pili ghadhabu, cha tatu kukurupuka
Sent using Jamii Forums mobile app
Cha nne visasi, cha tano double standards, tehe tehe teheKipaumbele cha kwanza, hasira, cha pili ghadhabu, cha tatu kukurupuka
ukijibiwa nitagSio lazima tuingie kwenye link ama tutazame videos.
Ebu tuambie hayo mabango yaliandikwa nini kilicho mkera chato king..?
Na kiongozi shupavu haogopi lawama!Huyu naye atakufa kabla ya siku zake. Kitu kidogo anamind yeye nani mpaka apendwe na kila mtu. Khaaaaaaa
(Naota tu )
Mrs Van
Analala alone?'Hayo mabango nitayachukua nikaweke chini ya godoro analolalia mke wangu 'by JPM tar. 24.07.2017 Tabora.
Sent using Jamii Forums mobile app
HahahahaaaaaaMabango hayamsifii muheshimiwa hayakustahili kuonyeshwa hata mtu wa kamera ameogopa kuyaonyesha. Jamaa ameamka kwa hasira kwenda kushughulikia wabishi, naamini wataenda kupimwa mkojo.
Sent using Jamii Forums mobile app
KeshasomaaaaaaHaa ha na siyasomi .. shushenI nitayafanyia kazi .. sasa ataonaje hizo kero jaman?
Hapana Mama Sabrina mimi naheshimu sana mamlaka na kutii sheria bila shuruti. Sitamani kuingia kwenye mikono ya dola. Kwa hiyo usiogope kunipa Sabrina kama utaona yapendeza. Hapo nimeeleza kinachoonekana na kunukuu tu!Hahahaha u0we mchochezii
Yuko vizuri sana yule jamaa, na pia ni mtu wa kazi. Namkubali sana.Yule mzee naamini hata akigombea ubunge atapata, maana ni mtaratibu na anajua kuongoza.
Sent from my Phillips Savy
Lisura lake baya.Hamna anayetaka kumuona.
Communication skills ni kipaji na ni taaluma.huyu mtu achague lugha za kuongea na wananchi
Unataka sura nzuri ili akuowe?Lisura lake baya.Hamna anayetaka kumuona.
Kigoma kuna mtu alilala sero 24Hrs kisa bango! Unalijua Hilo????Juzi Kigoma alivutiwa na mabango huku yakamkeraaaaa yaani mtampenda tu
Sent using Jamii Forums mobile app