Waarabuni wa Dubai waomba zabuni ya kuendesha Mabasi ya Mwendokasi

Salaam Wakuu,

Baada ya Waziri wa Tamisemi kuagiza DART itafute muekezaji binafsi wa kuendesha Mabasi ya Mwendokasi, sasa mambo yamekuwa moto.

Hadi sasa Makampuni 30 yameomba kuendesha Mabasi hayo.

MY TAKE

Nani wa kitoboa mbele ya Mwaarabu?

=====

Dar es Salaam. Two Tanzanian companies are among 30 others that are competing to operate the Bus Rapid Transit (BRT) in a global tender to procure commuter buses in Dar es Salaam.

The government is looking for private investors to partner with and improve efficiency in the BRT.

Last week, the minister of State in the President’s Office - Regional Administration and Local Governments (PO-RALG), Mr Mohamed Mchengerwa, urged Dar es Salaam Rapid Transit Agency (Dart) to find a private investor by October 2024 to offer bus services and maintain efficiency.

Dart’s chief executive officer Athumani Kihamia told The Citizen that two Tanzanian firms were competing for the tender but said it’s too early to mention the names of the companies.

“It is not appropriate to name a corporation at this time because the tender to find a service provider is international. There are currently two businesses from the United Arab Emirates, one each from Asia and the United Kingdom, and numerous others from Africa,” he said.

“The procurement process is currently going on very well; once we get a qualified service provider and make an agreement, we will announce the company as soon as possible and make it public,” he said.

Mr Kihamia insisted that currently there is no company that has won or been awarded the tender so far, adding that Dart is a procurement entity that is handling the procurement process.

According to him, it is a procedure to get a service provider, because the procurement process involves various institutions such as the Ministry of Finance, the Attorney General’s Office, Public Procurement Regulatory Authority (PPRA) and the PO-RALG.

Napongeza maamuzi ya serikali kuwapa wawekezaji huu mradi ,

Napendekeza mashirika mengine yapewe wawekezaji wenye sifa na uwezo bila kujali ni wa NDANI au wa nje
Kila siku tunalalamika HUDUMA mbovu za mwendokasi
Ikiwezekana Kila mwekezaji apewe router yake ili kuongeza ushindani
 
Hamna kitu ndugu yangu.Utashangaa hizo Kampuni wanazisema ni za Watanzania ni za hao vigogo. Watapambana wachukue hiyo tender halafu waturudishe kulekule
Kama ni za watanzania na Zina vigezo na uwezo kwanini wasipewe tender ?
Unajitambua kweli wewe kipi unasimamia ?
 
Serikali ikusanye kodi iachane na mashirika ya kibiashara ila pawe na udhibiti ili pasitokee ushirikiano wa kumuumiza mlaji wa mwisho.

Mambo muhimu yanayogusa usalama wa nchi ndo ihakikishe inayasimamia. Ila haya ya kibiashara ijikite kwenye kukusanya kodi na udhibiti.
Hongera mkuu kwa mawazo chanya kabisa
Serikali iachane na Biashara ni kupoteza Kodi zetu bure
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Tanesco na TTCL mbona hazibinafusishwi?
Hayo ni moja ya mashirika yanajiendesha kwa hasara kubwa
Kuna kipindi ilikadiriwa Tanesco inajiendesha kwa hasara ya shilingi million 400
Ushasikia Tena line za Ttcl
Serikali kujiingiza kwenye Biashara ni ukichaa
 
Above all , nashauri huu MRADi wapewe private sector , tena hayo makampuni yatoke nje. Hawa wa hapo hapo TZ bado ujanja ujanja mwingi. Watazinguwa

Wapewe hao waarabu nauli iwe 2000 per person per trip

Aidha, kama mnadhan uteuzi wa Kindamba ni by chance , bakini ivo ivo. Kama ilivyo kwa DP, hata hii atapewa muarabu , which to me is good thing

Wabongo wanachojua zaidi ni chini tu na wizi
INGAwa sikuungi mkono hoja zako zote Ila umeongea point
 
nashauri wampe yeyote mwenye uwezo,hata kama ni mwarabu,apewe. watu wanapata shida sana mwendo kasi, ukipita unawaona wamekaa kwenye stand wameshika tama wamekata tamaa kabisa, raia wanapata shida, leteni mwekezaji haraka tena mwenye uwezo na experience ya nje.
 
Watz nionavyo wengi ni vichaa, takwimu zinasema ukiona kundi la watu kumi, sita kati yao ni hamnazo. Nashawishika kuungana na jaamaa anaedai shida ni kula ugali.

Unakuta mtu anacoster 2 marejesho analipa, anajenga nyumba, dereva anapata chake, konda, mpiga debe bila kusahau kodi inalipwa na gari service inapelekwa km kawa.

Kwanini tuamini hawa wapuuzi kila ki2 wamewekewa still wanafeli. Inafikirisha sana ktk watz 60mln tukose watu wa kuendesha hii kitu mpaka tuwape wageni haiingii akilini.
Umeongea hoja nzito mkuu,
Naona
Bado hutujaweza kuundaa watu wenye uwezo wa kuendesha miradi mikubwa na maono makubwa
Ila kuliko mradi ufe wapewe wenye uwezo watanzania wakijipanga
 
Kwani unafikiri hao watanzania wenye uwezo wa kuendesha hiyo biashara hawapo huko serikalini.

Shida ni CCM, mamlaka ya teuzi na vyombo vya ulinzi.

Ukimsikiliza yule Dr aliengozo jopo la kupanga vitita vya NHIF. Hesabu alizokuwa anaongelea kwenye kupanga bei ndio hizo hizo za biashara ya mabasi (services costing).

Sasa yule sio mtu wa finance atakuwa kajifunza yale mambo kwenye management course ya udaktari, kama anajua hesabu za services costing ina maana anajua kutengeneza strategy na mifumo yote ya usimamizi wa biashara ya huduma ya afya.

Unataka kuniambia huko serikalini hakuna mtu mwingine mwenye skills hizo aliesoma business management akaendesha huduma.

I always say ukitaka kujua huko serikalini kuna waelevu sikiliza wataalamu wao au wakurugenzi wa wizara wengi ni very technical.

Shida ni watu wanao wąsimamia CCM hawana uwezo wala akili ya kujua mtu mwenye sifa zipi apewe shirika lipi na wala hawana uwezo wa kusimamia taasisi (mawaziri wanaopewa wizara husika) jumlisha na report za CAG awazifanyi kazi.

Ni kwamba kuna watu hawataki maendeleo tu si kwamba hakuna watu huko serikalini wakuendesha miradi ya serikali kwa ufanisi.
Kwa asili binadamu wengi ni wabinafsi Sana na hili tatizo kwa watanzania ni kubwa zaidi
Jambo likishakuwa la umma hata Kama ana uwezo atafanya hujuma
Ni wachache wanaoweza Kusimamia mradi unaoingiza faida ya mabilioni serikalini
Huku yeye akiambulia milioni 3 Hadi 5 za ukurugenzi
Hili ni moja ya tatizo kubwa la watanzania na la Taifa wanamwona MTU ambaye sio mpigaji ni mjinga na wapigaji ni wajanja
Very bad mentality in our Nation
 
watu ni wajinga sana nchi hii, miundombinu imejengwa kwa kodi za wananchi wanaleta foreigners kuitumia na kubagua who should use it kwani nauli yake ni watanzagiza wachache sana watamudu ingawaje kodi ya ujenzi tumelipa wote na miundo mbinu ikiharibika atakaye karabati ni masikini wa tanzagiza na siyo mwarabu.
Umeandika pumba!!
 
Kwa asili binadamu wengi ni wabinafsi Sana na hili tatizo kwa watanzania ni kubwa zaidi
Jambo likishakuwa la umma hata Kama ana uwezo atafanya hujuma
Ni wachache wanaoweza Kusimamia mradi unaoingiza faida ya mabilioni serikalini
Huku yeye akiambulia milioni 3 Hadi 5 za ukurugenzi
Hili ni moja ya tatizo kubwa la watanzania na la Taifa wanamwona MTU ambaye sio mpigaji ni mjinga na wapigaji ni wajanja
Very bad mentality in our Nation
Ni tatizo halafu wakitoka hapo wanaenda mpa biashara mwekezaji uchwara kwa income losses za serikali.

Sisi watanzania tunadhani huko ulaya ni rahisi tu watu wanapewa hizo PPP contracts.



Fanya upuuzi uone fines za serikali


Huku nako kuna malipo ya kutumia hizo njia line tu ya dar Arusha unaweza lipa £200m kama maintance costs. Kwa serikali bado una target za faida hiyo mikataba inataka labda kwa miaka 8 ulipe serikali £3.3 billion kuendesha hiyo line (hayo ni mapato baada ya kodi ambayo na kodi yenyewe unalipa), wafanyakazi wanachukuliwa kama waajiriwa wa serikali pension plan yao lazima ulipe serikali.

Hayo mambo ya PPP sio rahisi kama watanzania wanavyochukulia kuna fines za kuchelewesha huduma pia au under investments. Masharti yake ni balaa kujiingiza huko uwe na utaalamu kweli kweli wa hiyo biashara vinginevyo utajuta.

Tanzania tunadhani na wenyewe huko wanapewa tu sandakalawe kama serikali ya Tanzania inavyogawa mtu anatoa $500m anapewa sehemu kubwa ya bandari kwa miaka 30 dah wataacha kuigombea hiyo UDART kwa akili hizo. Ili kufanikisha hilo zoezi lao anatolewa mtu mwenye uelewa wa finance kama Kakoko wanaenda weka mkurugenzi ambae ukimsikiliza yule hata akili ya kuendesha duka kubwa hana iwe bandari.

Ndio maana wenye akili zao huko serikalini washajichokea wanaona bora liende tu.
 
Huko Chadema mnahitaji kupigwa msasa. Kuna kitu kinaitwa (PPP) yani Public - Private Partnership.
Chadema bado watoto wadogo sana kushika nchi they are still hopeless

Hawajapata watu sahihi.Wilbold Slaa na Lowasa na Sumaye walau walikuwa vizuri walijua mambo fulani lakini Chadema walishindwa kuwafuga hiyo mifugo kwenye zizi lao la mifugo

Hayo unayoongea kwa Chadema iliyobaki ni rocket science somo gumu kwao kuelewa
 
Wangetafuta foreigner aongez

umenena vema ni miaka 26 tokea mkapa aifungue nchi kwa kuleta waekezaji tuwe wa kweli hakuna cha maana walichofanya
Wawekezaji hawana shida. Viongozi wakiwa na uchungu na taifa lao,hata muwekezaji atawaheshimu.
BRT si ya jana tu. Anza na mshahara wa raia abaefanya kazi kwa mhindi.
Anakuja mhindi,anavikwa cheo cha supervisor,hata kinachofanyika mazingira hayo,hakijui. Mshahara wake, $15,000 na kuendelea. Mbongo,fundi wa mashine za kiwanda, yeye analipwa Tshs 300,000. Hii pesa,atapewa kwa mafungu,kwa mkono wa kushoto(wenye imani zao wanajua mana yake). Miaka 10 na zaidi anafanya kazi,lakini hata kodi tu,hapati. Achana na yeye kujenga. Mnyonge ananyongwa,na haki hapewi.
Ukiongea tu,unatukanwa Tunina
Ni hizo contracts,muwekezaji anaejielewa, akishajua nchi haina msimamo,haji. Bora Kim Jong Un. Hivi,inaingia akilini,mbunge alipwe na mambo mengine kwenye Milioni 25. Mwalimu wake,laki 2!!! Mwingine,anafia hospitli,kwa kukosa dawa.
Jirani analala njaa,watoto wake gata nguo hawana. Mbunge anaseleleka na na kodi za walala hoi. Vitu vingine ni aibu.
Muwekezaji mwingine,anafika ofisini,form 4 tena division 0, anampokea na earphones,akichat whatsapp,
 
Back
Top Bottom