SMU
JF-Expert Member
- Feb 14, 2008
- 9,616
- 7,863
Na kweli ni kawaida. Unadhani ni kwa nini TV za kisasa zinawekwa password? Kwa nini DStv wana option ya kuweka password (parental control) kwenye program?ya kuwaachia tv watoto,mkuu unawabania watoto tv,wkat ni kawaida,mimi nikipata watoto nawapa ipad wakifikisha miaka 3 na kuendelea