kadoda11
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 21,453
- 20,712
nakumbuka nyakati hizo ikifika jioni na mkasikia honi ya gari getini,mnaikimbia sebule na kwenda kujifungia vyumbani kisa mnoko a.k.a Dingi karudi.Hii zamani ilikuwa ni kila nyumba kwa kweli ....lol