Pua ya zege
JF-Expert Member
- Jul 23, 2013
- 1,633
- 1,735
Wizi tuHivi hii Serikali yetu inaweza kufanya kitu gani hasa?
Wizi tuHivi hii Serikali yetu inaweza kufanya kitu gani hasa?
Umenieleza kitu gani? Bado sijakuelewaDogo toka siku ile nimekueleza hii kitu imekuwa nongwa. Watakukoma sasa
Napongeza maamuzi ya serikali kuwapa wawekezaji huu mradi ,Salaam Wakuu,
Baada ya Waziri wa Tamisemi kuagiza DART itafute muekezaji binafsi wa kuendesha Mabasi ya Mwendokasi, sasa mambo yamekuwa moto.
Hadi sasa Makampuni 30 yameomba kuendesha Mabasi hayo.
MY TAKE
Nani wa kitoboa mbele ya Mwaarabu?
=====
Dar es Salaam. Two Tanzanian companies are among 30 others that are competing to operate the Bus Rapid Transit (BRT) in a global tender to procure commuter buses in Dar es Salaam.
The government is looking for private investors to partner with and improve efficiency in the BRT.
Last week, the minister of State in the President’s Office - Regional Administration and Local Governments (PO-RALG), Mr Mohamed Mchengerwa, urged Dar es Salaam Rapid Transit Agency (Dart) to find a private investor by October 2024 to offer bus services and maintain efficiency.
Dart’s chief executive officer Athumani Kihamia told The Citizen that two Tanzanian firms were competing for the tender but said it’s too early to mention the names of the companies.
“It is not appropriate to name a corporation at this time because the tender to find a service provider is international. There are currently two businesses from the United Arab Emirates, one each from Asia and the United Kingdom, and numerous others from Africa,” he said.
“The procurement process is currently going on very well; once we get a qualified service provider and make an agreement, we will announce the company as soon as possible and make it public,” he said.
Mr Kihamia insisted that currently there is no company that has won or been awarded the tender so far, adding that Dart is a procurement entity that is handling the procurement process.
According to him, it is a procedure to get a service provider, because the procurement process involves various institutions such as the Ministry of Finance, the Attorney General’s Office, Public Procurement Regulatory Authority (PPRA) and the PO-RALG.
Two Tanzanian companies among 30 applied to operate Dar es Salaam BRT
The government is looking for private investors to partner with and improve efficiency in the BRT.www.thecitizen.co.tz
Leo nimegundua pengine hujui unachotaka au unachosimamiaHivi hii Serikali yetu inaweza kufanya kitu gani hasa?
Hata wakiweka hawa Mameneja wa Kibongo watalifilisi Shirika.Waweke kwenye stock exchange watu waangalie njia Bora ya kuwekeza
Kama ni za watanzania na Zina vigezo na uwezo kwanini wasipewe tender ?Hamna kitu ndugu yangu.Utashangaa hizo Kampuni wanazisema ni za Watanzania ni za hao vigogo. Watapambana wachukue hiyo tender halafu waturudishe kulekule
Hongera mkuu kwa mawazo chanya kabisaSerikali ikusanye kodi iachane na mashirika ya kibiashara ila pawe na udhibiti ili pasitokee ushirikiano wa kumuumiza mlaji wa mwisho.
Mambo muhimu yanayogusa usalama wa nchi ndo ihakikishe inayasimamia. Ila haya ya kibiashara ijikite kwenye kukusanya kodi na udhibiti.
Hayo ni moja ya mashirika yanajiendesha kwa hasara kubwaTanesco na TTCL mbona hazibinafusishwi?
Kabisa mkuu.Hongera mkuu kwa mawazo chanya kabisa
Serikali iachane na Biashara ni kupoteza Kodi zetu bure
INGAwa sikuungi mkono hoja zako zote Ila umeongea pointAbove all , nashauri huu MRADi wapewe private sector , tena hayo makampuni yatoke nje. Hawa wa hapo hapo TZ bado ujanja ujanja mwingi. Watazinguwa
Wapewe hao waarabu nauli iwe 2000 per person per trip
Aidha, kama mnadhan uteuzi wa Kindamba ni by chance , bakini ivo ivo. Kama ilivyo kwa DP, hata hii atapewa muarabu , which to me is good thing
Wabongo wanachojua zaidi ni chini tu na wizi
Waarabu wanaitafuna nchi yao vizuriWakati wa Jiwe aliitwa mzalendo , leo PPP ! tunawatakieni kila la heri
Umeongea hoja nzito mkuu,Watz nionavyo wengi ni vichaa, takwimu zinasema ukiona kundi la watu kumi, sita kati yao ni hamnazo. Nashawishika kuungana na jaamaa anaedai shida ni kula ugali.
Unakuta mtu anacoster 2 marejesho analipa, anajenga nyumba, dereva anapata chake, konda, mpiga debe bila kusahau kodi inalipwa na gari service inapelekwa km kawa.
Kwanini tuamini hawa wapuuzi kila ki2 wamewekewa still wanafeli. Inafikirisha sana ktk watz 60mln tukose watu wa kuendesha hii kitu mpaka tuwape wageni haiingii akilini.
Kwa asili binadamu wengi ni wabinafsi Sana na hili tatizo kwa watanzania ni kubwa zaidiKwani unafikiri hao watanzania wenye uwezo wa kuendesha hiyo biashara hawapo huko serikalini.
Shida ni CCM, mamlaka ya teuzi na vyombo vya ulinzi.
Ukimsikiliza yule Dr aliengozo jopo la kupanga vitita vya NHIF. Hesabu alizokuwa anaongelea kwenye kupanga bei ndio hizo hizo za biashara ya mabasi (services costing).
Sasa yule sio mtu wa finance atakuwa kajifunza yale mambo kwenye management course ya udaktari, kama anajua hesabu za services costing ina maana anajua kutengeneza strategy na mifumo yote ya usimamizi wa biashara ya huduma ya afya.
Unataka kuniambia huko serikalini hakuna mtu mwingine mwenye skills hizo aliesoma business management akaendesha huduma.
I always say ukitaka kujua huko serikalini kuna waelevu sikiliza wataalamu wao au wakurugenzi wa wizara wengi ni very technical.
Shida ni watu wanao wąsimamia CCM hawana uwezo wala akili ya kujua mtu mwenye sifa zipi apewe shirika lipi na wala hawana uwezo wa kusimamia taasisi (mawaziri wanaopewa wizara husika) jumlisha na report za CAG awazifanyi kazi.
Ni kwamba kuna watu hawataki maendeleo tu si kwamba hakuna watu huko serikalini wakuendesha miradi ya serikali kwa ufanisi.
Umeandika pumba!!watu ni wajinga sana nchi hii, miundombinu imejengwa kwa kodi za wananchi wanaleta foreigners kuitumia na kubagua who should use it kwani nauli yake ni watanzagiza wachache sana watamudu ingawaje kodi ya ujenzi tumelipa wote na miundo mbinu ikiharibika atakaye karabati ni masikini wa tanzagiza na siyo mwarabu.
Ni tatizo halafu wakitoka hapo wanaenda mpa biashara mwekezaji uchwara kwa income losses za serikali.Kwa asili binadamu wengi ni wabinafsi Sana na hili tatizo kwa watanzania ni kubwa zaidi
Jambo likishakuwa la umma hata Kama ana uwezo atafanya hujuma
Ni wachache wanaoweza Kusimamia mradi unaoingiza faida ya mabilioni serikalini
Huku yeye akiambulia milioni 3 Hadi 5 za ukurugenzi
Hili ni moja ya tatizo kubwa la watanzania na la Taifa wanamwona MTU ambaye sio mpigaji ni mjinga na wapigaji ni wajanja
Very bad mentality in our Nation
Chadema bado watoto wadogo sana kushika nchi they are still hopelessHuko Chadema mnahitaji kupigwa msasa. Kuna kitu kinaitwa (PPP) yani Public - Private Partnership.
Wawekezaji hawana shida. Viongozi wakiwa na uchungu na taifa lao,hata muwekezaji atawaheshimu.Wangetafuta foreigner aongez
umenena vema ni miaka 26 tokea mkapa aifungue nchi kwa kuleta waekezaji tuwe wa kweli hakuna cha maana walichofanya