Waandishi wa Gazeti la Observer ni kina nani, wanaandika broken English

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Aug 24, 2011
49,191
103,715
20201207_193537.jpg


Kwa kweli hii ni aibu kubwa kama wasomi tunaabishwa sana. Nani mwandishi na mhariri wa gazeti hili?

To meet with stakeholder....stakeholders to reveals reasons....we are recognize national unity. Hii ni lugha gani wakuu. Naona ni lugha inayofanana na Kingereza lakini sio chenyewe
 
Aibu gani? Msafara ulikosa mkalimani kiswahili kwenda kiingereza nchi Zimbabwe! Inatosha hivyo hivyo asiyependa asinunue akachapishe lakwake asome na shangazi yake.
 
View attachment 1644102

Kwa kweli hii ni aibu kubwa kama wasomi tunaabishwa sana. Nani mwandishi na mhariri wa gazeti hili?

To meet with stakeholder....stakeholders to reveals reasons....we are recognize national unity. Hii ni lugha gani wakuu. Naona ni lugha inayofanana na Kingereza lakini sio chenyewe
Asalalaaa!!! Oooh! hakuna ajira, wanaajiriwa Wakenya na Waganda. Duuuu!!! Tuna safari ndefu sana!!!
 
View attachment 1644102

Kwa kweli hii ni aibu kubwa kama wasomi tunaabishwa sana. Nani mwandishi na mhariri wa gazeti hili?

To meet with stakeholder....stakeholders to reveals reasons....we are recognize national unity. Hii ni lugha gani wakuu. Naona ni lugha inayofanana na Kingereza lakini sio chenyewe
Mhariri Mkuu wa hayo Magazeti hujamjua tu Mkuu?

Ni Dr. Abbas Mwenyewe
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom