fdizzle
JF-Expert Member
- Jul 29, 2015
- 1,902
- 2,405
Yule mzee naamini hata akigombea ubunge atapata, maana ni mtaratibu na anajua kuongoza.Naona Mkuu wa Mkoa Aggrey Mwanri imembidi kuinuka kwenda kuweka mambo sawa. Maana yeye kama mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi na Usalama walitakiwa kujua uwepo wa jambo lolote lenye lengo la kumkera Mkubwa. Nakumbuka May Mosi kule Kilimanjaro mabango mengi ilibidi yakamatwe na vyombo vya ulinzi ili yasiingie uwanjani lakini mtaani yalipita. Siku chache baadae Mkuu Mkoa Meck Sadik anaamua kupumzika ili kuwapisha vijana wenye nguvu zaidi. Ndio wakaja vijana wakina Anna Mghwira kuchukua nafasi
Sent from my Phillips Savy
