Wabeba mabango Tabora wamkera Rais Magufuli

Wabeba mabango Tabora wamkera Rais Magufuli

Na kiongozi shupavu haogopi lawama!
My foot ushupavu upo wapi, akiona bango anaanza kulia Lia??? Sasa akimuona lissu live si atakimbia mpaka avunjikevunjike???

Pogba wa tz nchi imekushinda!
 
My foot ushupavu upo wapi, akiona bango anaanza kulia Lia??? Sasa akimuona lissu live si atakimbia mpaka avunjikevunjike???

Pogba wa tz nchi imekushinda!
Hivi unataka kusema RAISI wetu JOHN JOSEPH POMBE MAGUFULI si Shupavu Come on!!!!!!!!!!!!!!!
 
Hivi unataka kusema RAISI wetu JOHN JOSEPH POMBE MAGUFULI si Shupavu Come on!!!!!!!!!!!!!!!
Muwekee bango hili "nyumba za serikali ulizouza pia ni ufisadi" mbele yake uone atakavyotoa povuuu!

Pogba wa tz nchi imekushinda!
 
Hivi jamaa he just cant swallow criticsm?da kikwete umetukosea sana watanzania kutuletea huyu mtu
 
Yaani hata my wife wake anamshangaa


..naona mama ameonyesha kufadhaika.

..lakini mawaziri wanaonekana wakijikamua na kujilazimisha kucheka.

..ana tatizo ktk matumizi ya lugha, na hana msaada wowote toka kwa washauri wake.
 
Back
Top Bottom