Wabeba mabango Tabora wamkera Rais Magufuli

Wabeba mabango Tabora wamkera Rais Magufuli

Haa ha na siyasomi .. shushenI nitayafanyia kazi .. sasa ataonaje hizo kero jaman?

Halafu anawaambia watendaji wakasikilize kero za wananchi. Je haoni huko kero zitakuwa ni zile watendaji wanazopenda kuzisikia tu?
 
Naona Mkuu wa Mkoa Aggrey Mwanri imembidi kuinuka kwenda kuweka mambo sawa. Maana yeye kama mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi na Usalama walitakiwa kujua uwepo wa jambo lolote lenye lengo la kumkera Mkubwa. Nakumbuka May Mosi kule Kilimanjaro mabango mengi ilibidi yakamatwe na vyombo vya ulinzi ili yasiingie uwanjani lakini mtaani yalipita. Siku chache baadae Mkuu Mkoa Meck Sadik anaamua kupumzika ili kuwapisha vijana wenye nguvu zaidi. Ndio wakaja vijana wakina Anna Mghwira kuchukua nafasi
Hahahaha u0we mchochezii
 
Back
Top Bottom