kwenda21
JF-Expert Member
- Mar 11, 2014
- 3,422
- 3,393
Aga
Sema wana chuki nayo tu kampuni nahisi sababu ni mzawa yumo mtu mweusi,huezi kuzima mashine bandarini,uzime ukaiweke wapi,maana mashine mbovu iko sehemu ya kwenda kuipaki na sehemu hiyo hakuna shuhuri ya makontena ni gereji,sasa hivi ticts wako vizuri sana,hakuna magari yanayochelewa mle,mimi juzi nimeingia na kutoka faster,swala kusubiri ni scanner ambazo ni mali ya serikali siyo ticts,mimi nilipenda ticts wangeachwa na mwarabu apewe,ili tuone mchuano,ila delay bandari hakuna sasa hivi,iwe ticts iwe tpa,chuki zinawasumbua wabongo,tena ticts wanafanya kazi in uropean way siyo local,punguzeni chuki za kijinga,Mm pia nimejiuliza hivyo hivyo Kwa maana TICTS mashine zake kubwa Kama ssg crane na rtg zote zinafanya kazi 24 hours na Kuzimwa ni nadra sana labda itokee emergency