Usiamini Sera ya "Uzazi ni Bure" ni Siasa za majukwaani tu. Ukienda kujifungua unalipia kila kitu!

Feb 18, 2019
50
533
Kwa wale ambao mmebahatika kupata watoto na mkatumia hospitali za serikali nadhani mnaelewa ninachoongea, kama kuna mtu hakuchangia hata senti basi aje hapa kunipinga.

Hizi kelele za eti huduma za uzazi ni fix tu za wanasiasa huko majukwaani, ila ukifika labor ndiyo utajua hujui.

Kuna mambo mawili ambayo huwa yanafanyika kulingana na level ya facility:

1. Low Level Facilities kama Dispensari, Vituo vya Afyana Hospitali za Wilaya huwa wajawazito wanapewa lists ya vitu vya kununua kabla hawajafika siku ya kujifungua kama vile Gloves, Vibana Vitovu, Nyuzi za Kushonea endapo mama atapasuka msamba nk.
IMG_20200122_062537.jpg

Ukiachana na hivyo vifaa ambavyo wamama huambiwa waviandae, vipimo vyote vya maabara na ultrasound atakavyofanya mama mjamzito ni lazima alipie. Hakuna kitu cha bure.

2. Higher level facilities kama Hospitali za Mikoa, Hospitali za Kanda na Hospitali ya Taifa (MNH) huko mama hauendi na kitu. Kila kitu utakikuta kulekule lakini itakubidi ulipie.

Mathalani Muhimbili gharama zao ziko kama ifuatavyo:

A. Kujifungua kawaida ni 125,000/=
B. Kujifungua kwa Upasuaji ni 250,000/=

Hizo ni gharama za kujifungua tu, hizo ni tofauti na vitu vingine kama kufungua faili, gloves, mabomba ya sindano, dawa, vipimo vya maabara na vikorokoro vingine vyooooote mama atakavyotumia. Kila kitu unalipia, hakuna msamaha hata wa bomba la sindano hapo Muhimbili.

Ni wakati sasa serikali hasa wizara yake ya afya iache kudanganya majukwaani kwamba huduma za uzazi ni bure wakati siyo kweli. Ni unalipia kila kitu.

Kuna muda wafanyakazi wa afya huwa wanaonekana ni waongo mbele ya wananchi, kwa sababu huku mitaani mwanasiasa anajitapa huduma fulani ni buree, lakini mwananchi akifika hospitali anakutana na mkeka mreefu wa bili mpaka anashangaa.​
 
Li gavamenti la sisiemu limejaa uongo uongo, wizi na hadaa nyinginezo kibao! Yanasemaga tu bure bure wakati kiuhalisia hakuna cha bure! Maongo sana haya majitu! Na yanakera kwa uongo wao wa wazi wazi! Kutufanya wananchi wajinga
 
Kwa wale ambao mmebahatika kupata watoto na mkatumia hospitali za serikali nadhani mnaelewa ninachoongea, kama kuna mtu hakuchangia hata senti basi aje hapa kunipinga.

Hizi kelele za eti huduma za uzazi ni fix tu za wanasiasa huko majukwaani, ila ukifika labor ndiyo utajua hujui.

Kuna mambo mawili ambayo huwa yanafanyika kulingana na level ya facility:

1. Low Level Facilities kama Dispensari, Vituo vya Afyana Hospitali za Wilaya huwa wajawazito wanapewa lists ya vitu vya kununua kabla hawajafika siku ya kujifungua kama vile Gloves, Vibana Vitovu, Nyuzi za Kushonea endapo mama atapasuka msamba nk.
View attachment 2814330
Ukiachana na hivyo vifaa ambavyo wamama huambiwa waviandae, vipimo vyote vya maabara na ultrasound atakavyofanya mama mjamzito ni lazima alipie. Hakuna kitu cha bure.

2. Higher level facilities kama Hospitali za Mikoa, Hospitali za Kanda na Hospitali ya Taifa (MNH) huko mama hauendi na kitu. Kila kitu utakikuta kulekule lakini itakubidi ulipie.

Mathalani Muhimbili gharama zao ziko kama ifuatavyo:

A. Kujifungua kawaida ni 125,000/=
B. Kujifungua kwa Upasuaji ni 250,000/=

Hizo ni gharama za kujifungua tu, hizo ni tofauti na vitu vingine kama kufungua faili, gloves, mabomba ya sindano, dawa, vipimo vya maabara na vikorokoro vingine vyooooote mama atakavyotumia. Kila kitu unalipia, hakuna msamaha hata wa bomba la sindano hapo Muhimbili.

Ni wakati sasa serikali hasa wizara yake ya afya iache kudanganya majukwaani kwamba huduma za uzazi ni bure wakati siyo kweli. Ni unalipia kila kitu.

Kuna muda wafanyakazi wa afya huwa wanaonekana ni waongo mbele ya wananchi, kwa sababu huku mitaani mwanasiasa anajitapa huduma fulani ni buree, lakini mwananchi akifika hospitali anakutana na mkeka mreefu wa bili mpaka anashangaa.​
BAY UTAWALA
 
Li gavamenti la sisiemu limejaa uongo uongo, wizi na hadaa nyinginezo kibao! Yanasemaga tu bure bure wakati kiuhalisia hakuna cha bure! Maongo sana haya majitu! Na yanakera kwa uongo wao wa wazi wazi! Kutufanya wananchi wajinga
Na wewe unayeamini uongo wao uwekwe kundi gani
 
Na wewe unayeamini uongo wao uwekwe kundi gani
Sijawahi kuuamini uongo wa sisiem! Kinachokera ni kwamba majority ya wananchi wanaamini uongo wa sisiem,au niseme wanalazimishwa kuuamini uongo wa sisiem! Ila in short sisiem ni waongo tena majambazi wakubwa
 
Sasa MSD anashindwa kusambaza vifaa vyote hapo tajwa watu wakuhudumiwa free kujifungua maana yeye ndio supplier wa dawa na vifaa tiba wa serikali
 
Kwa wale ambao mmebahatika kupata watoto na mkatumia hospitali za serikali nadhani mnaelewa ninachoongea, kama kuna mtu hakuchangia hata senti basi aje hapa kunipinga.

Hizi kelele za eti huduma za uzazi ni fix tu za wanasiasa huko majukwaani, ila ukifika labor ndiyo utajua hujui.

Kuna mambo mawili ambayo huwa yanafanyika kulingana na level ya facility:

1. Low Level Facilities kama Dispensari, Vituo vya Afyana Hospitali za Wilaya huwa wajawazito wanapewa lists ya vitu vya kununua kabla hawajafika siku ya kujifungua kama vile Gloves, Vibana Vitovu, Nyuzi za Kushonea endapo mama atapasuka msamba nk.
View attachment 2814330
Ukiachana na hivyo vifaa ambavyo wamama huambiwa waviandae, vipimo vyote vya maabara na ultrasound atakavyofanya mama mjamzito ni lazima alipie. Hakuna kitu cha bure.

2. Higher level facilities kama Hospitali za Mikoa, Hospitali za Kanda na Hospitali ya Taifa (MNH) huko mama hauendi na kitu. Kila kitu utakikuta kulekule lakini itakubidi ulipie.

Mathalani Muhimbili gharama zao ziko kama ifuatavyo:

A. Kujifungua kawaida ni 125,000/=
B. Kujifungua kwa Upasuaji ni 250,000/=

Hizo ni gharama za kujifungua tu, hizo ni tofauti na vitu vingine kama kufungua faili, gloves, mabomba ya sindano, dawa, vipimo vya maabara na vikorokoro vingine vyooooote mama atakavyotumia. Kila kitu unalipia, hakuna msamaha hata wa bomba la sindano hapo Muhimbili.

Ni wakati sasa serikali hasa wizara yake ya afya iache kudanganya majukwaani kwamba huduma za uzazi ni bure wakati siyo kweli. Ni unalipia kila kitu.

Kuna muda wafanyakazi wa afya huwa wanaonekana ni waongo mbele ya wananchi, kwa sababu huku mitaani mwanasiasa anajitapa huduma fulani ni buree, lakini mwananchi akifika hospitali anakutana na mkeka mreefu wa bili mpaka anashangaa.​
Naunga mkono hoja....

Wanasiasa wa Ccm waache uongo.
 
Back
Top Bottom